Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Kama unaishi kwenu hama.

Pia umekuja na story ya upande wako. Unajua sisi wengine tunasoma between lines. Mpaka anafikia kukuambia uache mambo ya kike, ni wazi wewe haumshauri bali unamfanyia unoko kinoma na unapiga sana gubu ambalo hapa unasema ni ushauri.

Acha hasira na ubadilishe approach. Msikilize pia kwani naye anazo akili zake ambazo hautakaa usmzijue hadi uoneshe kumuamini.

Boya sana wewe
Ushauri mzuri sana.
Ila kumwita BOYA kumeondoa ladha yote.
 
Haiwezekani hiyo kwa sababu nishajenga heshima kwa kutomuuliza tuhuma za kikubwa, hivyo hawezi pata ujasiri wa kuniuliza swali la kikubwa namna hiyo
Sasa kwann wee umtese jamaa anaemfanya dada ako afike kilelen, waache bhana wapeane mautamu lol, nawee tafuta dada wa mtu kumkamua uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa kwann wee umtese jamaa anaemfanya dada ako afike kilelen, waache bhana wapeane mautamu lol, nawee tafuta dada wa mtu kumkamua uwiiiiih
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Rejea mada mwanafunzi wa form four thats it, kinacholindwa ni uanafunzi wake siyo wivu wa kugegedwa, na ninachokieleza ni kipindi yupo shule akeshamaliza sina habari na lolote hata apewe mimba ikataliwe ntamsaidia mahitaji, hakuna mambata tena, tatizo vijana wengi siku hii akili zenu zinawaza chini tu
Im sorry you take it negatively, stay with your negagivity wenye akili timamu wamenielewa
Im too matured to date a student, kwanza anaanzaje kuhimili hizi mishindo
 
Duh Mungu akusamehe, hata kama jf ni sehemu huru ya kueleza hisia zako hicho ulichokieleza it really coming from your experience omba sala ya toba kiongozi
Huwezi kuja kujisifia kwamba kutwa unapambana na kuwajeruhi shemeji wanaokuja kwa dada yako kama siyo wivu uliopitiliza ni nini sasa.

Usidhani watu hawajui codetion uliyoweka.

Mkeo ndo umuonee wivu. Wivu uliopitiliza kwa dada dada yako si kawaida.
 
Form ziko nyingisana mdogowako kwa umri huo ni ipi ,risitaz au q T ?

Kosalako kubwa unamshauri Mambo ambayo ukienda kumwangalia bikra Hana ,kua na adabu mwenye Dada hakosi shemeji

Samaki mkunje angali mbichi unataka kumkunja ambaye kashakauka atavunjika na amevunjika na mifupa yake imekuchoma
 
Huwezi kuja kujisifia kwamba kutwa unapambana na kuwajeruhi shemeji wanaokuja kwa dada yako kama siyo wivu uliopitiliza ni nini sasa.

Usidhani watu hawajui codetion uliyoweka.

Mkeo ndo umuonee wivu. Wivu uliopitiliza kwa dada dada yako si kawaida.
Khaa shemeji! how?

Soma mada vizuri acha kukurupuka mdogo wako wa kike ambaye yupo form 4 akifuatwa na vivulana navyo unaviita shemeji, duh kweli dunia inaenda kasi
 
Kama amevuka 18yrs humuwezi, keshajua kila kitu, niacheni akafundishwe dunia, vidume vinamchanganya, hao wanaomkanya wapo sahihi. Mm Nina beki 3, ana 17 yrs saa hizi ananiaga kaitwa mahali Ila nisimwambie wife km anatoka, Leo Mara ya 3 anaenda pigwa, Sasa ndio nitetemeke?
Anapata wapi ujasiri wa kukuambia ivyo?au ushamla?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Rejea mada mwanafunzi wa form four thats it, kinacholindwa ni uanafunzi wake siyo wivu wa kugegedwa, na ninachokieleza ni kipindi yupo shule akeshamaliza sina habari na lolote hata apewe mimba ikataliwe ntamsaidia mahitaji, hakuna mambata tena, tatizo vijana wengi siku hii akili zenu zinawaza chini tu
Im sorry you take it negatively, stay with your negagivity wenye akili timamu wamenielewa
Im too matured to date a student, kwanza anaanzaje kuhimili hizi mishindo
Mie nimesha kuelewa sana, afadhari umenipa na faida ya kujua kitu, naomba nkuulize, hivi mtu hadi akaamua kuwa ktk mahusiano ya kimapenzi anakuwa hajui nn anafanya? Hata km n mwanafunzi wa 4m 1?

Naomba nijibu kwa ustaarabu, hata km swali oa kijinga?
 
Huyo mzabe makofi, kashajua dudu huyo na anakulinganisha na muhuni anaemkunja
 
Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.

Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.

Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?

Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.

Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Pole, sidhani kama umekosea kumshauri ikizingatiwa wewe ni kaka na ndio mzazi (Mjomba) ikitokea akijaliwa mtoto/watoto. Kikubwa, usikate tamaa, tafuta mqzingira mazuri na namna njema zaidi ya kuzungumza nae. Mara zote, fanya jambo Sahihi, kwa Wakati Sahihi na kwa Njia Sahihi.
 
Twende mbele turudi nyuma jaman

Nimetafuta sehemu penye tusi sijaona

Hv mleta mada unayajua matusi wewe?

Kama hilo n tusi bas SENGA angekuwa jela miaka mingi

Kuambiwa kuwa mwanaume maana yake play ur role as a man

Dogo kakurekebisha hajakutukana



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom