careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,652
[emoji1787][emoji1787] jamanPole sana mkuu kwa kudharilishwa na mdogo.Sasa tufanye hivi...nipatie namba zake nikukanyie huyo mtoto kabla hajaharibika kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787] jamanPole sana mkuu kwa kudharilishwa na mdogo.Sasa tufanye hivi...nipatie namba zake nikukanyie huyo mtoto kabla hajaharibika kabisa.
Hama nyumbani mzee kama mdogo wako yuko form 4 na umemzid miaka 6 kuendelee kukaa nyumbani ni umama ndo mana kakuchana uache tabia za kikeHuyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.
Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.
Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?
Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.
Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Huyu mwana mama hakuelewi na hawezi kuelewaHama nyumbani mzee kama mdogo wako yuko form 4 na umemzid miaka 6 kuendelee kukaa nyumbani ni umama ndo mana kakuchana uache tabia za kike
Unaonekana ni muhanga wa mimba za utotoni ndo maana unaonagere wenzio wakilindwa, pambana kiherehere chako ndo kimekufikisha hapo ulipoWeye ndo upotee humu JF, kwa sababu umejawa na matusi!! kwa kumfuata fuata dadako zaidi ya miaka kumi na nane ni matusi mabaya sana!!...basi umpe anachokitafuta huko nje!!
ina maana na wewe unataka pasu tena bila aibu unatutangazia humu kwa kauli za matusi! sasa kaka gani wa ivi?
[emoji23][emoji23]tia makofiHuyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.
Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.
Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?
Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.
Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.
Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.
Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?
Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.
Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Ndo maana amekutukana!Unaon
Unaonekana ni muhanga wa mimba za utotoni ndo maana unaonagere wenzio wakilindwa, pambana kiherehere chako ndo kimekufikisha hapo ulipo
Miaka thelathini jela??? mbaya zaidi wale mananiliu wale wajela mnawaitagaje vile !.........yale bana hayanogewi mbele ya kike....ni kupiga makao tuuu!...tena unaichungulia jela kabisaa ya ivo ninavo kuona weye!!... .....make huna kitu kwa head!...ndo utajua mwanamke haguswi kifara!Haiwezekani hiyo kwa sababu nishajenga heshima kwa kutomuuliza tuhuma za kikubwa, hivyo hawezi pata ujasiri wa kuniuliza swali la kikubwa namna hiyo
Nani kasema mwanamke hsguswi kifala? Kwani ye' nani mpaka asiguswe? Anaguswa tu afu fresh yaani! Nishagusaga saaana, hao watetezi wa wanawake wangeanza kunifunga mm kwanzaMiaka thelathini jela??? mbaya zaidi wale mananiliu wale wajela mnawaitagaje vile !.........yale bana hayanogewi mbele ya kike....ni kupiga makao tuuu!...tena unaichungulia jela kabisaa ya ivo ninavo kuona weye!!... .....make huna kitu kwa head!...ndo utajua mwanamke haguswi kifara!
Sasa hiyo arobaini yako plus 30 =70 duuu!! hivi hujihurumiii wewe mtu??? .... ndude yake inakuuma nini?? wacha itumike si ndo kazi yake?? km siyo kuitaka? mtu ni beyond 18 yrs!
ooohoo! subiri .....iko siku !!! zako zina hesabika...wachezee hao! hao!!! wana kijiji tu!! km mie muongo mtafute Maumba yuko humu kesharudi!Nani kasema mwanamke hsguswi kifala? Kwani ye' nani mpaka asiguswe? Anaguswa tu afu fresh yaani! Nishagusaga saaana, hao watetezi wa wanawake wangeanza kunifunga mm kwanza
Sasa nawachezeaje wanakijiji wakati naishi DSM Masaki? Km DSM kuna wanakijiji sawaooohoo! subiri .....iko siku !!! zako zina hesabika...wachezee hao! hao!!! wana kijiji tu!! km mie muongo mtafute Maumba yuko humu kesharudi!
Napekenyua mku ndugu yako, ahsante kwa ushirikianoWw ni mku nduguyangu
Huwezi kupata great thinker kwenye mada iliyoandikwa with low thinking mind [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mikanda tafadhariHili jukwaa lina kila aina ya binadamu na wanyama kuh nilidhani wote ni great thinkers
Poa tu... Ndio ni mimi mwenywe..
Kweli?Poa tu... Ndio ni mimi mwenywe..
Sasa kwann nidanganye?Kweli?
HufananiiSasa kwann nidanganye?