GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Kesho nataka kwenda TFF Kumuombea Msamaha Haji Manara na naamini watanisikiliza na kumsamehe" Ally Kamwe Msemaji wa Yanga SC (Clouds FM Sports Extra).
*Waliyopanga watu wa kwenda kuigiza Filamu ya Royal Tour na Rais Samia walitakiwa wamjumuishe na Mchezaji bora Tanzania nzima tena akitokea Zanzibar atokako Rais Samia aitwae Feisal Salum Fei Toto ili awavutie zaidi Wazungu", Ally Kamwe Msemaji wa Yanga SC (Clouds FM Sports Extra).
Mdogo wangu Ally Shabaan Kamwe najua hivi sasa unahangaika na kujitahidi sana kutaka kulipa fadhila kwa mhamasishaji mkuu wa Yanga SC Haji Manara ambaye ndiyo amekupigia pande (chapuo) kwa watu wa GSM na ukateuliwa wewe na najua hata 20% ya mshahara wako utamgawia kwa makubaliano yenu. Ila kuwa makini kwani utaharibu na unaanza kupotea (kuvapa) mapema sana tu.
*Waliyopanga watu wa kwenda kuigiza Filamu ya Royal Tour na Rais Samia walitakiwa wamjumuishe na Mchezaji bora Tanzania nzima tena akitokea Zanzibar atokako Rais Samia aitwae Feisal Salum Fei Toto ili awavutie zaidi Wazungu", Ally Kamwe Msemaji wa Yanga SC (Clouds FM Sports Extra).
Mdogo wangu Ally Shabaan Kamwe najua hivi sasa unahangaika na kujitahidi sana kutaka kulipa fadhila kwa mhamasishaji mkuu wa Yanga SC Haji Manara ambaye ndiyo amekupigia pande (chapuo) kwa watu wa GSM na ukateuliwa wewe na najua hata 20% ya mshahara wako utamgawia kwa makubaliano yenu. Ila kuwa makini kwani utaharibu na unaanza kupotea (kuvapa) mapema sana tu.