Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Mtom* e huyo....umemchelewesha sana
 
Jiandae kuuwawa na kuwaachia ufalme wa mda mfupi,you have to see it coming.
Wanataka kukutoa kwenye reli ili ukimbie uwaaxhe n duka na nyumba
 
Mfanye mke wa pili.
 
Ndugu itakua wewe ni wa buku mbili ama umeoa ukiwa mdogo, hizo ni dalili mbaya wameisha lishana maneno kitakacho fata utachangiwa mpaka wewe uhame nyumba, ni i cha kufanya kwanza mtoto wa kike huyo shemeji alipaswa alale nje alale gest ukiamuka unamfunga mpaka stend anarudi aliko toka , ikiwa mke akajaribu kuingilia ugomvi nayee apewe mapumziko ya mda kwao , na akirudi nyumbani hakikisha anakua mama wa nyumbani kwa zaid ya mwaka , mwanamke akisha zoea kutoka na kuesabu pesa matokeo ndo hayo. Pole mnama.
 
Aise hili ni tatizo la kuacha misingi na mila zetu za kiafrika sasa mtu anakupangiaje mambo ya familia yako kuwa mwanaume uairuhusu huo ujinga upo nyumbani kwako thry have to live by your rules full stop
Kuna jamaa yangu mmoja nae tena wakili ika anachofanyiwa na mke wake yanafanan na wewe na ukijaribu kumnasua anaenda kumwambia mke wake unashangaa unanuniwa na mke wake bila ya sababu, yani hadi mama mkwe wake anaingilia ofisi yake ya uwakili kujua alichopata aisee wanaume wa siku hizi
 
Aondoke chap, j3 mbali mpe nauli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…