Tafuta Hela
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,546
- 2,983
Hawa Wanamke wa hivi mnawapataga wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliobahatika kuanza pamoja ambao mpaka leo wako wote... kina Obama ni wachache sanaKabisa acha waliotutangulia watufunze
Wote na dada mtu mkuu.Mimi huwa naitwa mkorofi bila sababu za msingi. Kwa mfano ningekuwa mimi ndio wewe huyo binti asingelala ndani usiku huo. Jinsi ulivyo mvumilivu umesema eti aondoke Jumatatu
😂😂😂Yan mi nikajua mwisho wa stori hii utatuambia umeng'oa meno kadhaa huyo shemeji yako kumbe hamna kazi kabisa ww
😂😂😂😂Ukiwa na nyumba yako hawezi kuleta zengwe maana ataondok kama alivyokujaDah nakosa hata cha kucoment, sema shida inaanzia hapa mlijenga nyumba kwa pamoja na wanajua fika huezi kuachana nae maana unahofia mtagawana mali.
My take; sioi mpaka nijikamilishe mambo yangu ya msingi nyumba, chakula, mavazi na usafiri, ili nikikutana na dhahama kama hii ning'oe toto la mtu meno, kwanza nimesahau sioi ng'oo
Marriage is a scam
Acha tuu kaka...Hapo nyumbani wewe ndio mwanaume ama mwanamke?
Maana haya uliyoandika hapa ni kama vile wewe ndio mwanamke.
Mimi nadhani mkewangu huwenda anamueleza sana yalio chumbani kwetu.Hahah
Kwa nini shemeji yako anakudharau hivyo?
Tena wa jinsia Ke!?
Mimi ni muajiriwa...Jitahidi uwe na kipato chako tofauti na hivyo vipodozi vya mkeo
Asante sana kakaaMkuu hilo kabila huwa hawapendeki kwa style unayoitumia ! Ungeoa tanga au zanzibar ningekuelewa !! Hili kabila ukiwatandika vibao ndo unakua Romantic !!
Kwanza mke inaonekana ndo ana sauti ndani kuliko wewe ! Kampa mdogo wake ujasiri !! Pia anakaribishaje mgeni wakati wewe na yeye hamjaongea !
Lamba vibao wote kwanza au waondoke kwa muda !!
Ndo dawa ya hawa masista duu wa kizazi cha nyoka, hata hawana shukran wala mapenzi wanamtumia mwanaume kama daraja tu la kurahisisha life lao😂😂😂😂Ukiwa na nyumba yako hawezi kuleta zengwe maana ataondok kama alivyokuja