Mdogo wangu Ibrahim Ajib ' Mido ' kama hii taarifa ni ya kweli basi japo ni mwana Simba SC mwenzio ila ' umeniangusha ' sana na mno

Bandiko zuri ila kabla ya kuandika haya uliuona mkataba wa ajib aliopewa na mazembe????
 
Kama anapewa elf 20 aende tu kisa tp mazembe wakati unyamani anakula za kutosha nyie vipi
 

Umeshamaliza ' Kunyabeziwa ' kwa Siku ya leo au bado ' unaliendeleza ' tu hapo ulipo sasa na ' Wanyabezi ' wa Kutukuka?
 
Mkuu huyo magagafu atakuwa ni miongoni mwa wale Wagonjwa wa Akili waliotoroka Wodini Hospitalini Mirembe na wanasakwa hadi hivi sasa.
Pamoja na ushabiki wa hizi timu zetu za Kkoo,ila mchezaji wa kibongo akipata fursa nje huwa naona ni bora akaenda huko kuliko hapa home maana miyeyusho mingi
 
Huyo ajibu ni another type ya mrisho ngassa.
And haruna misho

Akili zao mgando sana wanadhani soka LA bongo litawatoa .

Wanapata chance za kutusua wanambwelambwela wataishia kusukuma brevis na crown wakati wenzako akina samatta wana sukuma mi range rover mijumba ya ukweli title kubwa na soon watua EPL wapige mpunga was maana .

Ajibu anawaza akienda mazembe yule mwajuma wa pale mtaani si atachapiwa .

Stupid Tanzanian player kanisikitisha sana

Samatta na ulimwengu wakati wanaenda mazembe sidhani kama walipewa dau nono sana ila anangalia saivi wako wapi ?

Mpira malengo
 

Nasikia wanaogopa kwenda nje ya Tanzania kucheza Soka na Kuwaacha ' Mademu ' zao huku Bongo halafu Bingwa wa Kupita na Wake za Wachezaji wa Kitanzania Mtoto wa Kitanga na ' Handsome boy ' Mchezaji Humud Gaucho atakuwa anapita nao ( anawatindua ) kama ambavyo imekuwa ndiyo kawaida yake.
 
Ajibu atakapokosa namba ya kudumu simba ndio atakapojuta

Tokea nikujue hapa JamiiForums sikuwahi kuona ukichangia jambo ' very constructive ' kama hivi. Mungu mkubwa kwa haya mabadiliko makubwa ninayoanza Kuyaona Kwako na bila shaka sasa tararibu nawe utaingia katika Kikosi cha ' Great Thinkers ' hapa Jamvini. Ila sijajua ni kwanini ' umeposti ' kitu hicho hicho mara Tano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…