spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Ningekua mimi angebak tu Shemeji mimi nshakudh.....
Muda huo majirani wananvuta vuta
Muda huo majirani wananvuta vuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good!Mimi nadhani mkewangu huwenda anamueleza sana yalio chumbani kwetu.
Warudishe wote Kwao. MI mkurya naowajua dada zetu viburi sana Hao. Ndo maana sisi tunawapigaga vitasa ili wakae sawa. Sasa wewe mchaga unaleta diplomasia ya Washington..... Ingetakiwa now unaandika na yeye shavu limevimba.Wakuu naomba ushauri
Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu nilio tafuta pamoja na mkewangu.
Baada ya Graduate kumaliza chuo mwaka huu mkewangu aliniomba aje mdogo wake kuishi nasi pamoja.
Sasa baada ya kipindi kupita mkewangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.
Kisa:Jana nlienda Dukan kwetu na mkewangu (Duka la vipodozi)
Lengo kumfuata shem na kupiga hesabu na kufunga duka.Dakika chache mkewangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote.
Ikumbukwe yote haya yanafanyika Dukani tukiwa wote watatu i mean mimi mkewangu na shemeji.
Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mkewangu ananieleza "kuwa baba atakuja kesho na nimesha mtumia na nauli"
Mi nika mjibu kwa njia ya meseji ya simu, "una nambia ama una nipa taarifa"
Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea kikuria yeye na mdogo wake (Mi mchaga) mi hapo sielewi kitu ila Nyuso zao nikama wamefura kwa hasira.
Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pik pik mdogo mtu ( shemeji) alibaki Dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani
Nilipo fika nyumbani sasa
Nikamuuliza mkewangu kwanini umekasirika kwa maseji kama ile angali sija andika tusi..?
Ailinijibu we niache kwanza usha mzika baba yako hivyo huna chakupoteza.
Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako maana yanayo ongeleka ni mengi sana hasa Juu ya mimi na wewe.
Maana unayo mueleza nduguyo huwaleza hata watu wa karibu. Dah baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake nakumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.Alifunga duka na
akarudi nyumbani speed ya Jet na kunikuta seblen nimekaa naperuzi Jf.
Kwanza alipo fika tuu nyumbani aligonga mlango kwanguvu sana as if kuna mtu ana tuvamia.
Alipo timba seblen akaanza kwa kusema
Ili kuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako...???
"Alafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana"
"Unazani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani"
"Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana"
"Naishi na wewe kwa kukuvumilia sana"
Nlisha kudharau sana.
He he..he
He...!!! Nlibaki na shangaa sanaa kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu niwa mwaka 98.
Mwisho akasema bhanaa eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)
Hata dada yake hakuwahu kutamka maneno kama haya asee.
Wakuu mi nimeamua asepe kwao ifikapo J3 ya trh 17 Oct.
Japo wife anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.
Pia msaada tafadhali maana namawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya biashara.
Alafu pia ndugu lakini sina namna.
Nawasilisha.
Hapana asee nina pesa nafani yangu ni ngum katik ajira zetuMbona inaonekana wewe ndo umeolewa na unalelewa mkuu.
Kaka amentukana asee jana hiyo usiku...Mbona ni kama ww ndo umeolewa...hao kina mura watakunyoosha mpaka ukome.....mtoto wa 98 anakutukana afu unamwachia kirahisirahisi
Wapo wengi tuu pindi wanapo taka kuolewa wanakuwa wema sana kakaa.Hawa Wanamke wa hivi mnawapataga wapi
Kabisa asee mi nlicho amua nataka asepe tuu huyu malaya wa chuo.Hamna ndoa hapo,chukua tahadhari usijepewa sumu ufe
jumatatu mbali, huyo anatakiwa kusepa leo au kesho. sio kwa ubaya wala nini, huyo ni mtu hatari sana, pia yafaa umwambie na babamkwe juu ya hilo na alichofanya na kukisema, na pia, unaonekana hauna sauti kwenye hiyo familia. sio kwa ugomvi wala nini lakini jitahidi kuwa mwanaume baba mwenye nyumba. kama kweli hiyo nyumba umejenga wewe mwenyewe.Wakuu naomba ushauri
Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu nilio tafuta pamoja na mkewangu.
Baada ya Graduate kumaliza chuo mwaka huu mkewangu aliniomba aje mdogo wake kuishi nasi pamoja.
Sasa baada ya kipindi kupita mkewangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.
Kisa:Jana nlienda Dukan kwetu na mkewangu (Duka la vipodozi)
Lengo kumfuata shem na kupiga hesabu na kufunga duka.Dakika chache mkewangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote.
