Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.

Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.

Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?

Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.

Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Hama nyumbani mzee kama mdogo wako yuko form 4 na umemzid miaka 6 kuendelee kukaa nyumbani ni umama ndo mana kakuchana uache tabia za kike
 
Hama nyumbani mzee kama mdogo wako yuko form 4 na umemzid miaka 6 kuendelee kukaa nyumbani ni umama ndo mana kakuchana uache tabia za kike
Huyu mwana mama hakuelewi na hawezi kuelewa
 
Unaon
Weye ndo upotee humu JF, kwa sababu umejawa na matusi!! kwa kumfuata fuata dadako zaidi ya miaka kumi na nane ni matusi mabaya sana!!...basi umpe anachokitafuta huko nje!!

ina maana na wewe unataka pasu tena bila aibu unatutangazia humu kwa kauli za matusi! sasa kaka gani wa ivi?
Unaonekana ni muhanga wa mimba za utotoni ndo maana unaonagere wenzio wakilindwa, pambana kiherehere chako ndo kimekufikisha hapo ulipo
 
Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.

Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.

Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?

Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.

Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
[emoji23][emoji23]tia makofi

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
20 years yupo form four duuuh!!!
Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.

Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.

Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?

Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.

Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
 
Unaon

Unaonekana ni muhanga wa mimba za utotoni ndo maana unaonagere wenzio wakilindwa, pambana kiherehere chako ndo kimekufikisha hapo ulipo
Ndo maana amekutukana!
 
Haiwezekani hiyo kwa sababu nishajenga heshima kwa kutomuuliza tuhuma za kikubwa, hivyo hawezi pata ujasiri wa kuniuliza swali la kikubwa namna hiyo
Miaka thelathini jela??? mbaya zaidi wale mananiliu wale wajela mnawaitagaje vile !.........yale bana hayanogewi mbele ya kike....ni kupiga makao tuuu!...tena unaichungulia jela kabisaa ya ivo ninavo kuona weye!!... .....make huna kitu kwa head!...ndo utajua mwanamke haguswi kifara!

Sasa hiyo arobaini yako plus 30 =70 duuu!! hivi hujihurumiii wewe mtu??? .... ndude yake inakuuma nini?? wacha itumike si ndo kazi yake?? km siyo kuitaka? mtu ni beyond 18 yrs!
 
Miaka thelathini jela??? mbaya zaidi wale mananiliu wale wajela mnawaitagaje vile !.........yale bana hayanogewi mbele ya kike....ni kupiga makao tuuu!...tena unaichungulia jela kabisaa ya ivo ninavo kuona weye!!... .....make huna kitu kwa head!...ndo utajua mwanamke haguswi kifara!

Sasa hiyo arobaini yako plus 30 =70 duuu!! hivi hujihurumiii wewe mtu??? .... ndude yake inakuuma nini?? wacha itumike si ndo kazi yake?? km siyo kuitaka? mtu ni beyond 18 yrs!
Nani kasema mwanamke hsguswi kifala? Kwani ye' nani mpaka asiguswe? Anaguswa tu afu fresh yaani! Nishagusaga saaana, hao watetezi wa wanawake wangeanza kunifunga mm kwanza
 
Waschana umri huo mwache ukiwa ushamwambia. Mm naishi na mtoto wa ndugu yangu yupo 17 yrs keshashindikn nishamnyanganya simu 6 na jna nimechukua ya 7 kuanzia simu ya 5 hadi ya 1 nlikuwa namchapa sana ila siku hizi tukimkamata nachukua simu natunza namwangali tu
 
Nani kasema mwanamke hsguswi kifala? Kwani ye' nani mpaka asiguswe? Anaguswa tu afu fresh yaani! Nishagusaga saaana, hao watetezi wa wanawake wangeanza kunifunga mm kwanza
ooohoo! subiri .....iko siku !!! zako zina hesabika...wachezee hao! hao!!! wana kijiji tu!! km mie muongo mtafute Maumba yuko humu kesharudi!
 
ooohoo! subiri .....iko siku !!! zako zina hesabika...wachezee hao! hao!!! wana kijiji tu!! km mie muongo mtafute Maumba yuko humu kesharudi!
Sasa nawachezeaje wanakijiji wakati naishi DSM Masaki? Km DSM kuna wanakijiji sawa
 
Acha mambo ya kike uwe kama mwanaume yaani kukashfiwa na mdogo wako wa kike unavurugwa hadi kuja kushtaki huku.
 
Back
Top Bottom