Mdogo wake Kanumba apooza ghafla

Mkuu
grobal online tv naipataje ?
 
Kweli kaokoka lkn kama hujui mchango wake wa gharama za matibabu una simamiwa na madj wenzake,huku John Dilinga ndiye mweka hazina.Jamaa ana hitaji hela amefikia hatua ya kuuza mpaka gari yake hali yake si nzuri .
so sad, Mungu amponye, aisee , eeh Mungu turehemu!

So sad jamaa katutoka, ila kuna jambo la kujifunza, maisha mazuri kwa watu wengi na starehe za muda mfupi ndio huishia hivyi, sihukumu, ila tujitafakari
 
Afungue Fundraiser page watu wamsaidie
 
SawaIla Kama mambo ya MUNGU huyajui Ni vema kunyamaza.
unapohisi mtu hajui mambo ya Mungu na wewe unayajua zaidi

kaa kimya nyamaza Muache.

Akikuuliza ndio mueleweshe ukiona hajakuuliza jikalie zako kimya.
 
Takataka
 
Huna akili Wewe,Kwa Hiyo wote waliogongwa au kubakwa hawapendwi na Mungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…