Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Mku miaka 20 huyo mke wa mtu mtafuteni msela mumwambie amsubirie amalize 4 amchukue mkewe
 
Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.

Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.

Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?

Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.

Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Kwamba mtoto yupo form 4 halafu ana miaka? Kwanini mlimchelewesha shule hivo? Mbona huo ni umri mkubwa sana; nakupa pole but ukweli huyo ni mtu mzima sana, angekua mwanao then asingweza kukwambia hivo but kwa kua ni dada/mdogo wako then anajihisi ni kama mpo sawa tu.
 
Fanya kama alivyokushauri, acha kumfatilia kwasababu swali la nini afanye, nini asifanye lipo MIKONONI MWAKE. Hivyo anaona kama unazingua tu.

Kuna wale wadada wanalindwa sana shule za bweni za wasichana.. wakimaliza kuja vyuoni huku mhula wa kwanza tu keshapita na 'boyfrendi' wawili, wengine mhula wa kwanza tu ameshaishi na jamaa yake geto. Binafsi sionagi dhima ya kumlinda mtoto wa kike aliyefika utu uzima. Kama ulishindwa kumfunda akaelewa akiwa kitoto imeisha hiyoo.

Kuna mama mmoja alikuwa anamlinda sana bintiye

Yaani binti harusiwi kutembea mwenyewe Mtaani kokote atakapokwenda anaongozana na mdogo wake lounge

Sasa alipomaliza form six akaenda hizo college za afya semester ya kwanza wakapiga Mombasa
 
Kuna mama mmoja alikuwa anamlinda sana bintiye

Yaani binti harusiwi kutembea mwenyewe Mtaani kokote atakapokwenda anaongozana na mdogo wake lounge

Sasa alipomaliza form six akaenda hizo college za afya semester ya kwanza wakapiga Mombasa
Mmmmmmh
 
Mie nimesha kuelewa sana, afadhari umenipa na faida ya kujua kitu, naomba nkuulize, hivi mtu hadi akaamua kuwa ktk mahusiano ya kimapenzi anakuwa hajui nn anafanya? Hata km n mwanafunzi wa 4m 1?

Naomba nijibu kwa ustaarabu, hata km swali oa kijinga?
Am little bit old skool, sidhani kama jibu langu litakufaa

Ila pia inategemeana na familia unayotoka, kwa aliyetoka mbavuni ni tofauti na yule wa magetini, wa mbavuni anamuona dada yake ni asset kwamba anatakiwa asome, afaulu, apate ajira, afanye maisha then akomboe ukoo.

Ila kama we ni wa magetini utamuacha kivyovyote as long as her future is totally guaranteed.

Anajua anachokifanya ila hajui kama anaongozwa na hisia (genye mshindo) ila uhalisia ni kujiaribia maisha kwa mimba zisizo na matarajio, na kupoteza focus kwenye masomo only to end up failure as* b*tch
 
Shida ilianzia hapo kwenye miaka 20 form four..!
Unategemea nini lazima wahuni wajigongee kama nyagi tu.

Muache kidogo dunia itamnyoosha kama akizembea masomo, vitoto vya siku hivi vinagongwa na vipo smart..
 
Hapo alighafilika tu basi kama ulimkuta anasemwa ina maana hakuwa katika mood nzuri wala usimuhukumu.

Ni sawa na wewe mtu kakuvuruga mnataka mzichape af aje demu wako ghafla aseme nakupenda Jax unaweza hata ukamsukumizia mbali ila sio kuwa humpendi, mood tu!
Angalau wewe umeshauri vema, si hawa mi k# nd#
 
Was a joke... anyway, kosa lako ni kusahau kwamba huyo binti tayar amekua na possibly akawa na mwana ambaye yupo age sawa na wewe kabisa. Punguza sana kumfatilia, zungumza nae pale inapobidi ila sio Kila mara ndo maana hata anaona unamkera. Muache kwanza muda utafika atajutia alilokukosea na atakuomba radhi.
Pole sana... Kuwa na mdogo wa kike ni balaa mzee
Radhi? Whats Radhi? Hapa hakuna cha radhi wala nini, nimekata mazoea, nimeona ni upuuzi tu mkuu
 
Ubaba ni ubabe
Ukaka ni ubabe mchanga.

Kama angejua Wewe ni mbabe na mkorofi wala asingethubutu kujibu mashudu, Kwanza kufika kwako hapo angeona anabahati Mbaya.

Tatizo Vijana wa siku hizi mnajifanya mnabusara zilizopitiliza Hali inayofanya mnafanana na wanawake.

Hii kesi isingekuwepo kabisa,

Kama hujawahi kupiga mtu akazimia au kupelekwa serikali za mitaa au mahabusu unafikiri mtoto wa kike atakuheshimu?

Atakuona umwoga.
Atleast
 
Back
Top Bottom