Mdogo wangu anatafuta taasisi ya kufanyia field ya project planning

Mdogo wangu anatafuta taasisi ya kufanyia field ya project planning

Dear ex

Member
Joined
Oct 27, 2023
Posts
49
Reaction score
88
Habari za muda huu wanaJf.
Kama kichwa kinavyojieleza,nina mdogo wangu anasoma "Bachelor of Project planning and community dvt" anatafuta taasisi ya kufanya mafunzo kwa vitendo(field) mkoa wowote Tanzania.Hivyo basi nimekuja kwenu naamin nitapata msaada wenu members wa humu juu ya hili suala.
Natanguliza shukran.
 
Apeleke barua halmashauri yeyote chaaap .....watampangia sehemu waenyewe.... halmashauri hazikosi kazi za kufanya
 
Habari za muda huu wanaJf.
Kama kichwa kinavyojieleza,nina mdogo wangu anasoma "Bachelor of Project planning and community dvt" anatafuta taasisi ya kufanya mafunzo kwa vitendo(field) mkoa wowote Tanzania.Hivyo basi nimekuja kwenu naamin nitapata msaada wenu members wa humu juu ya hili suala.
Natanguliza shukran.
Wa kike au ?
 
Habari za muda huu wanaJf.
Kama kichwa kinavyojieleza,nina mdogo wangu anasoma "Bachelor of Project planning and community dvt" anatafuta taasisi ya kufanya mafunzo kwa vitendo(field) mkoa wowote Tanzania.Hivyo basi nimekuja kwenu naamin nitapata msaada wenu members wa humu juu ya hili suala.
Natanguliza shukran.
Atafute NGO ambazo zipo active zina miradi mingi hapo atakuwa ame-win
 
Back
Top Bottom