Ikumbukwe yote haya yanafanyika Dukani tukiwa wote watatu i mean mimi mkewangu na shemeji.
Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mkewangu ananieleza "kuwa baba atakuja kesho na nimesha mtumia na nauli"
Mi nika mjibu kwa njia ya meseji ya simu, "una nambia ama una nipa taarifa"
Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea kikuria yeye na mdogo wake (Mi mchaga) mi hapo sielewi kitu ila Nyuso zao nikama wamefura kwa hasira.
Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pik pik mdogo mtu ( shemeji) alibaki Dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani
Nilipo fika nyumbani sasa
Nikamuuliza mkewangu kwanini umekasirika kwa maseji kama ile angali sija andika tusi..?
Ailinijibu we niache kwanza usha mzika baba yako hivyo huna chakupoteza.
Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako maana yanayo ongeleka ni mengi sana hasa Juu ya mimi na wewe.
Maana unayo mueleza nduguyo huwaleza hata watu wa karibu. Dah baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake nakumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.Alifunga duka na
akarudi nyumbani speed ya Jet na kunikuta seblen nimekaa naperuzi Jf.
Kwanza alipo fika tuu nyumbani aligonga mlango kwanguvu sana as if kuna mtu ana tuvamia.
Alipo timba seblen akaanza kwa kusema
Ili kuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako...???
"Alafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana"
"Unazani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani"
"Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana"
"Naishi na wewe kwa kukuvumilia sana"
Nlisha kudharau sana.
He he..he
He...!!! Nlibaki na shangaa sanaa kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu niwa mwaka 98.
Mwisho akasema bhanaa eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)
Hata dada yake hakuwahu kutamka maneno kama haya asee.
Wakuu mi nimeamua asepe kwao ifikapo J3 ya trh 17 Oct.
Japo wife anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.
Pia msaada tafadhali maana namawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya biashara.
Alafu pia ndugu lakini sina namna.
Nawasilisha.
Wanaume wengi wanaolalamika hapa JF ukisoma mikasa yao….Yaan unaelewa kabisa moja kwa moja why wanadharaulika!Wakuu naomba ushauri
Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu nilio tafuta pamoja na mkewangu.
Baada ya Graduate kumaliza chuo mwaka huu mkewangu aliniomba aje mdogo wake kuishi nasi pamoja.
Sasa baada ya kipindi kupita mkewangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.
Kisa:Jana nlienda Dukan kwetu na mkewangu (Duka la vipodozi)
Lengo kumfuata shem na kupiga hesabu na kufunga duka.Dakika chache mkewangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote.
Ikumbukwe yote haya yanafanyika Dukani tukiwa wote watatu i mean mimi mkewangu na shemeji.
Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mkewangu ananieleza "kuwa baba atakuja kesho na nimesha mtumia na nauli"
Mi nika mjibu kwa njia ya meseji ya simu, "una nambia ama una nipa taarifa"
Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea kikuria yeye na mdogo wake (Mi mchaga) mi hapo sielewi kitu ila Nyuso zao nikama wamefura kwa hasira.
Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pik pik mdogo mtu ( shemeji) alibaki Dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani
Nilipo fika nyumbani sasa
Nikamuuliza mkewangu kwanini umekasirika kwa maseji kama ile angali sija andika tusi..?
Ailinijibu we niache kwanza usha mzika baba yako hivyo huna chakupoteza.
Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako maana yanayo ongeleka ni mengi sana hasa Juu ya mimi na wewe.
Maana unayo mueleza nduguyo huwaleza hata watu wa karibu. Dah baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake nakumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.Alifunga duka na
akarudi nyumbani speed ya Jet na kunikuta seblen nimekaa naperuzi Jf.
Kwanza alipo fika tuu nyumbani aligonga mlango kwanguvu sana as if kuna mtu ana tuvamia.
Alipo timba seblen akaanza kwa kusema
Ili kuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako...???
"Alafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana"
"Unazani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani"
"Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana"
"Naishi na wewe kwa kukuvumilia sana"
Nlisha kudharau sana.
He he..he
He...!!! Nlibaki na shangaa sanaa kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu niwa mwaka 98.
Mwisho akasema bhanaa eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)
Hata dada yake hakuwahu kutamka maneno kama haya asee.
Wakuu mi nimeamua asepe kwao ifikapo J3 ya trh 17 Oct.
Japo wife anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.
Pia msaada tafadhali maana namawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya biashara.
Alafu pia ndugu lakini sina namna.
Nawasilisha.
Kaka shida watoto wa watu.Yan mi nikajua mwisho wa stori hii utatuambia umeng'oa meno kadhaa huyo shemeji yako kumbe hamna kazi kabisa ww