Mdogo wangu Ajib uliniumiza mno pale ulipokataa kwenda TP Mazembe iliyokuwa ya Moto kwa Signing Fee ya Milioni 350 na Mshahara wa Milioni 15 kwa Mwezi

Mdogo wangu Ajib uliniumiza mno pale ulipokataa kwenda TP Mazembe iliyokuwa ya Moto kwa Signing Fee ya Milioni 350 na Mshahara wa Milioni 15 kwa Mwezi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Klabu ya Dodoma Jiji imemsainisha kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajibu kwa mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo msimu ujao akitokea Coastal Union ya Tanga.

Mmoja wa viongozi wa timu hiyo ameiambia Mwananchi kwamba bado wanaamini Ajibu ana uwezo mkubwa uwanjani hivyo ataongeza nguvu katika kikosi chao.

"Usajili huo unafanywa chini ya kocha Mecky Maxime, ambaye anawafahamu vyema wachezaji wazawa kwani amecheza na kufundisha timu mbalimbali kwa muda mrefu.

Ameongeza: "Ajibu ataungana na wachezaji wengine kambini tayari kwa maandalizi ya msimu ujao na bado hatujakamilisha usajili tunaendelea kumalizia wengine waliobakia ambao tupo nao kwenye mazungumzo ya mwisho."

Kiongozi huyo anaamini kikosi cha Dodoma Jiji msimu ujao kitakuwa na ushindani mkubwa kutokana na aina ya wachezaji ambao wanawachukua akiwemo Ajibu na Joash Onyango anayejiunga nao kwa mkopo.

Chanzo: mwananchi_official

Marafiki zako Wote wa Ilala pamoja na Ndugu zako wa Kwenu Ilala Bungoni jirani na Msikiti Mkuu, wa pale Ilala Boma ilipo Timu yako ya Ashanti ( Wahuni Asilia ) na bila kumsahau Rafiki yako wa karibu Saluraka ( aliyeko Ujerumani sasa ) Mtoto wa Mwalimu Mbaga waliumia na wanaendelea Kuumia kwa Kitendo chako cha Kuikataa Ofa Kubwa uliyoipata ya kwenda TP Mazembe kwa Tajiri Moise Katumbi Chapwe huku sababu Kubwa ukisema kuwa ukienda kule hutakuwa unaimbwa sana katika Media za Tanzania na hutokula Bata kama unazokula Dar es Salaam.

GENTAMYCINE kwa Kujiamini kabisa nasema hakuna Mchezaji aliyekuwa na Kipaji na mwenye Kipaji kikubwa Tanzania ambapo hata akina Chama, Pacome na Wengineo hawana kama tu angejitambua na pia angepata Management nzuri kama Ibrahim Ajib Migomba ila Utoto, Makundi mabaya na Starehe ( Anasa ) za Dar es Salaam zimekuharibu na leo umepoteza kabisa Thamani yako. Tanzania ingeenda Kujivunia mno Wewe baada ya akina Mbwana Ally Samata kama ungeenda TP Mazembe ila kama Kawaida Wahenga walisema kuwa Bahati huwa haiji mara mbili. Naomba wengine msirudie hili Kosa.
 
Malezi aliyokulia,kukosekana kwa washauri sahihi, uswahili mwingi, uvivu,kiburi na majivuno ndio hasa villovyomfanya akatae ofa ya kwenda Mazembe.

Na kukataa kwake kwenda mazembe ya kipindi kile ndipo alipoonesha utanzania wetu(ujinga wa kujitakia)
 
Klabu ya Dodoma Jiji imemsainisha kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajibu kwa mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo msimu ujao akitokea Coastal Union ya Tanga.

Mmoja wa viongozi wa timu hiyo ameiambia Mwananchi kwamba bado wanaamini Ajibu ana uwezo mkubwa uwanjani hivyo ataongeza nguvu katika kikosi chao.

"Usajili huo unafanywa chini ya kocha Mecky Maxime, ambaye anawafahamu vyema wachezaji wazawa kwani amecheza na kufundisha timu mbalimbali kwa muda mrefu.

