but why
Member
- Nov 18, 2020
- 26
- 152
.. Sema ukiwa brother kuna wakat lazima u act kibabe kwa hawa madogo wa kike kwa sababu sawa maamuz yapo mikononi mwake ya nn afanye na nn asifanye shida tu inakuja akishajazwa mimba na hao bodaboda akakimbia mji mtoto inakua jukumu lako brother, ww ndio utasimama kama baba kwa huyo uncle...kwa sababu obvious mama atakuwa yupo yupo tu na shule hajamaliza.. Dingi kakimbia automatic unakua mzigo wako sasa ukianza kuona dalili hzo kwa nn usiwe mkali au kumuasa at least awe muangalifu..Fanya kama alivyokushauri, acha kumfatilia kwasababu swali la nini afanye, nini asifanye lipo MIKONONI MWAKE. Hivyo anaona kama unazingua tu.
Kuna wale wadada wanalindwa sana shule za bweni za wasichana.. wakimaliza kuja vyuoni huku mhula wa kwanza tu keshapita na 'boyfrendi' wawili, wengine mhula wa kwanza tu ameshaishi na jamaa yake geto. Binafsi sionagi dhima ya kumlinda mtoto wa kike aliyefika utu uzima. Kama ulishindwa kumfunda akaelewa akiwa kitoto imeisha hiyoo.
Sent from my MAR-LX2 using JamiiForums mobile app