She Quoted you
JF-Expert Member
- Oct 19, 2020
- 687
- 1,184
- Thread starter
-
- #21
Diploma ameshachelewa kuapplyMtafutieni diploma ya mambo ya anga, kama Aicraft maintainance ama nyinginezo zifananazo na hizo hapo NIT, Ila C.O sishauri atateseka tu mtaani, ni bora aje ateseke ila alisoma kitu anachokipenda na sio ile mliyo mlazimisha ninyi
Ama VETA akasome Skills kama UMEME, PLUMBING ama kingine kitakachompa nafasi ya yeye kujiajiri bila kutegemea ofisi za watu zimuajiri
Samahani kama nimetoka nje ya mada
Anaweza kupenda pabaya tatzo😁Afanye anachopenda kutoka moyoni
4 milion tsh.Na hiyo flight operator Ada sh ngapi na chuo kipo wapi?
Parefu....kwann? Au ina dili?4 milion tsh.
#MaendeleoHayanaChama
4million kipo JKNIANa hiyo flight operator Ada sh ngapi na chuo kipo wapi?
Okay hapa uneiongelea CO tu...vipi kuhusu hiyo flight ooeration? Una ujuzi nayo?Mhh miaka ya siku hizi, kozi za afya ndo mpango hata kama utakosa ajira ya serikalin ukijichanganya kitaa haulali njaa ila hizo kozi zingne sijui short course za kimagumashi!
Anyhow afanye anachokipenda, ila ndo kama ingekuwa mdg wang ni kumkalisha chini akomae na CO, afu sio lazima Degree asome udaktar kuna kozi nyingi anaweza kusomea digree kupitia diploma yake ya CO.
Anyway mwisho wa siku kumbuken hizo kozi zingne zikibuma nyie ndo ndugu zake mtaendelea kuwa nae,
Cha kushauri akomae na CO hatakuja kulala njaa akimaliza kitaa connection bado zpo nying tu!
Akili kumkichwa!
Nimeongelea kitu nnachokifahamu!Okay hapa uneiongelea CO tu...vipi kuhusu hiyo flight ooeration? Una ujuzi nayo?
Sijajua kwanini ni bei hiyo..yawezekana ni hot cake.Parefu....kwann? Au ina dili?
ahh pole kwakeThanks, ila ni muislam
Nguruwe mkuu unaanza na mtaji shngap?ahh pole kwake
Duh, sasa kwannNAcTE wamebadili mfumo wamewema wakipuuzi sanaa kwasasa amna SUP Ukifeli ndo imetoka iyo
Hakuna round nyingine?Diploma ameshachelewa kuapply
Imeshaanza?NAcTE wamebadili mfumo wamewema wakipuuzi sanaa kwasasa amna SUP Ukifeli ndo imetoka iyo
Sishauri asome hizo kozi za kuunga unga. Akasome CO.Habari humu, mdogo ameshachaguliwa kujiunga C.O pale TTCIH morogoro, ila anataka aache ili akasome short course ya miezi mi3 flight operation pale TCAA uwanja wa taifa.
Kwa wanaoifahamu hii kozi, vipi ajira zake ndani na nje?
Wanasema Kupata nje dubai ni rahisi.
Points za dogo kuacha medicine ni hizi
1.Muda (Medicine mpaka aje amalize diploma na degree na ajira ni miaka 10)
2.Opportunity (Anasema hata MD wapo kitaa sikuizi)
3.Ada (Kila mwaka Mil 3 kwa miaka 8 Vs mil 4 ya miez mi3)
4.Umri (Ameenda age kidogo ana 24)
3.Anapenda urubani hivyo itakuwa ni channel mojawapo.
Je, Yuko sahihi?
Ushauri tafadhali, maana chuo asiporipoti kufikia jumapili baada ya mechi ya yanga wanamcancell nafasi yake.
Natanguliza shukrani[emoji120]
Hyo kozi unaijua?Sishauri asome hizo kozi za kuunga unga. Akasome CO.
Hiyo hoja ya miaka mingi muulize tokea kaanza primary mpaka sekondary katumia miaka mingapi? Hiyo haikua miaka mingi?
By the way kwanini una msingizia ndugu yako wakati muhusika ni wewe?