Mdogo wangu Shetta naomba nikukumbushe kitu muhimu sana " Mtoto wa kike huwaga ni mzuri sana kwa baba akiwa bado haja vunja ungo"

Umemaliza...ukweli nchungu sana huu..too bad😭
 
Mi pia ni shuhuda wa dadangu katika hiki kisanga and finally she choose to be a marriage to his her Bf and that time akiwa class 5 in advanced level kiko wapiii sasa. Jamani tusipuuze hili suala
 
Duh mkuu you're projecting your fears and failure (maybe) as a father onto other people.
You confuse reality with fear? If you actually want to be on the safe side you must learn how ro appreciate the danger in any situation.

Kama binti yako amekudissappoint mahali sio mabinti wote wanakua hivyo,
Wengi wao wapo hivyo.

Kuna mabinti wengi tu ni wasikivu wakiambiwa jambo wanasikiliza,wanaheshimu wazazi wao, wanajitambua na wanajua kujisimamia,
Dar hii hii mkuu?

usimtabirie mabaya huyo binti wa shetta

The best way to predict the future is to create it.

Utabiri sio uchawi ni sayansi na logic.

Kama rafiki yangu anatembea na wake za watu nikimwambia " utakuja kuuwawa" Mimi siwi mtabiri ila ninakuwa ninaongea kutokana na uzoefu wangu plus my personal understanding of the nature of human mind..

Ill uweze kuishi maisha salama hapa duniani lazima uwe na uwezo wa kutabiri mambo. Kwa mfano Mimi Binafsi siwezi kuja kukuchinja hadharani kwa sababu ninajua ( in advance) kwamba nikifanya hivyo nitakamatwa..

So kutabiri maana yake ni kuitumia akili yako kujua kitu gani kipo likely kutokea mbeleni endapo kitu hiki ama kile kitafanyika.
.Achana na hiyo negative mentality.

Unaiita negative mentality kwa sababu umechagua kuamini hivyo. Ila kama unge fikiria tofauti ungeweza ku u regard uzi wangu kama intelligence report ambayo inapaswa kufanyiwa kazi accordingly.

Nikimwambia rafiki yangu " kutembea na wake za watu utakuja kuuwawa siku moja hapo siwi negative ila ninakuwa ninamwambia ukweli ambao anatakiwa kuufanyia kazi ili usije ku manifest in reality.

Kuna vitu siwezi kufanya kwasababu tu najua yataharibu mahusiano yangu na mzee wangu na yatamuumiza Sana

Nilie somea Cuba nimeielewa hivi kwamba hivyo vitu ambavyo huwezi kuvifanya kwa sababu hutaki baba ako ajue, huwaga unavifanya ila kwa siri sana as long as baba ako asijue.

But take it from me kuna age ukisha fika mwanamke, vitu utakavyo vifanya vinakuwa vinamuumiza zaidi boyfriend au mume wako kuliko baba ako.

Kwa mfano ukitokea kule apuni una gusanisha ndimi na mchepuko wako, atakae umia zaidi ni mume wako kuliko baba ako.

.Pole Kama binti yako alikuangusha hakuna mwalimu wa malezi.
Kilio cha wengi ni harusi🤣🤣🤣
 
Mi pia ni shuhuda wa dadangu katika hiki kisanga and finally she choose to be a marriage to his her Bf and that time akiwa class 5 in advanced level kiko wapiii sasa. Jamani tusipuuze hili suala
Hawa viumbe hawa halafu akiamua lake ameamua.
 
