Bull Striker
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 456
- 1,003
- Thread starter
- #61
Kabisa broo.Hicho alichokizungumza huyo binti ndio mpango mkakati walioupanga na dada yake.......hapo amekufikishia tu ujumbe ingawa amewahi kabla mipango haijakamilka........
Kuanzia sasa aanza kuishi kwa machale maana lolote linaweza kutokea Kwa wakati wowote......
Hapo umesema...kweli
Anasema yeye hawezi babaishwa na mwanaume yeyote na dada yake ndoa yake amekurupuka.