Per-diem
Member
- Aug 3, 2022
- 30
- 86
We jamaa ni lofa sanaa yaani mpaka unakera, mwanaume halisi inabidi uwe na roho kama ya Putin, ukisema umesema na hakuna wa kuhoji wala kupinga maamuzi yako.
Hivi mnaanzaje kuoa bila kujua ni jinsi gani mmejifunga vitanzi wenyewe kilichobaki ni kupiga stuli teke kamba ikaze ufe, mwanaume ukishakubali ndoa ujue umeshaingia kaburini, tena kaburi ulilochimba mwenyewe.
Unachofanya ni kubuy time tu unazuia mchanga usijae kaburini ila with time utakuwa huna namna utazidiwa kete na huo ndo mwisho wako. Wewe kama shemeji yako kakwambia huo utopolo jua ww ni kikaragosi tu humo ndani ushanyang'anywa mamlaka yako hivyo huna budi kuyarudisha kibabe ikibidi njia hatari na ogofya kutumika kama PUTIN mwamba anavyopeleka moto kwa wale mashoga wa westz
uchagani hatutoi wazembe mzee kaza afe kipa afe beki!!!
Hivi mnaanzaje kuoa bila kujua ni jinsi gani mmejifunga vitanzi wenyewe kilichobaki ni kupiga stuli teke kamba ikaze ufe, mwanaume ukishakubali ndoa ujue umeshaingia kaburini, tena kaburi ulilochimba mwenyewe.
Unachofanya ni kubuy time tu unazuia mchanga usijae kaburini ila with time utakuwa huna namna utazidiwa kete na huo ndo mwisho wako. Wewe kama shemeji yako kakwambia huo utopolo jua ww ni kikaragosi tu humo ndani ushanyang'anywa mamlaka yako hivyo huna budi kuyarudisha kibabe ikibidi njia hatari na ogofya kutumika kama PUTIN mwamba anavyopeleka moto kwa wale mashoga wa westz
uchagani hatutoi wazembe mzee kaza afe kipa afe beki!!!