Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimkagua au alikwambia? Amemaliza chuo cha madrasa au chuo cha taaluma? Hili debe lazima lina walakini.Mpooo? Mdogo wangu amemaliza chuo, ana miaka 22 bado bikra, anahitaji mpenzi sio wa kumchezea, yupo Dar. Pls kama huna nia usi pm.
sifa;
- Asiwe mvaa milegezo
- Asiwe mvuta sigara,bangi na madawa
- Asiwe mlevi
- Asiwe muhuni.
Endelea kujifariji mimi bila kuoa bikra bora nisioe tuBikra haijengi familia
Huyo wa Dar atakua chakubimbi aendelee tu wa mikoani hatufaiMpooo? Mdogo wangu amemaliza chuo, ana miaka 22 bado bikra, anahitaji mpenzi sio wa kumchezea, yupo Dar. Pls kama huna nia usi pm.
sifa;
- Asiwe mvaa milegezo
- Asiwe mvuta sigara,bangi na madawa
- Asiwe mlevi
- Asiwe muhuni.
Bado kuna huitaji kama upo mi nipo mkuu.Mpooo? Mdogo wangu amemaliza chuo, ana miaka 22 bado bikra, anahitaji mpenzi sio wa kumchezea, yupo Dar. Pls kama huna nia usi pm.
sifa;
- Asiwe mvaa milegezo
- Asiwe mvuta sigara,bangi na madawa
- Asiwe mlevi
- Asiwe muhuni.
HahahBado kuna huitaji kama upo mi nipo mkuu.
Sifa zote ninazo tena mpka na Nyongeza.
Mbona unacheka mkuu au nishushe CV yangu hapa?Hahah