Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Hicho alichokizungumza huyo binti ndio mpango mkakati walioupanga na dada yake.......hapo amekufikishia tu ujumbe ingawa amewahi kabla mipango haijakamilka........

Kuanzia sasa aanza kuishi kwa machale maana lolote linaweza kutokea Kwa wakati wowote......
Kabisa broo.
Hapo umesema...kweli

Anasema yeye hawezi babaishwa na mwanaume yeyote na dada yake ndoa yake amekurupuka.
 
Wakuu naomba ushauri
Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu nilio tafuta pamoja na mkewangu.
Baada ya Graduate kumaliza chuo mwaka huu mkewangu aliniomba aje mdogo wake kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mkewangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa:Jana nlienda Dukan kwetu na mkewangu (Duka la vipodozi)
Lengo kumfuata shem na kupiga hesabu na kufunga duka.Dakika chache mkewangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote.
Ikumbukwe yote haya yanafanyika Dukani tukiwa wote watatu i mean mimi mkewangu na shemeji.
Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mkewangu ananieleza "kuwa baba atakuja kesho na nimesha mtumia na nauli"

Mi nika mjibu kwa njia ya meseji ya simu, "una nambia ama una nipa taarifa"
Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea kikuria yeye na mdogo wake (Mi mchaga) mi hapo sielewi kitu ila Nyuso zao nikama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pik pik mdogo mtu ( shemeji) alibaki Dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani
Nilipo fika nyumbani sasa

Nikamuuliza mkewangu kwanini umekasirika kwa maseji kama ile angali sija andika tusi..?

Ailinijibu we niache kwanza usha mzika baba yako hivyo huna chakupoteza.
Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako maana yanayo ongeleka ni mengi sana hasa Juu ya mimi na wewe.
Maana unayo mueleza nduguyo huwaleza hata watu wa karibu. Dah baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake nakumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.Alifunga duka na
akarudi nyumbani speed ya Jet na kunikuta seblen nimekaa naperuzi Jf.
Kwanza alipo fika tuu nyumbani aligonga mlango kwanguvu sana as if kuna mtu ana tuvamia.
Alipo timba seblen akaanza kwa kusema
Ili kuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako...???

"Alafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana"

"Unazani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani"
"Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana"

"Naishi na wewe kwa kukuvumilia sana"
Nlisha kudharau sana.

He he..he
He...!!! Nlibaki na shangaa sanaa kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu niwa mwaka 98.

Mwisho akasema bhanaa eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)
Hata dada yake hakuwahu kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu mi nimeamua asepe kwao ifikapo J3 ya trh 17 Oct.
Japo wife anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana namawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya biashara.
Alafu pia ndugu lakini sina namna.
Nawasilisha.
Wewe ni either shoga au taahira
 
Wakuu naomba ushauri
Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu nilio tafuta pamoja na mkewangu.
Baada ya Graduate kumaliza chuo mwaka huu mkewangu aliniomba aje mdogo wake kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mkewangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa:Jana nlienda Dukan kwetu na mkewangu (Duka la vipodozi)
Lengo kumfuata shem na kupiga hesabu na kufunga duka.Dakika chache mkewangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote.
Ikumbukwe yote haya yanafanyika Dukani tukiwa wote watatu i mean mimi mkewangu na shemeji.
Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mkewangu ananieleza "kuwa baba atakuja kesho na nimesha mtumia na nauli"

Mi nika mjibu kwa njia ya meseji ya simu, "una nambia ama una nipa taarifa"
Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea kikuria yeye na mdogo wake (Mi mchaga) mi hapo sielewi kitu ila Nyuso zao nikama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pik pik mdogo mtu ( shemeji) alibaki Dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani
Nilipo fika nyumbani sasa

Nikamuuliza mkewangu kwanini umekasirika kwa maseji kama ile angali sija andika tusi..?

Ailinijibu we niache kwanza usha mzika baba yako hivyo huna chakupoteza.
Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako maana yanayo ongeleka ni mengi sana hasa Juu ya mimi na wewe.
Maana unayo mueleza nduguyo huwaleza hata watu wa karibu. Dah baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake nakumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.Alifunga duka na
akarudi nyumbani speed ya Jet na kunikuta seblen nimekaa naperuzi Jf.
Kwanza alipo fika tuu nyumbani aligonga mlango kwanguvu sana as if kuna mtu ana tuvamia.
Alipo timba seblen akaanza kwa kusema
Ili kuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako...???

"Alafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana"

"Unazani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani"
"Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana"

"Naishi na wewe kwa kukuvumilia sana"
Nlisha kudharau sana.

He he..he
He...!!! Nlibaki na shangaa sanaa kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu niwa mwaka 98.

Mwisho akasema bhanaa eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)
Hata dada yake hakuwahu kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu mi nimeamua asepe kwao ifikapo J3 ya trh 17 Oct.
Japo wife anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana namawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya biashara.
Alafu pia ndugu lakini sina namna.
Nawasilisha.
Peleka wote nyumbani kwao kwanza wakashike adabu na talaka hamna kutoa
 
Huyo shemeji yako ulimtongoza nini?! Kwann akuletee dharau za gharama nafuu hivyo?!

Halafu hizi Ndoa za kulazimishana kubeba majukumu ya familia huwa zinakuwa na lawama za kijinga sana.

Huyo mkeo ni mjinga na hana hekima hata kidogo. Wewe kama ulikuwa unaweka faragha halafu yeye analeta ujinga wa kuongea na mdogo wake hiyo ni sababu tosha ya kumrudisha kwao akajifunze adabu.

Hapo asiondoke tu mdogo mtu waende na dada mtu ili akajifunze adabu. Na akikaa miezi 6 hajarudi au kuomba kurudi piga chini nenda katafute mke mwingine ujenge ndoa mpya.

Mwanamke mwenye dharau za kipumbavu usicheke nae atakuja kukusumbua sana huko mbeleni. Dharau katika mahusiano ni mwiko na ni kosa kubwa sana kucheka nayo.
 
Good!

Hivyo tatizo Sio shemeji yako.. Bali mkeo maana ndio anauza ramani.

Pole sana.. Yahitajika hekima ya hali ya juu sana kuvuka hapo.
Asante kaka kwa ushauri...
Na nime amini mauwaji kwenye mausiano hayawezi isha.Kwa Jinsi nilivyo sota juu ya hizi mali alafu leo wanaongea kirahisi hivi hapana asee nasema tena hapanaaa.
 
Anzisha moto sasa ivi amsha wote kama wamelala weka kikao sebreni wavimbie kiume nguruma, mind kasirika waambie kabisa jambo lililotokea linakunyima usingizi haiwezekani upuuzi kama huo utokee alafu ukawa kimya tu ndo maana wanakuchukulia poa

Unawezaje kulala Kmmk piga biti umo ndani huu ndo muda mzuri au subir ifike saa 7 night amsha wote wape attention moja yakibabe

Apo si nyumbani kwako onesha uanaume isitoshe hata kutombewa unatombewa sana tu we jamaa
 
Kaka hao ni wajita Amna mkurya wa hivyo aisee. Hizo ni tabia za kijita ndo baba mkwe anaweza kwenda kwa binti yake akakaa ata mwaka lakini sio mkurya

Sema nini na wajita ninao wajua Mimi wanatabia ya kuroga wanaume sio mkurya

Sas fanya hivi mkalishe mkeo umuulize nilichokisikia kutoka kwa ndugu yako ni sahihi na wew unaitaji iwe Ivo tena ongea nae kwa upole tu

Akikujibu ndio basi usipoteze mda achana nae, akikujibu hapana mpige marufuku kukanyaga dukani tena ikibidi ilo duka uza si umesema wew ni mwajiliwa uqezi kukuosa pesa ya matumizi nyumbn. Yeyeabaki kuwa mama wa nyumbani tu aleee watoto
Yaap...
Hapa naona hili Duka na lenyewe linachangia sanaa kumpa kiburi.
 
Naona mipaka baina ya familia yako na yao hakuna, mke anaamua analojiskia then ww unapewa tu taarifa.

Kuwa mwanaume.
Yaani shemeji mtu anatoa maneno mazito hvyo huyo ndoa itakuja mshinda mapema sana.

Halafu inaonyesha wakiwa wawili kuna ujinga mwingi sana wanakuzungumzia na mkeo kupewa kichwa.
 
Hapa shida ipo kwako mkuu,unaonekana unachukulia poa mambo,sasa mpaka wamekupanda kichwani,You need to act like a Man,usije ruhusu disrespect ndani ya nyumba yako hata siku 1.
Chukua hatua huyo mwenye degree yake akalime kwao,na mkeo alichokifanya uwajibike vile vile.
Upande mwingine ni kweli...
Labda outing na ucheshi huwenda ukawa kosa kwangu asee.
 
Back
Top Bottom