financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Shemeji kazingua unamtukanaje mume wa dada? Means umemshusha thamani hata dada pia, ungekapiga makofi 2 3 akili imkae sawa. Aende home kwao tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina hapa umenena sana brooHii tamaa ya kugawa mali baada kuachana kwa wanadoa ni kwa upande wa wakristo tu kwa waislamu hukuti huu upumbavu na mtoa mada inaonekanan ilo jambo la kugawana mali limekushtua san na uyo shemeg yako hajaongea ivo kwa bahat mbay huo ndo mkakati walionao yey na dada yake la kufanya fukuza uyo shemeg mtu ata kesh asubuh mpem san na mpige stop baba mkwe abaki uko uko kwake na kaa chini na mke umueleweshe kuwa wew ndie mkuu wa kaya
Tafuta mteja taifisha hilo duka. Au tafuta binti mtiifu weka hapo dukani. Huyo mwanamke peleka kwao. Akisema muuze nyumba mwambie atafute mteja akija akitaja bei akiikubali airisha mauziano kile kiasi nusu mtafutie mpatie cash mkononi. Mwambie atambae kwao.Mimi ni muajiriwa...
Vipodozi duka tuu kwa ajili ya pesa home za bili na chakula basi.
Amini brother sheria nyingi siku hizi...Wanaume wengi wanaolalamika hapa JF ukisoma mikasa yao….Yaan unaelewa kabisa moja kwa moja why wanadharaulika!
Man up mdau!
Asante kaka...Wewe ni either shoga au taahira
Rombo MamseraMchagga wa kishumundu
Unamuongezea tu mwenzake kuna ndoa za dini na za kimila.Na ndio maana sina mpango kabisa wa kufunga ndoa na mtoto wa mtu, wakishapata cheti na mkiwa na mali wanakua na viburi sana.
Yaani mpaka najiuliza asee...???Wazee wengine bana sijui wamekulia familia za vipi. Yaani hawana uti wa mgongo wa kiume kabisa.
Kuna koo mkwe kwanza akija kwako ni kachungulia juu juu na kusepa. Ila sio kukaa hapo hapo na kuweka Kambi.
Mkuu baada ya kumalizia kusoma uzi wake nilijawa na hasira, mshangao na kujiuliza huyu kweli ndio mwanaume wa familia? Tena anaomba ushauri wa jambo ambalo alipaswa kwanza awaoneshe uwanaume wake wote mle ndani yaani dogo na dadaake? Kwakusoma ujumbe wako kidogo nimefarijika kuwa kumbe WANAUME HALISI BADO TUPO.Ingekuwa mimi huyo binti angepata maumivu makali halafu yeye na dada yake wangelala stendi kwa safari mapema asubuhi.
Hizi swaga ninazo sana kakaa...Anzisha moto sasa ivi amsha wote kama wamelala weka kikao sebreni wavimbie kiume nguruma, mind kasirika waambie kabisa jambo lililotokea linakunyima usingizi haiwezekani upuuzi kama huo utokee alafu ukawa kimya tu ndo maana wanakuchukulia poa
Unawezaje kulala Kmmk piga biti umo ndani huu ndo muda mzuri au subir ifike saa 7 night amsha wote wape attention moja yakibabe
Apo si nyumbani kwako onesha uanaume isitoshe hata kutombewa unatombewa sana tu we jamaa
Aondoke Jumatatu, hiyo kesho wanashondaje hapo nyumbani na mtu anauekudharau na dadaake?Mimi huwa naitwa mkorofi bila sababu za msingi. Kwa mfano ningekuwa mimi ndio wewe huyo binti asingelala ndani usiku huo. Jinsi ulivyo mvumilivu umesema eti aondoke Jumatatu
Jamaa kaaibisha uanaume wake. Hilo sio jambo la kuja kuandika jf.Mkuu baada ya kumalizia kusoma uzi wake nilijawa na hasira, mshangao na kujiuliza huyu kweli ndio mwanaume wa familia? Tena anaomba ushauri wa jambo ambalo alipaswa kwanza awaoneshe uwanaume wake wote mle ndani yaani dogo na dadaake? Kwakusoma ujumbe wako kidogo nimefarijika kuwa kumbe WANAUME HALISI BADO TUPO.
Yaani toka amefika humu ndani yeye na mkewangu wao wako pamoja kila sehem.Naona mipaka baina ya familia yako na yao hakuna.
mke anaamua analojiskia then ww unapewa tu taarifa..
Kuwa mwanaume.
Yaani shemeji mtu anatoa maneno mazito hvyo huyo ndoa itakuja mshinda mapema sana. Halafu inaonyesha wakiwa wawili kuna ujinga mwingi sana wanakuzungumzia na mkeo kupewa kichwa.
Asantee hapa nlikuwa na skizia na Comment yako mpendwa.Sasa naweza lalaa dah.Shemeji kazingua unamtukanaje mume wa dada? Means umemshusha thamani hata dada pia, ungekapiga makofi 2 3 akili imkae sawa. Aende home kwao tu