Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Hiyo biashara ishaanza kumtia kiburi mkeo,fukuza huyo shemeji hapo nyumbani kwako,mkeo mpeleke akapumzike kwao kwa muda usiojulikana,dukani weka mtu japo risk mpaka utakapoamua arudi,na atakaporudi hilo duka usimpe madaraka kama ni duka lake iwe tu kama msimamizi
Ukimpeleka kwao akirudi anakuua, atakua kashasuka mipango swafi na Idea kama zote, Familia ishampa sumu za Kutosha akirudi huchukui raundi tunamuimbia muhuni
 
Hayo unayo yaongea ni endapo huyo mke akaamua yaishe kidini lakini akihitaji sheria inayo mlinda yeye itumike hata akangekuwa ana lala msikitini sheria ya ndoa itatumika kama inavyo tumika kwa yeyote yule
Kiufupi ni wachache mnoo wanaofuata izo sheria za ndoa ila % kubwa hawafuati izo sheria ndio maana unamuona Bugatti kila leo anafunga ndoa
 
Hahahahahah
Omba yasikukute broo
Huenda hii chai??, mbona una furaha Jambo kukuvua uanaume wako??, pili unaonekana mdhaifu kwa mkeo kwa sababu umekomaa kumrudisha shemejio Ila mke unakwepakwepa, kama kweli ipo siku utalia machozi na hata hutawahi pata nguvu ya kuomba ushauri humu, coz utajijua kumbe uanaume wako una mapungufu, hongera mkuu endelea kumpenda mkeo
 
Wakuu naomba ushauri
Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu nilio tafuta pamoja na mkewangu.
Baada ya Graduate kumaliza chuo mwaka huu mkewangu aliniomba aje mdogo wake kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mkewangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa:Jana nlienda Dukan kwetu na mkewangu (Duka la vipodozi)
Lengo kumfuata shem na kupiga hesabu na kufunga duka.Dakika chache mkewangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote.
Ikumbukwe yote haya yanafanyika Dukani tukiwa wote watatu i mean mimi mkewangu na shemeji.
Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mkewangu ananieleza "kuwa baba atakuja kesho na nimesha mtumia na nauli"

Mi nika mjibu kwa njia ya meseji ya simu, "una nambia ama una nipa taarifa"
Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea kikuria yeye na mdogo wake (Mi mchaga) mi hapo sielewi kitu ila Nyuso zao nikama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pik pik mdogo mtu ( shemeji) alibaki Dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani
Nilipo fika nyumbani sasa

Nikamuuliza mkewangu kwanini umekasirika kwa maseji kama ile angali sija andika tusi..?

Ailinijibu we niache kwanza usha mzika baba yako hivyo huna chakupoteza.
Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako maana yanayo ongeleka ni mengi sana hasa Juu ya mimi na wewe.
Maana unayo mueleza nduguyo huwaleza hata watu wa karibu. Dah baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake nakumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.Alifunga duka na
akarudi nyumbani speed ya Jet na kunikuta seblen nimekaa naperuzi Jf.
Kwanza alipo fika tuu nyumbani aligonga mlango kwanguvu sana as if kuna mtu ana tuvamia.
Alipo timba seblen akaanza kwa kusema
Ili kuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako...???

"Alafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana"

"Unazani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani"
"Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana"

"Naishi na wewe kwa kukuvumilia sana"
Nlisha kudharau sana.

He he..he
He...!!! Nlibaki na shangaa sanaa kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu niwa mwaka 98.

Mwisho akasema bhanaa eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)
Hata dada yake hakuwahu kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu mi nimeamua asepe kwao ifikapo J3 ya trh 17 Oct.
Japo wife anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana namawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya biashara.
Alafu pia ndugu lakini sina namna.
Nawasilisha.
Ungewapa likizobwote na mkeo.
Huna mke una debe tupu mkuu.

Mke asiyetunza siri za mumewe ni muuaji.

Pili mkwe hawezi kuja bila taarifa kwako kwanza, alipaswa akushirikishe wewe ndiye ulipaswa kutuma nauli.
Huna mke wewe
 
Kaka shida watoto wa watu.
Utalipishwa gharama za matibabu bure.
Utaangaika na haki ni ya kwako.
Ila umefanya vzr ujampiga mtot wa mtu ila ungesima katk uwanaume kuwa huyo bint leo aondoke pale wakt uanfanya namna Bora ya kuachna na mke wako
 
Kwanza Naona umetaja makabila. Huyo dada sio mkurya halisi itakuwa Ni zile jamii za kikurya ingawa Ni wababe dada zetu inabidi uwe ngangali yaani mbabe zaidi yake ndipo maisha yataenda.

