hakuna shida kama umeona linahusiana na anachosomeaAje kuplan banda langu la kuku.
ni wazo zuri ngoja nimshauriKwanini asiende kufanya field kwenye ofisi za Kata ... Si ndo maswala ya community development? Apate buku 2 za mihuri
hhhhhhh fikisha mkuuNitamfikishia ujumbe huu mh. Mwenyekiti TUNDU LISU
acha tu,nyuma giza mbele gizaField imekuwa utata, ajira si ndio balaa
Inabidi tubadilike sana, maana ajira sasa ni utataacha tu,nyuma giza mbele giza
hayupo dar yupo Mbeya mkuuAende halmashauri Kama yupo dar mwambie aende Temeke municipal hawezi kukosa nafasi
Wa kike au ?Habari za muda huu wanaJf.
Kama kichwa kinavyojieleza,nina mdogo wangu anasoma "Bachelor of Project planning and community dvt" anatafuta taasisi ya kufanya mafunzo kwa vitendo(field) mkoa wowote Tanzania.Hivyo basi nimekuja kwenu naamin nitapata msaada wenu members wa humu juu ya hili suala.
Natanguliza shukran.
anhaa ok sawa ngoja nimshauri hivyoApeleke barua halmashauri yeyote chaaap .....watampangia sehemu waenyewe.... halmashauri hazikosi kazi za kufanya
yeah ni wa kikeWa kike au ?
Atafute NGO ambazo zipo active zina miradi mingi hapo atakuwa ame-winHabari za muda huu wanaJf.
Kama kichwa kinavyojieleza,nina mdogo wangu anasoma "Bachelor of Project planning and community dvt" anatafuta taasisi ya kufanya mafunzo kwa vitendo(field) mkoa wowote Tanzania.Hivyo basi nimekuja kwenu naamin nitapata msaada wenu members wa humu juu ya hili suala.
Natanguliza shukran.
naomba unitajie mfano wa hizo NGO mkuuAtafute NGO ambazo zipo active zina miradi mingi hapo atakuwa ame-win
PanafaaKwanini asiende kufanya field kwenye ofisi za Kata ... Si ndo maswala ya community development? Apate buku 2 za mihuri
Anataka field kwa muda ganiyeah ni wa kike