Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

We jamaa ni lofa sanaa yaani mpaka unakera, mwanaume halisi inabidi uwe na roho kama ya Putin, ukisema umesema na hakuna wa kuhoji wala kupinga maamuzi yako.

Hivi mnaanzaje kuoa bila kujua ni jinsi gani mmejifunga vitanzi wenyewe kilichobaki ni kupiga stuli teke kamba ikaze ufe, mwanaume ukishakubali ndoa ujue umeshaingia kaburini, tena kaburi ulilochimba mwenyewe.

Unachofanya ni kubuy time tu unazuia mchanga usijae kaburini ila with time utakuwa huna namna utazidiwa kete na huo ndo mwisho wako. Wewe kama shemeji yako kakwambia huo utopolo jua ww ni kikaragosi tu humo ndani ushanyang'anywa mamlaka yako hivyo huna budi kuyarudisha kibabe ikibidi njia hatari na ogofya kutumika kama PUTIN mwamba anavyopeleka moto kwa wale mashoga wa westz

uchagani hatutoi wazembe mzee kaza afe kipa afe beki!!!
 
Mrejesho kesho kaka

Japo yapo ambayo yamejitokeza mpaka sasa.
Kesho nitashusha ndondo yangu ya mwisho na kufunga mjadala huu kwa ujumla wake
 
Mrejesho kesho kaka

Japo yapo ambayo yamejitokeza mpaka sasa.
Kesho nitashusha ndondo yangu ya mwisho na kufunga mjadala huu kwa ujumla wake

Mpuuzi tu wewe. Hakuna mkurya wa hivyo. Kwenye hii biased story yako ni vile tu hujasema your crookness.

Hakuna baba wa kikurya anaemtembelea mtoto wake aliye olewa au kuoa akaingia kwenye nyumba yao hata kama ni bonge la mansion na wana idependet houses apo kwa same compound, baba wa kikurya hatumii Ni marufuku. asa wewe unasema eti anakuja kukaa kabisa... Ukweli ni kwamba una UTAPIA MLO.

BE AS IT MAY if its true baba anakuja basi kuna pressing issue kabisa... Kiini cha mgogoro eti ni mambo yenu ya chumbani ambayo sio bearable kabisa ofcourse... What to do you just deal with the consequences... Na sio kuchafua wazee wanaokuza watu potential kabisa wa hii country.

Chagga people like yourself lack substances. They need to be controlled. E.g Mengi, kimei, mrema to name a few design
 
Samahani kwa mawazo yangu, we mchaga mwenzangu acha Ufala. Ni aidha mwanamke ana mali au ulichangia kidogo ndio maana wana jeuri, ila kama unataka kuwa baba, kwanza timua huyo dogo, pili hakuna kuishi na mkweo, akae kwake msaada utamfuata aliko. Simamia hapo hakuna kuyumba
 

Huyu ana ufala sana. Well said... Yeye ndo ana bigger problem it seems.

Ni kweli mashemeni wa kikurya wanapenda kuishi kwa dada zao wenye uwezo / wanafedha zao kibinafsi tofauti na za mwenzi

Point two yako hio ni kanuni ukuryani mkwe wa kiume kamwe haingii kwenye nyumba ya watoto wake asilani abadani.

Mkwe wa kiume ikitokea kawatembelea basi anatafutiwa makazi nje ya mji kwa muda wote atakaokuwa kawatembelea atafanya hivyo sababu zenyewe ni kama matibabu au serious issue. Ila kwa mkwe wa kike (mama/bibi) hao wanakuja tu esp ni mama wa mume kama sio ivyo basi wanakuwa wanakwepana na mkwelima wake wa kiume

Halafu linakuja taahira linaanza kuwachafua wababa wa kikurya ambao wana high ethics and discipline.

So far imeshaonekana na thinking members hapa kwamba hili bwege ndo limepwaya. Shemeji alikua sahihi kulitolea uvivu cause lina breathe down their necks mno. You nut give them a break you f*ucker
 
Hadi sasa kurudisha nguvu zako na kuvuruga mipango walio kupangia unatakiwa ufanye haya.....
1. Fukuza huyo dogo kama mbwa.
2. Filisi hilo duka .
3. Potea nyumbani siku tatu hata ukienda kukaa gest poa tu. Alafu siku ukirudi ni ukauzu tu na sentensi ngumu za kibabe. Yaani uje mpyaa kabisa.

Ukiona mkeo amekaza nae jua alicho kumbia dogo ni ukweli na mpango mkakati hivyo basi hutakiwi kurudi nyuma ongeza mashambulizi kiroho mbaya ...mzee ukilegeza hapa wewe na hizo mali mtapotea kama upepo. Na ukicheza hapa umeisha tukuambie tu ukweli wewe jifanye jentromen

Ukitaka njia za kibaharia ili usipoteze mali zako nyingi sema tukupe
 
Kuna kitu kila nikikaa chini hua natafakari sana, unajua kuna baadhi ya watu narudia tena baadhi sio wote, wanapambana sana kuyasaka mafanikio na siku mtu huyo akianza kufanikiwa hua achukui mwaka anakata pumzi/anafariki alafu mafanikio yake yote wanayala waliobakia, hua najiuliza maswali mengi kuhusu hili ila majibu hua hayaji kabisa

Umenielewa sijui?
 
Huyu atakuwa ana matatizo yake hataki kutaja na anayetuhumiwa hatuja msikia upande wake
 
Umemwacha mpaka leo tare 17,dah!alitakiwa aondoke siku ile ile ya tukio.
 

Ungepaswa umtandike huko Shemeji yako kisha ufukuze wote waende kwao.

Kisha Mkeo arudi siku akililia Sana Kurudi.
Kama hatolilia ndio imetoka hiyo

OA mwanamke mwingine
 
Unaonekana unatawaliwa na hao wanawake, twanga talaka kwanza mambo ya kugawana mali huja baadae siyo tatizo. Kwanza waondoke hapo, labda kama ukitoa talaka wewe ndo inabidi uondoke ndo maana unatukanwa na shemeji yako maana kaona hapo ni kwao.
 
Kikubwa bwanamdogo inaonekana hauna nguvu za kiume (uanaume) mwanamke wako kakushika utapata shida sana
 
Piga chini hapo huna mke kaka atakusumbua sanaa
 
Nazidi kupata ushauri wa kutosha.
Napia naamini Jf kuna Ma Great thinkers.
Wanakushauri kitu hadi unapata Amani ya nafsi.
Asanteni.
Ila punde tuu naleta mrejesho japo uzi wangu una vimelea wa ku leak kwa baadhi ya ndugu na majirani.
Asanteni[emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…