Hivi ndio yule mama alishangilia Muna kufiwa na mwanae eeh akasema "Mungu amejibu"
Namsikitikia sana Seth, he is a cool guy.
What makes you say he has been bewitched?? Are you trying to insist that everyone who gets sick is as a result of witchcraft even after scientific proof of how these diseases come to exist? Bro, you are sadly mistaken if your answer is yes.Maisha haya kubabake yani kijana mdogo na shupavu kama yule washampiga ndele.
Ama kweli hujafa hujaumbika leo mzima kesho yako huijui.
Tumuombe Mungu sana
Usimtukane Mungu kisa watu usio wajuaMungu ana MAJARIBU magumu sana
tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI
HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje
Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia
Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!
naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.
Duh... Babe kwani alivyofariki Kanumba ulikua umeshazaliwa !?jibu kwanza hilo😅Ndio namsikia Leo huyu marehemu r.I.p
Babe... Marehemu alinizidi miaka 4 tuDuh... Babe kwani alivyofariki Kanumba ulikua umeshazaliwa !?jibu kwanza hilo😅
Ulifikiri Mimi mtoto mwenzio!?Babe... Marehemu alinizidi miaka 4 tu
Muone!...kumb nakuzaa asbh na mapema eh?kuanzia leo hii niamkir shikamoo bby mama!Ulifikiri Mimi mtoto mwenzio!?
Labda ningekuwa sijaona ndani/sikujui mbona iam rally jones na mama dangote hawana noumaMuone!...kumb nakuzaa asbh na mapema eh?kuanzia leo hii niamkir shikamoo bby mama!
Ngoja naww siko familia yako watakufa ote kwa mpigo tutakuuliza hilo swali kama hujawatoa kafaraSio masharti ya nanihii kweli...!!
[emoji706][emoji706][emoji706]Ngoja naww siko familia yako watakufa ote kwa mpigo tutakuuliza hilo swali kama hujawatoa kafara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15][emoji15][emoji15][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mungu ana MAJARIBU magumu sana
tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI
HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje
Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia
Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!
naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.
Mungu hana huruma. Kwa sababu hayupo.Mungu ana MAJARIBU magumu sana
tena sana wakati mwingine unajiuliza KWANINI
HIVI mama kanumba akiwa anamuomba MUNGU imagine maombi yake yatakuwaje
Mama anasema hata steven sikumuuguza hivi you can sense kile mama anapitia
Ndani ya moyo wake,halafu kuna mtu ataniambia Mungu hakosei!!!!
naomba mniache kidogo sometimes MUNGU hana huruma.