unacheka unamana gani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 472
- 476
- Thread starter
- #261
Nimekuelewa sana hapoKeep distance sio kila mtu Ni wakuwa na mazoea nae hata Kama Ni ndugu yako aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa sana hapoKeep distance sio kila mtu Ni wakuwa na mazoea nae hata Kama Ni ndugu yako aisee
Ilianzaga hivi hivi kipindi hicho kwa mdogo wanguKwa hiyo mtoa post asimkanye mdogo wake kisa nini? Kuna watu mna IQ ndogo mno ku process mambo.
Ahsante kwa maelezo yako mazuri, nmejifunza kitu pia. Ubarikiwe.Am little bit old skool, sidhani kama jibu langu litakufaa
Ila pia inategemeana na familia unayotoka, kwa aliyetoka mbavuni ni tofauti na yule wa magetini, wa mbavuni anamuona dada yake ni asset kwamba anatakiwa asome, afaulu, apate ajira, afanye maisha then akomboe ukoo.
Ila kama we ni wa magetini utamuacha kivyovyote as long as her future is totally guaranteed.
Anajua anachokifanya ila hajui kama anaongozwa na hisia (genye mshindo) ila uhalisia ni kujiaribia maisha kwa mimba zisizo na matarajio, na kupoteza focus kwenye masomo only to end up failure as* b*tch
We ni mku nduguyanguMbona hayakutukana.Kakuambia kweli.Ungetukanwa ingekuaje?.Mwache kuku apewe mchele aliwe na wali.
Kwani kuku wako?
We mku nduguyanguNdo uache tabia za kike kama unazo[emoji1787]
Sio wanawake, ni mdogo wangu, more enough anasoma. We ni mku ndugu yangu!?Tatzo limeanzia kwako Wew kaka mkubwa, Mpaka Leo unakaa kupishana na Dada zako Hapo kwenu alikusema vile mbele ya Dada wa kazi Ili uondoke ukapange kwako na kingne uache kufatilia mambo yawanawake .
Amna mkuu me nna kwanguMiaka 26 bado upo kwa mama unasubiri chakula cha hausigeli. Huyu mdogo wako kakushauri vyema kuwa uwe kama mwanaume. Sasa wewe endelea kutetemeka hapo halafu kesho umwombe mama hela ya kunyolea ndevu na vyuzi lako
Eti akuna nitakachomfanya, kweli we ni mku nduguyangu. Nilifunga kamba nimetia mikanda nikamuacha kavimba karibu mwili wote. Anaugulia maumivi bado mpaka muda huu, nenda kashitaki sasa.!!! Mimi ndio kakaUkiona mbwa anakubwekea ujue kuna mtu anamlisha..
Anadate na mtu aliyemuacha miaka 10 na anammudu. Wewe wa miaka 6 unawezea wapi?
Matusi mengine mnayatafutaga wenyewe.
Na hakuna utakachomfanya. Sheria inamlinda kama mwanamke.
Kale shoti kadhaa, utulie.
Satan
Hapana, ni mwanafunzi na anasoma. Hata akitukana ni lazima afuatiliwe.Yuko sawa. Achana naye. Fuatilia yako ambayo tunaamini yako mengi mno.
Acha mambo ya kike. Uwe mwanaume boss.
Duh! Eti kwenye medula oblongata. Labda wewe sio mimi mkuu, na kwann akupige kwanza? Huoni utakuwa mzembe na unatakiwa kuwajibishwa vikali na sheria za kiume?Bro kwa hayo majibu huyo dogo alikua tayari kwa lolote hata kugombana na katika kugombana Kuna Mambo mengi akikulia tu timing na mtwangio akakushia nao kwenye medula ukakolapsi je utafanya nn ....? Si ndio aibu itakuwa maradufu.
Hapo dawa ni kumfungia tinted tu, unakata kamba nyanja zote block kila mahali , huduma zote ambazo ulitakiwa kumpa yeye kwa jeuri unaelekeza mashambulizi kwa beki tatu , yaani unamfanya beki tatu ndio Dada yako sasa ....kwa kufanya hivyo najua ataanza kumletea wivu beki tatu lakini wewe hakikisha unakua upande wa beki tatu maana ndio Dada yako kwa Sasa na kwakua anatumika huko nje na hawana malengo nae akisha pigwa pumbu tu na wahuni wakakimbia hapa akili itaanza kumkaa sawa lazima atajileta kwako na kukuomba msamaha na wewe hakikisha amekuomba msamaha si chini ya Mara tatu mazingira tofauti hapo ndio umsamehe na kwa conditions zako ...hapo utamnyoosha na atakuheshimu kweli na kukuogopa Sana ila akijileta tu na kimsamaha Cha kwanza tu ukaanza kuchekacheka hapa imekula kwako hayo mambo lazima yajirudie in advance mode [emoji38][emoji38][emoji38] utakuja kuleta uzi Tena humu wenye kichwa kinacho sema mdogo wangu amenitukana Tena amesema Mimi ni shoga
U smart upi unaoongelea?Shida ilianzia hapo kwenye miaka 20 form four..!
Unategemea nini lazima wahuni wajigongee kama nyagi tu.
Muache kidogo dunia itamnyoosha kama akizembea masomo, vitoto vya siku hivi vinagongwa na vipo smart..
Hilo halipo, atafuatiliwa kinguvu yaani, njaa zako peleka kwa wanyonge wenzako mkuu[emoji3]Chakula ya watu hiyo br,we fuata mambo yako ngojq tumlee
Upigwe na radi ufee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji706][emoji706]Miaka 20 unnamshauri nini?
Huyo ni mtu mzima..
Unam treat mtu wa miaka 20 kama ana miaka 12..?
Matusi umejitakia..
Vijijini huyo ni mama wa vikoba na analima shamba lake mwenyewe
Taikon..!Ubaba ni ubabe
Ukaka ni ubabe mchanga.
Kama angejua Wewe ni mbabe na mkorofi wala asingethubutu kujibu mashudu, Kwanza kufika kwako hapo angeona anabahati Mbaya.
Tatizo Vijana wa siku hizi mnajifanya mnabusara zilizopitiliza Hali inayofanya mnafanana na wanawake.
Hii kesi isingekuwepo kabisa,
Kama hujawahi kupiga mtu akazimia au kupelekwa serikali za mitaa au mahabusu unafikiri mtoto wa kike atakuheshimu?
Atakuona umwoga.
Mku ni mamiyo.Ungenikuta na kanga ya bi mkubwa ungekuwa na adabu.We ni mku nduguyangu
Nilijuaga una akili sanaMiaka 20 unnamshauri nini?
Huyo ni mtu mzima..
Unam treat mtu wa miaka 20 kama ana miaka 12..?
Matusi umejitakia..
Vijijini huyo ni mama wa vikoba na analima shamba lake mwenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ashakuwa posho ya walimu huyo