Hiki kitu nilishawaza na kujiandaa kiakili kabisa siombi yatokee kwake lakini unachosema ni sahihi members watabisha, lakini huu ni ukweli tuishi tukijua uliyoandika yanaweza kutokea au la na kama yakitokea ujue namna ya kuishi naye, wababa wengi wamekufa au kupata magonjwa yasiyoambukizwa wakati huu wa balehe wa binti zao, mabinti huwa wanachukuwa na tabia tofauti kabisa mpaka unajiuliza huyu binti nilimzaa mimi kweli au, nina mifano halisi kabisa balehe imewaondoa mabinti kama watatu ambapo wawili kati yao wazazi wao walikuwa ni watumishi kanisani lakini balehe haikuwa na huruma kabisa mmoja amekuwa Malaya kicheche akasome mwingine anabwia unga na familia ilishamtenga.
 
hiyo ni fallacy of generalization.Kisa binti yako alikuwa malaya kakudissapoint unaconclude kwa mabinti wote.
Malaya ni nani? Malaya ni mwanamke yoyote yule ambae hadi wazazi wake wanajua kwamba mtoto wao wa kike kila siku usiku huwaga ana kazwa na jamaa fulani...

Mwanamke huyo hupewa hadi Cheti cha kuhalalisha umalaya wake. Cheti hicho hupewa na viongozi wa dini.

ACHA KUJIFANYA HUJUI NAMZUNGUMZIA NANI MKUU.

OOH au unataka nikwambie?

Alright!

Kama baba ake na mama ako ( babu yako kizaaa mama ako ) alikuwa anajua kwamba baba ako ndio ana ishi na mama ako basi tayari ushamjua ninae mzungumzia.

Mtoto wangu pamoja na umalaya wake wote lakini hamfikii huyo nilie mtaja hapo juu kwa sababu mtoto wangu anafanya mambo yake kwa siri sana tena mbali kabisa na ninapoishi mimi na anaemkaza wala simjui wala hawezi kuthubutu kuniambia wala kumtambulisha kwangu.

Lakini huyo wa kwako, alienda hadi nyumbani kwa baba ake kumtambulisha anae mkaza. Kuna umalaya kama huo?
 
Duh inasikitisha sana mkuu nakumbuka miaka ya 2013 jamaa anaishi mtaani kwetu ni mlokole alikuta binti yake ake akiwa anatumia simu na alivyo enda kwenye chati akakuta mtoto anachati na jamaa anasema anapenda mwanaume mwenye mboo kubwa sana. Msichana alikuwa na miaka 13 yupo form one. Pia akagundua mtoto alibikiriwa darasa la sita akiwa na miaka kumi na moja chooni na maanafunzi mwenzake. Ana ma ex kama wawili. Jamaa ilimchanganya sana hiyo situation alikujaga kukaa sawa baada ya kama mwaka mmoja hivi
 
Mtoa mada upo sahihi sana, wanaopinga wengi ndio wahanga wenyewe wa ugonjwa ulioutaja na hawataki kukubaliana na ukweli.
Proud Daddy Syndrome. Nice Daddy🤣🤣🤣
 
Mie naamini anaweza akaendelea kuwa decent na mtiifu kwa baba yake siku zote. My worry ni huko ndani ya chama, nyota yako iking'aa sana katika umri mdogo wanakumaliza chap. Ref Amina Chifupa, Ipyana Malecela etc
 
Mie naamini anaweza akaendelea kuwa decent na mtiifu kwa baba yake siku zote. My worry ni huko ndani ya chama, nyota yako iking'aa sana katika umri mdogo wanakumaliza chap. Ref Amina Chifupa, Ipyana Malecela etc
Duh too bad
 
Aiseee nimepata katoto kangu ka kwanza ka kike December hii aisee Mungu ampe afya njema na namtakia kila la kheri
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas.
 
Hata mtoto wa kiume akisha balee tu na kupata girl friend wake,basi hata kwao anapasahau kabisa, yeye na girl wake tu,na anaweza iba hata pesa home ili mradi akamuhonge mtu wake!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
If you get ur first daughter at the age of 16 yrs means u used to walk at wrong path , probably it just hard to ur first born to walk at the right path

Law of compasate , Ulichoingiza ndani ndo kilichotoka nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…