Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana wote wanaokufa sasa hasa high class sababu ni covid?.
Tatizo kubwa mnalo endeleza na serikali yenu ni hili...Yawezekana Kaka alimuambukiza COVID-19 aliyokuwa nayo na hii pia iwe ni wake up call kwa Ndugu au Watu wengine ambao walikuwa karibu na Marehemu Zachariah Hans Poppe ( alias Mapama )
Tatizo kubwa mnalo endeleza na serikali yenu ni hili...
Mnasema kuna covid19, kila mtu maarufu akifa mnasema amekufa kwa covid, alafu kwenye kuugiza, msiba na kuzika mnajazana kama wote.
Mkiulizwa why?.
Mnakuja na alama ya upendo, eti yaani tusimzike ndugu yetu // wewe umekuwa nani kutuzuia, // kwani wewe hautakufa, // acha upuuzi bwana, ...
Hata baba yao alikuwa RPC KageraMkuu Marehemu Zacharia si alikuwa jeshini? Tena aliondolewa kwenye cheo cha u-kapteni? Sema funzo ni kuwa ukiona umeondolewa kazini, usikae na kuliaia;tafuta opportunities nyingine....
Mkuu nilichoandika na reply zako havishabihiani.Hudhani kama serikali ingekuwa ikijali uwepo na madhara ya ugonjwa huu kwa watu hali ingeweza kuwa tofauti?
#COVID19 - Waziri Gwajima, takwimu za Covid-19 mnaandaa au mnapika?
Kwanini mathalani serikali inaendelea kuficha takwimu za ugonjwa huu kinyume cha mapendekezo ya tume ya wataalamu wabobezi iliyoiteua yenyewe?
Umeambiwa pichani kushoto, yaani kushoto mwa picha husika, tofauti na picha ya kushoto.Pole kwa wafiwa.
mbona kushoto hamna picha
Mkuu nilichoandika na reply zako havishabihiani.
Unaona nyumba ya jirani inateketeakwa moto, unaona kwako moshi alafu unasema nasubiri moto ndipo nihakikishe ni moto maana kwa jirani ndipo kunaungua !.* Unawalaamu watu kwa kutokujali uwepo wa ugonjwa matokeo yake maambukizi yanaendelea.
Brazaj, siyo lazima mwanasiasa aje akwambie nje kuna giza jiongeze mwenyewe uende ukahakikishe kweli kuna giza, hii habari ya kusema mwanasiasa alinambia hakuna ugonjwa nawe unategemea jibu jipya mh🤔!.** Nilichoandika mimi wa kulaumiwa ni serikali ambao hawataki kutoa hata takwimu za ugonjwa kiasi walioaminishwa na serikali yenyewe kuwa ugonjwa haupo hawaamini kuwa upo.
Unaona nyumba ya jirani inateketeakwa moto, unaona kwako moshi alafu unasema nasubiri moto ndipo nihakikishe ni moto maana kwa jirani ndipo kunaungua !.
Brazaj, siyo lazima mwanasiasa aje akwambie nje kuna giza jiongeze mwenyewe uende ukahakikishe kweli kuna giza, hii habari ya kusema mwanasiasa alinambia hakuna ugonjwa nawe unategemea jibu jipya mh🤔!.
Kuna vitu kwenye nafasi za kiuongozi huzijui ila nakupa tu dokezo, ukichaguliwa na kiongozi (boss wako) kushika wadhifa flani huwezi kwenda kinyume naye.Ninaamini mimi kama mimi nimefanya na ninafanya yote kujikinga na ugonjwa huu.
Hata hivyo ninaamini siko salama kutokana na ubinafsi wa serikali hii:
Madhara ya Awamu ya Tano yanayofumbiwa Macho
Waliopotosha watu wakati ule ndiyo hao hao waliopo leo. Matumbo yao mbele.
Vipi wenye uelewa mdogo ambao upotoshaji ulishawakaa?
Ugonjwa huu haupigwi vita kibinafsi. Hili ni janga ambalo watu wote wanapaswa kushirikishwa.
Nipo kiongozi.....Katavi upo? sikuoni mara kwa mara kama zamani
Okay hao watu wana damu ya business imagine Hanspope alipotoka gerezani alipewa lori moja aanzie maisha lakini amekufa kaacha malori zaidi ya 100
Hawarogani hawa.....km nyani weusi...ukaribu karibu wa kijinga nooo!! Hapo ni kazikaxi tuuu.....weusi mtoto wa mjomba...sijui shangaxi...hapo ndo uchawi huanzia hapoOkay hao watu wana damu ya business imagine Hanspope alipotoka gerezani alipewa lori moja aanzie maisha lakini amekufa kaacha malori zaidi ya 100
Hawakutaka kumpa Majina ya Kibepari, wakampa ya Kimatumbi!Kama Mose Katumbi wa TP Mazembe, hawa Jewish ni hatare.
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Ukishazungumzia wayahudi lazima Wabongo wenye mitazamo yao, wanaaanza kumwaga cheche.What does uyahudi have to do with mafanikio yake?
Wayahudi wote wametoboa?
Kuna ubaya gani kama wangekua wayahudi kweli na kukiri ni wayahudi?
Bado miafrika mnashobokea hizi story. Smh