Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Umeona akili zako? Afu ndio ujiite msomi pumbafKwa hiyo advance anaenda kufanya nini?
Aende chuo cha ufundi akapate fani ya haraka.
Advance ni upotevu wa rasilimali tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona akili zako? Afu ndio ujiite msomi pumbafKwa hiyo advance anaenda kufanya nini?
Aende chuo cha ufundi akapate fani ya haraka.
Advance ni upotevu wa rasilimali tu.
Maybe you miss the Definition of physics! It doesn't matter imetokea wapi hata iwe kwenye kiswahili au Civics that's still PhysicsKwan kwenye Biology Hakuna Body pressure and Temperature...........?
Physics is a Father of Engineering only
Hakusoma Physics atachukuaje PCM?Dogo aende PCM sema akaze sana mnunulie S chands zote
backerhouse 1 and 2
Asome tena sana
Kua mwalimu wa veta sio inaenda na ufaulu?Mpeleke VETA asome hadi afikie hatua ya kuwa Mwalimu wa VETA.
Course za HR na n.k hayo mambo hayana markets then hayaongezi kitu kichwani.
Ufaulu wake unakuwezesha kusoma na kufika hiyo hatua it takes three years to reach his or her goalsKua mwalimu wa veta sio inaenda na ufaulu?
Nikadhani ni kama vile chuo mtu anavyobakishwa kuwa TA mtu anabakishwa kua mwalimu baada ya kufaulu sanaUfaulu wake unakuwezesha kusoma na kufika hiyo hatua it takes three years to reach his or her goals
Asiende kabisaAende chuo, waliompanga huko wameona atafaa huko.
Nikadhani ni kama vile chuo mtu anavyobakishwa kuwa TA mtu anabakishwa kua mwalimu baada ya kufaulu sana
Asiende kabisa
kusoma human resource hapana
Mpeleke VETANina ndugu yangu kapata matokeo haya HIST-D GEO-C BIO-C ENGL-D CIV-C CHEM-C LITE-D KISW-C MATH-D
Amepata Division III Point 23 hajasomea PHYSICS na amepangiwa chuo cha Human Resources Management hataki kwenda Chuo Je, aende Advance kwa Combination gani?
Msaada jamani.
Makasiriko ya nini babu! Tafuta hela ule maisha!Umeona akili zako? Afu ndio ujiite msomi pumbaf
CBG.Nisaidieni jamani.
Hovyo kabisa watuMaswali mengine ya hovyo, had kuingia jf huna uwezo wa kutambua comb. Inayokubali hapo