Mdogo wake Kanumba apooza ghafla


Dah umenikumbusha kuna wimbo waliimba nadhan kurasini sda..MUNGU HACHUNGUZIKI
 
Mbona yeye yupo kijijini sasa hilo gari la mwendo kasi litamkuta wapi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kiranga
 
Nenda kweny page ya @bintikigoma katoa mawasiliano ya kweli yenye majina ya mama Kanumba
 
palalaizi ndio nini wewe? ndio maana mashabiki wa simba mnaitwa mbu mbu mbu
Mswahili wa tandale huyo!

Anaokota okota tu maneno mtaani!

Ukimuuliza nini maana ya "paralysis" anaweza asikujibu!

Palalaizi! Teh..
 
Kilaza hajielewi uchawi una msumbuwa
 
Yoyote nitayopitia ninaamini Mungu yupo na anatenda je tukubali kwa. Mazuri tu na mabaya tusipokee? Eeeh Mungu wangu unitendee vile utakavyo sawa na rehema zako nami nitakuhimidi na kukukiri

Amen!
 
Siwezi nikakaa kimya ninapoona Mungu anakufuriwa.
Ilikuwa lazima nikuambie.
Heeee kaeni kimya basii tufikirie kifo cha huyu ndugu yetu mdogo wake na kanumba.. Dah alikuwa na roho nzuri saana
 
I'm a doc, I know what paralysis mean. I thought(Palalaizi) would sound familiar to most majority. Sorry for any inconvenience.
 
Bila shaka hii dharau yako mungu ameipokea .. unamtukana aliyekuumba kisa mdogo wa kanumba anaumwa? Unamtunishia msuli mwenyezimungu eeh?? Haya Ngoja tukuachie janga lako
We jamaa aisee nimejikuta nacheka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…