Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Heheheheheheh...
Broo umetisha sanaa
 
Pole. Na yeye 'mshughulikie' kulinda heshima ya mji wako. Baba mkwe mwache aje ila mtafutie shughuli ya kufanya akuzalishie mali. He is your cheap labor...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lugha enyewe haieleweki.
Andika basi kingereza tujue umesoma eeh...?
Ulicho andika kama mkorogo wa malaya wa Chuo.
 
Mpumbavu Sana uyo shemej yako,
Ukizembea atakuharibia Ndoa yako[emoji4]
 
Huwa napenda Sana comments zako,
Unajua sana kushauri, kongole kwako[emoji106]
 
Ukishindwa kusimamia maamuzi yako wewe ndio utakuwa umeolewa humo ndani na inaonekana wewe ni dhaifu.
 
Acha maneno mengi, tunataka tujue mrejesho.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Lugha enyewe haieleweki.
Andika basi kingereza tujue umesoma eeh...?
Ulicho andika kama mkorogo wa malaya wa Chuo.

Unafikiri kuna mrejesho wowote toka kwa huyu aliyekuziwa mbege huko kwao Machame kishimundu...

The girls were right to treat this imbecile and impotent bastard just like he deserves.

Wala nisingeshauri wala kusoma thread ya mgonjwa wa utapia mlo kama huyu ila niliona tu anawadisi wazee wetu eti wakakae kwake... Ha ha ha toka lini? Na hajaoa mkurya wala nini ni chuki na husda tu ambazo ni consequences za matumizi ya mbege hadi damu inabadilika kuwa good for nothing.

Nimekataa go kick rocks while at that find fellow stupid girl to go mess with... Achana na hao mtu na dada yake their pride just runs deep... Only big gentlemen put on with their game.

Sio kidudu mtu dhaifu like you unachoweza ni kunywa mbege tu so the next time ukishakunywa mbeke zako tafuta mtaro ulale like you do back home na sio kuwaletea these super models maujinga wala kupandisha threat kwa great thinkers. PUMBAV*U
 
Watu wajue jamani dada yako/mtoto wako akiolewa waache waishi kwa amani, et baba mtu unataka ukaishi kwa mkwe hivi waswahili tupoje?
Kila mtu akae kwake jamani ndugu huwa wanavuja miji za watoto wao
 
Yaaaaaanu nimesoma kwa hasira and im still shaking[emoji32], au unaudhaifu flani ambao haujausema hapa? au kuna tatizo lingine linakusibu mkuu na hujaeleza hapa? au ni nini hasa[emoji34]

Jesus christ!! ningemng'oa meno huyo dem unaemwita shemeji, yani takataka yoyote inayoishi kwangu na inaspend jasho langu hawezi kunipandishia kimdomo chake, hata kue na jambo gani unless unalelewa mkuu.

Ningempa kereb za kutosha yani angeona rangi yangu harisi[emoji36], then mda huo huo wangesepa kwanza wao mizigo yao ingewafata nyuma, unachekaje na nyani? Huyo mkeo ni stupid a*ss bit*ch na wewe pua naomva nikutukane kidogo ili akili ikukae sawa, wewe pia ni mpumbavu, hata iweje usiruhusu kudharauliwa na nyani yoyoye tena nyumbani kwako, unaweza usiwe unaweza kupigana au unaogopa issue za kuwatoa meno basi tumia njia za kidipromasia basi, akishakuongelesha hivyo wala usitie neno, ingia ndani chukua vilago vyao watupie nnje alafu anzisha mtiti wa kuwatisha na vimba waondoke na usitoe hata cent moja.

Ghaaaaaaiiii yani if possible mkuu nipe number ya huyo shemeji yako inbox nijifanye ndugu yako nimtetemeshe vilivyo, kesho tu ataaga mwenyewe na akijifanya nunda natimba[emoji36]

We ni mwanaume kweli mkuu? mbona unanitisha? unaruhusuje kitu kama hicho mbwa mmoja tena puppy anakukoromea tena inside your house na mmemfuga[emoji36] akhi tungegawana majengo ya serikali, huyu hospital au motuary na mwingine gerezani, acha use*ge kua mwanaume mbwa we.
 
Watu wajue jamani dada yako/mtoto wako akiolewa waache waishi kwa amani,et baba mtu unataka ukaishi kwa mkwe hivi waswahili tupoje??
Kila mtu akae kwake jamani ndugu huwa wanavuja miji za watoto wao
Huyo mtoa kuna vitu anaficha wazee wakikurya hawezi kwenda kuishi kwa mtoto wao wakike inamaana wawe shini ya mtu ikokitu ni kigumu sana maana wazee wakikurya hawana njaa huyu kajificha kwa mzazi wa mke wake wazee wakikurya hawezi kwenda kuishi chini ya utawala wa mtu baki na hawana njaa kufikia wakakimbia kwenye mji wake yaani aondoke kijijini aache ng'ombe na mashamba.
 
Kuna kesi nyingine kabla hujaleta katika platform kama hii, uwe tayari umemtandika mtu vitasa vya kutosha, yaani unakaa unamsubiria akutamkie maneno yote hayo unamwangalia tuu, bahati nzuri wamekutana na wewe.
 
Mkuu kuna nafasi umeiacha, hujasimama kama mwanaume kwenye nyumba yako

Kifupi mkeo anatakiwa afahamu mipaka yake kuhusu nyumba yenu, ukikosea hili utadharaulika sana, huyo shemeji mtimue, piga marufuku mtu yeyote kufika nyumbani kwako bila ridhaa yako.

Simama kiume urudishe heshima yako kama baba.
 
madhara ya kujivika demokrasia ya ushamba KWENYE mahusiano

ulitakiwa kuwa na sura ya mbuzi baada tu ya kumaliza fungate lenu kifuatacho hakuna mbuzi anaweza kukutolea pua mbele sio mkeo sio huyo shemeji ambaye pia ulitakiwa uwe ushamvua nguo tangu afike kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…