Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Kaka nakupa siri tu dada zetu wa kikurya wanaenda kwa mbio sio kinyonge hivyo, kinachofata wewe utapigwa makofi
 
Jitahidi uwe na kipato chako tofauti na hivyo vipodozi vya mkeo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaaaaa! Nimecheka kisengeee sanaaaaa
 
Tupe mrejesho kama hao Malaya bado wapo.Na kuaidi ukiendelea kuwakumbatia lazima uishie pabaya.
Tena kama huyo shemeji yako hatokuja kuolewa na wala kwenda kokote.
 
Pole kaka, naona unasema unajuta kuoa Mkurya. Mimi ni Mkurya hatuko hivyo, tuna mapenzi ya kweli na kuheshimu waume. Huyo uliyemuoa na mdogo ake, ni jinsi walivyolelewa tu kwao.

Pia punguza upole, simama kama mwanaume, kama baba, kama mume katika ndoa na nyumba yako. Hao ndugu zangu vimeo, peleka wote kwao wakashike adabu kwanza.
Kuna wakurya wanawake wa 2 nawafahamu, ni wababe na viburi hatari. Wametengana na waume zao. Wana miili halafu jeuri hatari.
 
Nadhani kuwe na kitchen party ya wanaume serious
Ukikosa sauti ndani ya Nyumbaa mwanamke atakupandaa Kichwanii mpaja utajua hujuii.. Na huwa hawaanzi haraka ya anaanza taratibu tuu wew unajua ndo mapenzi kumbe ndo unaanza kuburuzwaa hivyoooo...!
 
Ukikosa sauti ndani ya Nyumbaa mwanamke atakupandaa Kichwanii mpaja utajua hujuii.. Na huwa hawaanzi haraka ya anaanza taratibu tuu wew unajua ndo mapenzi kumbe ndo unaanza kuburuzwaa hivyoooo...!
Acha kaka Rik wakuria sio watu ni Machizi
 
Kumbuka hili kabila haliendi bila sekeseke (vipigo), nasikia amani ikitawala sana wanaweza rusha hata mawe juu ya paa Kisha kukinga mgongo kupata maumivu. Huyo shemeji yako machweyo ya kesho yeke hakutakiwa kuwepo kwako, ni sumu. Mlipe haki zake apoteee. Pili mkeo naye shida inaonekana anashikiwa akili kirahisi sana.
 
Tafuta mbinu zozote mtafune hyo shemeji yako .

Nyumba itatulia.
 
Mpaka leo hujaleta mrejesho
Kweli sijaleta Mrejesho ila ni Kubwa na Makubwa.
Nasubiria nifikie hatma,maana tangu huu uzi unyanyuke hakukuwepo na maelewano mpak kipind flan.So acha nyundo ya mwisho ilie basi ntakuja na Mkanda woteee alafu muone mwenzenu maisha ya ndoa yangu nilio ishi na kupitia.Alafu tujiulize sote kwa pamoja.
 
Kweli sijaleta Mrejesho ila ni Kubwa na Makubwa.
Nasubiria nifikie hatma,maana tangu huu uzi unyanyuke hakukuwepo na maelewano mpak kipind flan.So acha nyundo ya mwisho ilie basi ntakuja na Mkanda woteee alafu muone mwenzenu maisha ya ndoa yangu nilio ishi na kupitia.Alafu tujiulize sote kwa pamoja.
Pole mkuu
 
Wakuu naomba ushauri.

Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu niliyotafuta pamoja na mke wangu. Baada ya wahitimu kumaliza chuo mwaka huu mke wangu aliniomba mdogo wake aje kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mke wangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa
Jana nilienda dukan kwetu na mke wangu (duka la vipodozi), lengo kumfuata shemeji na kupiga hesabu na kufunga duka. Dakika chache mke wangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.

Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote. Ikumbukwe yote haya yanafanyika dukani tukiwa wote watatu namaanisha mimi, mke wangu na shemeji. Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mke wangu ananieleza kuwa "Baba atakuja kesho na nimeshamtumia na nauli"

Mi nikamjibu kwa njia ya ujumbe wa simu, "Unaniambia ama unanipa taarifa?" Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea Kikurya yeye na mdogo wake (mimi mchaga). Mimi hapo sielewi kitu ila nyuso zao ni kama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pikipiki, mdogo mtu (shemeji) alibaki dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani sasa nikamuuliza mke wangu kwanini umekasirika kwa ujumbe kama ule angali sijaandika tusi?

Ailinijibu we niache kwanza, ushamzika baba yako hivyo huna cha kupoteza. Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako, maana yanayoongeleka ni mengi sana hasa juu ya mimi na wewe.

Maana unayomueleza nduguyo huwaeleza hata watu wa karibu. Dah, baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake na kumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.

Alifunga duka na akarudi nyumbani spidi ya jeti na kunikuta sebulen nimekaa naperuzi JF. Kwanza alipofika tuu nyumbani aligonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna mtu ana tuvamia. Alipotimba sebulen akaanza kwa kusema ilikuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako?

"Halafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana? Unadhani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani? Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana, naishi na wewe kwa kukuvumilia sana?Nlisha kudharau sana.

He he..he! Nlibaki nashangaa sana, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu, ni wa mwaka 98. Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahi kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu, mimi nimeamua asepe kwao ifikapo Jumatatu ya tarehe 17, October. Japo mke anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana nina mawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya Biashara, halafu pia ndugu lakini sina namna.

Nawasilisha.
Kisa cha kumuacha huyo shemeji yako hadi October 17 ni nini? Ingekuwa mimi angeondoka siku hiyo hiyo mara tu baada ya kumaliza maneno yake ya shombo.
Mchaga inaonekana huna kauli kwa mkeo, pole!
 
Wakuu naomba ushauri.

Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu niliyotafuta pamoja na mke wangu. Baada ya wahitimu kumaliza chuo mwaka huu mke wangu aliniomba mdogo wake aje kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mke wangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa
Jana nilienda dukan kwetu na mke wangu (duka la vipodozi), lengo kumfuata shemeji na kupiga hesabu na kufunga duka. Dakika chache mke wangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.

Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote. Ikumbukwe yote haya yanafanyika dukani tukiwa wote watatu namaanisha mimi, mke wangu na shemeji. Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mke wangu ananieleza kuwa "Baba atakuja kesho na nimeshamtumia na nauli"

Mi nikamjibu kwa njia ya ujumbe wa simu, "Unaniambia ama unanipa taarifa?" Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea Kikurya yeye na mdogo wake (mimi mchaga). Mimi hapo sielewi kitu ila nyuso zao ni kama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pikipiki, mdogo mtu (shemeji) alibaki dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani sasa nikamuuliza mke wangu kwanini umekasirika kwa ujumbe kama ule angali sijaandika tusi?

Ailinijibu we niache kwanza, ushamzika baba yako hivyo huna cha kupoteza. Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako, maana yanayoongeleka ni mengi sana hasa juu ya mimi na wewe.

Maana unayomueleza nduguyo huwaeleza hata watu wa karibu. Dah, baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake na kumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.

Alifunga duka na akarudi nyumbani spidi ya jeti na kunikuta sebulen nimekaa naperuzi JF. Kwanza alipofika tuu nyumbani aligonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna mtu ana tuvamia. Alipotimba sebulen akaanza kwa kusema ilikuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako?

"Halafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana? Unadhani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani? Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana, naishi na wewe kwa kukuvumilia sana?Nlisha kudharau sana.

He he..he! Nlibaki nashangaa sana, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu, ni wa mwaka 98. Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahi kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu, mimi nimeamua asepe kwao ifikapo Jumatatu ya tarehe 17, October. Japo mke anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana nina mawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya Biashara, halafu pia ndugu lakini sina namna.

Nawasilisha.
Je, umewahi mpitia huyo shemeji yako? Kwanini amekosa adabu kiasi hicho? Isije ikawa umewahi mpitia au umefanya jambo lililokushushia heshima mbele yake!
 
Back
Top Bottom