Weka mifano dhahiri,ili unachokisema kiwe na mashiko.Unajua siasa na watoto wa kike?Kubali tuu kwamba wazazi kwenye malezi wanatofautiana na kwamba hicho unachokisema siyo rule of thumb, wengi tuu wamefanikiwa kwenye makuzi ya mabinti zao.
Umenifurahisha! Nina wawili mmoja aliniponyoka ila wa pili nilimdhibiti kwa kuwa karibu naye beneti, ninadhani kama alianza ni baada ya Masters. Kitu ambacho LIKUD amesahau kusema ni kuwa tatizo la Sheta ni kum-expose binti yake kwa mi-hamas, bila yeye sheta kujua.Wengi wanao kupinga au kukukashifu ni aidha hawana watoto au hawapo kwenye malezi ya baba na mtoto.
Kumlea mtoto wa kike kwa upendo ni mateso mno,unaweka matarajio mengi juu yake lakini kadiri aongezekapo umbile "mi-Hamas" inakuwa standby kwa ajili ya kufanya uharibifu bila kujali umri.
Wameitwa Mi-HamasNasikitika sababu amempeleka kwenye mikono ya Simba...
Kwani Chuma alimpatia wapi Kidoti?Yaan huko ndo atachakazwa na viongozi had ajute.
Namhurumia mnoo.
Hongera sana mkuu na pole kwa huyo alie kuponyoka ukishare nasi alivyo kuponyoka japo kwa ufupi tunaweza kujifunza kitu.Umenifurahisha! Nina wawili mmoja aliniponyoka ila wa pili nilimdhibiti kwa kuwa karibu naye beneti, ninadhani kama alianza ni baada ya Masters. Kitu ambacho LIKUD amesahau kusema ni kuwa tatizo la Sheta ni kum-expose binti yake kwa mi-hamas, bila yeye sheta kujua.
Masista wamemzingua dingi? Tupe kisa japo kwa ufupi tujifunzeShukrani mkuu kwa bandiko lako lenye hoja chokozi, tunduizi na fikirishi.
Inauma ila ndio ukweli mchungu.
Ngoja nianze kubalanzisha shobo maana ulichokisema nilikiona kwa dada zangu na dingi.
N.B Watanzania hawapendi ukweli mchungu na unao uma.
Sawa mzungu ila kwanini usinge Anza wewe na mfano kwa kuniacha niishi na maoni yangu?In a history of not letting others to live their life, nobody has have been successful.
Go ahead to not let others live their life. The ball is on your court.
Is it selfishness? the ball on your court once again!
Huko huko siasaniKwani Chuma alimpatia wapi Kidoti?
Ndo hapo ninapo muhurumia huyu mtoto, atapewa ngwengwe mapema kabisaa.Halafu mbaya zaidi viongozi wenyewe hao wanameza vidonge.
Uzi emeleta humu ndani wa kazi gani?Kwanini usianze wewe kwa kutokuingilia Uzi usio kuhusu?
U preach water but u drink wine
God forbid!!Ndo hapo ninapo muhurumia huyu mtoto, atapewa ngwengwe mapema kabisaa.
Ndo hapo ninapo muhurumia huyu mtoto, atapewa ngwengwe mapema kabisaa.
God forbid!!Ndo hapo ninapo muhurumia huyu mtoto, atapewa ngwengwe mapema kabisaa.
Ndo hapo ninapo muhurumia huyu mtoto, atapewa ngwengwe mapema kabisaa.