Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Usilitaje bure Jina la Bwana Mungu wako. What goes around comes around. Hata kama kwako unaona hana huruma bado anabaki kuwa Mungu. Mungu hachunguziki hivyo usijaribu kujiuliza maswali ya kwa nini ameruhusu hiki na kuzuia kile, ukifanya hivyo lazima tu utamchukia
Dah umenikumbusha kuna wimbo waliimba nadhan kurasini sda..MUNGU HACHUNGUZIKI