unacheka unamana gani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 472
- 476
- Thread starter
- #281
Huna jeuri hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mku ni mamiyo.Ungenikuta na kanga ya bi mkubwa ungekuwa na adabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna jeuri hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mku ni mamiyo.Ungenikuta na kanga ya bi mkubwa ungekuwa na adabu.
Kabla hujajibiwa swali lako hebu niambie mleta mada ni mwanamke au msichana?
Jamaa Ana hasira na mke wa mtu20s mumamaa!
Saizi ndio unakua mmama kabisa Kama mikanda anaweza akachapwa hata na mama yenu.Eti akuna nitakachomfanya, kweli we ni mku nduguyangu. Nilifunga kamba nimetia mikanda nikamuacha kavimba karibu mwili wote. Anaugulia maumivi bado mpaka muda huu, nenda kashitaki sasa.!!! Mimi ndio kaka
Ugomvi hauna mwenyewe mkuu hapo umefanya timing tu umemuwahi usijione umemaliza hujui kichwani mwake anafikiria Nini. Na usijione kidume kwq kumpiga huyo dogo ukajiona wewe Rambo.Duh! Eti kwenye medula oblongata. Labda wewe sio mimi mkuu, na kwann akupige kwanza? Huoni utakuwa mzembe na unatakiwa kuwajibishwa vikali na sheria za kiume?
...kanunue dumu la Petroli ama gunia mbili za mkaa!!!Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.
Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.
Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?
Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.
Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Haya nakaa huo mkao wa kula nataka nione action za hao kenge[emoji3]Ugomvi hauna mwenyewe mkuu hapo umefanya timing tu umemuwahi usijione umemaliza hujui kichwani mwake anafikiria Nini. Na usijione kidume kwq kumpiga huyo dogo ukajiona wewe Rambo.
Ngoja hizo taarifa ziwafikie ndugu wanao mkuna utakuja kutusimulia Tena hapa.Maana inaonesha bado hujajua nguvu ya papuchi wewe ...Kuna watu wapo radhi waue kisa kuhaidiwa kupewa hiyo ishu.
So kaa mkao wa kula.
Nani alikudanganya ugomvi hauna mwenyewe?Umekuwa brainwashed vibaya mno,,ugomvi hauna mwenyewe kwako sio kwangu.,unaonekana umelegea kinoma mkuu[emoji3][emoji3] ati hujui anafikiria nn[emoji23][emoji23] huna uwezo wa kumkabili mtt wa kike ata kwa kofi moja aisee, u dhaifu mnoUgomvi hauna mwenyewe mkuu hapo umefanya timing tu umemuwahi usijione umemaliza hujui kichwani mwake anafikiria Nini. Na usijione kidume kwq kumpiga huyo dogo ukajiona wewe Rambo.
Ngoja hizo taarifa ziwafikie ndugu wanao mkuna utakuja kutusimulia Tena hapa.Maana inaonesha bado hujajua nguvu ya papuchi wewe ...Kuna watu wapo radhi waue kisa kuhaidiwa kupewa hiyo ishu.
So kaa mkao wa kula.
Eti eeh, i dont care ila hatonisahau, na nimepiga ili akaseme kwa ao kenge wake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nanunua ugomvi yaaniSaizi ndio unakua mmama kabisa Kama mikanda anaweza akachapwa hata na mama yenu.
Kwa kitendo hicho wewe ni mmama saizi
[emoji23]Thubutuuuu
Nani alikudanganya ugomvi hauna mwenyewe?Umekuwa brainwashed vibaya mno,,ugomvi hauna mwenyewe kwako sio kwangu.,unaonekana umelegea kinoma mkuu[emoji3][emoji3] ati hujui anafikiria nn[emoji23][emoji23] huna uwezo wa kumkabili mtt wa kike ata kwa kofi moja aisee, u dhaifu mno
[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anaogopa mtwangio wa kichwaHao ndio Vijana wa siku hizi.
Mtu anaogopa kumuwajibisha Dada au mke wake kisa analiwa nje
Mleta mada ni mkaka bhana babuKabla hujajibiwa swali lako hebu niambie mleta mada ni mwanamke au msichana?
ni chai, miaka 20 anatakiwa awe chuo kabisaaaa
Mbavu zangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wenzio humu wanakula housegirl.
Wewe unatafuta kuheshimiana nae.
Ndugu kula huyo kwanza utulize hasira.
Habari yako, hiyo avatar ni wewe?! Kuwa mkweli.Mbavu zangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thatha!! mkuu!! hapo si ndo penyewe?? unamsogezea huduma!!...kwanza amekuhurumia!! mtu amekusogezea huduma usiende mbali kuhangaika, kwanza kabisa huongi!! ila tu usimpe mimba tu!! ...kmmkia na sura yake inalipa!kuna siku litqkwambia ulipe linachopewagwa nje huko ndio utazimia.