Pili wakurya halisi Kama babmkwe Kuja kwa binti yake huwa Ni ngumu mkuu labda Hawa borntown. Ila Kama baba anakuja kwa kijana wake wa kiume anakuja na yenyewe sio kuwa Ni always and oftentimes.

Hiyo nguvu ya dogo imetokea kwa sister yake ndio akampa power.
Pili ujue Kuna kuoana yaani wote mkatendana ,Kuna kuoa Kama mwanaume ukabeba majukumu yote na tatu Kuna kuolewa na mwanamke.
Hapa nimemaanisha kuwa hapo home Ni Nani akabeba familia mabegani. Nani akabeba load kubwa almost 100%.

Sijui Kama unanielewa Kama mwanamke naye akabeba load fulani kwa asilimia fulani so anakuona huna effects kwake, ilo duka Ni Nani alitoa mtaji likafunguliwa.

Kama huyo mkeo Ni mkurya Ni wa Kijiji gani. Pia muulize yeye Ni ghesaku gani. Kwani vitu Kama viwili ama vitatu nikiuliza mtu najua kuwa huyu ni yule real kurya kabisa yaani pure substance na sio impure ,yaani Ni full element purity yake Ni 100%.

Ila wapo wenye kiburi Kama wametokea vijijini fulani Kama machame Kuna Wana mbavu na kiburi yaani humbabaishi.

Hapo mie nakushauri ucheki namna uachane naye kweli Mana dogo akishapata kazi like USA embassy akawa anakula hela ya maana aka drive like 200M usafiri najua utapata shida mno. Atamfungulia sister yake biashara kubwa utashangaa.

Fanya hivi nitumie namba ya shemu wako pm mkuu Kama hutojali ama umnanihii huyo shemu wako ili heshima ishike mkondo.
 
tumia hekima mdogo mtu asepe soon na mkeo mkalishe umueleze , kama haelewi : note hili fanya haya kama una uchumi wako mwenyewe na hutegemei msaada wa mkeo , nje hapo kama mkeo ana mchango wa uchumi kwako jifanye kama hujasikia
 
USIPUUZE HILI.

Haraka tafta mwanasheria andikisha kisiri mali zako 3/4 yaan robo tatu ya mali zako kwenye majina ya rafiki ama ndugu unaemwamini, then hiyo robo inayobaki acha andika kwa jina lako ambayo hata hao washenz yaan mkeo na shemeji yako wakitaka kugawana na wew usipoteze pakubwa.

Acha uboya huyo mke ni mwehu awezi karibisha mijitu nyumbn kwako hovyo hivyo, hana akili wew pia hauna akili maana umekosa maamuzi kama mwanaume.

Just imagine unatukanwa ndani ya nyumba yako[emoji23], IHIIIII BHAAAGHOOSHAAA NINGEUA MTU...
 
Anzisha moto sasa ivi amsha wote kama wamelala weka kikao sebreni wavimbie kiume nguruma, mind kasirika waambie kabisa jambo lililotokea linakunyima usingizi haiwezekani upuuzi kama huo utokee alafu ukawa kimya tu ndo maana wanakuchukulia poa

Unawezaje kulala Kmmk piga biti umo ndani huu ndo muda mzuri au subir ifike saa 7 night amsha wote wape attention moja yakibabe

Apo si nyumbani kwako onesha uanaume isitoshe hata kutombewa unatombewa sana tu we jamaa
Uko sahih kbsa awamshe alfu awatetemeshe Hadi asbh wasema kusudio lao Ni nn uko sahih sana
 
Simama kama mwanaume; dukani ajiri kijana na akutambue wewe ndio bosi pekee, weka vikwazo vya kiuchumi hapo nyumbani, kwa siku acha 500 ya matumizi, we kula hotelini/mgahawani; usicheke cheke na mkeo wala ndugu zake, we ukifika nyumbani kunja sura; ndani ya siku 5 ataomba msamaha.
 
Back
Top Bottom