Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Ata mimi nimeshangaa Mzee wa kikurya akakae kwa mtoto wake wakike na Wazee wakikurya hawana njaa njaa sanaa kufikia kwenda kuishi kwa mtoto wake wakike.
 
Ondoka mwachie nyumba akae na Baba yake. Siku akiondoka Baba yake rudi nyumbani. Huyo mwanamke anza kuishi naye kitaalamu.
 
Pole sana mkuu. Nimekusoma mstari kwa mstari lakini nadhani kuna kitu unaficha baina yako na huyo shemeji yako. Hujawahi kuwa karibu naye kiasi cha kutatanisha au kumu approach? Ktk hali ya kawaida, shemeji yako (tena mwenye umri mdogo) hawezi akaanza kukubwatukia namna hii bila sababu yoyote. Naomba ufuguke vizuri ili nikushauri.
 
Ni kweli haiwezekani ghafla tu shemeji yake amtukane, inawezekana na yeye anatabia za uchuyo maana wachaga wanatabia za Uchoyo uchoyo
 
Mwanamke huyo itakuwa ndo master mind wako TOFAUTI na hapo unabidi umpe divorce 3 na mkongoto mkalia ili atembelee magoti
 
Mkuu,kwanza pole sana. Pili, jitahidi kuwa MWANAUME, sijui unanielewa? Yani chukua hatua/uamuzi wa kiume katika situations kama hizo.

Tatu,hayo alosema huyo binti ndio haswaa mipango waipangayo na dada yake. Jambo la kufanya ,kaa nao kwa makini sana, wanaweza hata kukupoteza kwa namna yoyote ile kwasababu inaonesha MALI wamaeiweka mbele. Na hii ni kupitia kauli za huyo shemeji yako.

Kama ni mimi ningetimua wote siku hiyo hiyo, hao washaingia virus,mpango wao si mzuri kwako.
 
Familia nzima kuanzia baba mkwe, mke na huyo shemeji wape likizo kwa muda alafu itisha kikao cha familia alafu ongea kama mwanaume na uweke terms zako za uendeshaji wa nyumba na biashara.

Fanya hivo lasihiyo tutakupoteza mwamba
 
Piga makofi hao akina bhoke , hao lugha wanayoielewa ni violence Tu
 
Wewe mwenyewe shida
Shemeji zako shida
Mke wako shida
Na hata wazazi wa mke wako shida
Sasa hatujui kwa upande wa kwenu kukojo


Naweza kusema wewe ni shida tu zimekuzunguka
 
Pia, huenda hata wewe una tatizo mahala mpaka inafikia hatua mtoto wa 1998 anakudharau. Huo ujasiri wa kumdharau mtu aliemzidi umri tena mume wa Dada yake, ambae wakati huo yuko kwake(kwako) ,anakula chakula cheke(chako),n.k.

Tueleze mkuu,shida yako ni ipi? Au ulimtaka? Au mkeo kamwambia kwamba una nyumba ndogo na michepuko kibao?

Kama hakuna tatizo ila anakuletea tu jeuri nakushauri ufanye uwezalo ili wote wajikute wako MOI.
 
1. Hakikisha unaifilisi hiyo biashara iishe
2. Toa talaka mgawane mali uanze upya. Maana mke bado hajawa na akili ya kuolewa bado ana akili ya kuishi kwa baba na mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…