Ameongeza: "Ajibu ataungana na wachezaji wengine kambini tayari kwa maandalizi ya msimu ujao na bado hatujakamilisha usajili tunaendelea kumalizia wengine waliobakia ambao tupo nao kwenye mazungumzo ya mwisho."

Kiongozi huyo anaamini kikosi cha Dodoma Jiji msimu ujao kitakuwa na ushindani mkubwa kutokana na aina ya wachezaji ambao wanawachukua akiwemo Ajibu na Joash Onyango anayejiunga nao kwa mkopo.

Chanzo: mwananchi_official

Marafiki zako Wote wa Ilala pamoja na Ndugu zako wa Kwenu Ilala Bungoni jirani na Msikiti Mkuu, wa pale Ilala Boma ilipo Timu yako ya Ashanti ( Wahuni Asilia ) na bila kumsahau Rafiki yako wa karibu Saluraka ( aliyeko Ujerumani sasa ) Mtoto wa Mwalimu Mbaga waliumia na wanaendelea Kuumia kwa Kitendo chako cha Kuikataa Ofa Kubwa uliyoipata ya kwenda TP Mazembe kwa Tajiri Moise Katumbi Chapwe huku sababu Kubwa ukisema kuwa ukienda kule hutakuwa unaimbwa sana katika Media za Tanzania na hutokula Bata kama unazokula Dar es Salaam.

GENTAMYCINE kwa Kujiamini kabisa nasema hakuna Mchezaji aliyekuwa na Kipaji na mwenye Kipaji kikubwa Tanzania ambapo hata akina Chama, Pacome na Wengineo hawana kama tu angejitambua na pia angepata Management nzuri kama Ibrahim Ajib Migomba ila Utoto, Makundi mabaya na Starehe ( Anasa ) za Dar es Salaam zimekuharibu na leo umepoteza kabisa Thamani yako. Tanzania ingeenda Kujivunia mno Wewe baada ya akina Mbwana Ally Samata kama ungeenda TP Mazembe ila kama Kawaida Wahenga walisema kuwa Bahati huwa haiji mara mbili. Naomba wengine msirudie hili Kosa.
VAR;

Ajibu kwao ni Singida.

Daslamu anaishi Chanika..

Wacha story za vijiweni.
 
Klabu ya Dodoma Jiji imemsainisha kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajibu kwa mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo msimu ujao akitokea Coastal Union ya Tanga.

Mmoja wa viongozi wa timu hiyo ameiambia Mwananchi kwamba bado wanaamini Ajibu ana uwezo mkubwa uwanjani hivyo ataongeza nguvu katika kikosi chao.

"Usajili huo unafanywa chini ya kocha Mecky Maxime, ambaye anawafahamu vyema wachezaji wazawa kwani amecheza na kufundisha timu mbalimbali kwa muda mrefu.

Ameongeza: "Ajibu ataungana na wachezaji wengine kambini tayari kwa maandalizi ya msimu ujao na bado hatujakamilisha usajili tunaendelea kumalizia wengine waliobakia ambao tupo nao kwenye mazungumzo ya mwisho."

Kiongozi huyo anaamini kikosi cha Dodoma Jiji msimu ujao kitakuwa na ushindani mkubwa kutokana na aina ya wachezaji ambao wanawachukua akiwemo Ajibu na Joash Onyango anayejiunga nao kwa mkopo.

Chanzo: mwananchi_official

Marafiki zako Wote wa Ilala pamoja na Ndugu zako wa Kwenu Ilala Bungoni jirani na Msikiti Mkuu, wa pale Ilala Boma ilipo Timu yako ya Ashanti ( Wahuni Asilia ) na bila kumsahau Rafiki yako wa karibu Saluraka ( aliyeko Ujerumani sasa ) Mtoto wa Mwalimu Mbaga waliumia na wanaendelea Kuumia kwa Kitendo chako cha Kuikataa Ofa Kubwa uliyoipata ya kwenda TP Mazembe kwa Tajiri Moise Katumbi Chapwe huku sababu Kubwa ukisema kuwa ukienda kule hutakuwa unaimbwa sana katika Media za Tanzania na hutokula Bata kama unazokula Dar es Salaam.

