Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Itakuja siku utaambiwa "kaka nipe wee kile anachonipa yule unaempigaga ngwara" sijui utasemaje lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kaaah
 
Bro pole sana nia yako ni nzr lkn yy hataki kukusikiliza.kuna msemo asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu ww muache atapetape akili ikimkaa sawa ndipo atakapogundua umuhimu wako.Kwanza hajielewi binafsi nimeguswa yaan anakuambia usiwe km mwanamke hiyo ni dalili tosha kabisa ya kugundua heshima gani anayo kwako.
 
Ameonja dudu kwa mwanaume mkubwa zaidi yako, so anaona huna cha kumwambia kama bwana kaka
 
Niliyemhadithia hapo, hadi sasa hawaelewani na kaka yake, peak ya kutoelewana imetokea miaka 7 iliyopita.

Muache ipo siku atakumbuka kauli/maonyo/usia zako.
 
Ulitakiwa una mpiga Kofi Moja la nguvu sana (mgongoni lakini sababu kichwani na sehemu nyingine unaweza jitafutia kesi) alafu unampotezea mazima. Simple tu
 

Kwakweli mkuu huyo mtoto amekukosea sana, ila hapo cha muhimu ni wewe kuacha mambo ya kike na kuwa mwanaume tu mkuu.
 
Yani ingekuwa mimi ile anamalizia neno la mwisho tu namsindikiza na kibao kimoja kitakatifu,akipata fahamu anadrip
 
Mdogo wetu matokeo ya Form 4 alipataje? Kaenda 5 au?
 
Miaka 20 yupo form four badala ya kuwa university nipe namba yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…