GENTAMYCINE kwa Kujiamini kabisa nasema hakuna Mchezaji aliyekuwa na Kipaji na mwenye Kipaji kikubwa Tanzania ambapo hata akina Chama, Pacome na Wengineo hawana kama tu angejitambua na pia angepata Management nzuri kama Ibrahim Ajib Migomba ila Utoto, Makundi mabaya na Starehe ( Anasa ) za Dar es Salaam zimekuharibu na leo umepoteza kabisa Thamani yako. Tanzania ingeenda Kujivunia mno Wewe baada ya akina Mbwana Ally Samata kama ungeenda TP Mazembe ila kama Kawaida Wahenga walisema kuwa Bahati huwa haiji mara mbili. Naomba wengine msirudie hili Kosa.
Duuu!

We jamaa kweli mwanamichezo.
 
Klabu ya Dodoma Jiji imemsainisha kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajibu kwa mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo msimu ujao akitokea Coastal Union ya Tanga.

Mmoja wa viongozi wa timu hiyo ameiambia Mwananchi kwamba bado wanaamini Ajibu ana uwezo mkubwa uwanjani hivyo ataongeza nguvu katika kikosi chao.

"Usajili huo unafanywa chini ya kocha Mecky Maxime, ambaye anawafahamu vyema wachezaji wazawa kwani amecheza na kufundisha timu mbalimbali kwa muda mrefu.

Ameongeza: "Ajibu ataungana na wachezaji wengine kambini tayari kwa maandalizi ya msimu ujao na bado hatujakamilisha usajili tunaendelea kumalizia wengine waliobakia ambao tupo nao kwenye mazungumzo ya mwisho."

Kiongozi huyo anaamini kikosi cha Dodoma Jiji msimu ujao kitakuwa na ushindani mkubwa kutokana na aina ya wachezaji ambao wanawachukua akiwemo Ajibu na Joash Onyango anayejiunga nao kwa mkopo.

Chanzo: mwananchi_official

Marafiki zako Wote wa Ilala pamoja na Ndugu zako wa Kwenu Ilala Bungoni jirani na Msikiti Mkuu, wa pale Ilala Boma ilipo Timu yako ya Ashanti ( Wahuni Asilia ) na bila kumsahau Rafiki yako wa karibu Saluraka ( aliyeko Ujerumani sasa ) Mtoto wa Mwalimu Mbaga waliumia na wanaendelea Kuumia kwa Kitendo chako cha Kuikataa Ofa Kubwa uliyoipata ya kwenda TP Mazembe kwa Tajiri Moise Katumbi Chapwe huku sababu Kubwa ukisema kuwa ukienda kule hutakuwa unaimbwa sana katika Media za Tanzania na hutokula Bata kama unazokula Dar es Salaam.

GENTAMYCINE kwa Kujiamini kabisa nasema hakuna Mchezaji aliyekuwa na Kipaji na mwenye Kipaji kikubwa Tanzania ambapo hata akina Chama, Pacome na Wengineo hawana kama tu angejitambua na pia angepata Management nzuri kama Ibrahim Ajib Migomba ila Utoto, Makundi mabaya na Starehe ( Anasa ) za Dar es Salaam zimekuharibu na leo umepoteza kabisa Thamani yako. Tanzania ingeenda Kujivunia mno Wewe baada ya akina Mbwana Ally Samata kama ungeenda TP Mazembe ila kama Kawaida Wahenga walisema kuwa Bahati huwa haiji mara mbili. Naomba wengine msirudie hili Kosa.
😆😆😆wewe dogo ni mjanja mno unawataja watu wa kufikirika eti mwalimu mbaga baba yake saluraka...naamini wewe dar hata miezi miwili mfululizo haujawahi kuishi
 
Ajibu anaweza kuwa alikosea Ila sisi ni nani hadi tumuhukumu.

Picha anayoiona MTU katika maisha yake anakuwa anaijua yeye mwenyewe.

Mfano sisi tunamshangaa Ajibu kuacha offer ambayo ingempa mamilioni ya PESA Ila yeye labda hana shida na hayo mamilioni ya PESA Ila shida yake ni kucheza mpira tu hapa Tz kwa level ya kawaida.


Kuna watu ktk haya maisha hawaitaji mambo mengi wala mafanikio makubwa they get quickly complecent.✊🏿
 
Back
Top Bottom