Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.

Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.

Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?

Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.

Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Kwanza amekustahi sana, angekua mwingine angesema kama inakuuma akuvulie mwenyewe umsaidie.
 
Nilishawai kumkaripia na kumpiga mdgo angu mam akanijia juu kuwa nimuache nizae wakwangu mm

Babu kausha tu acha alete kiburi soon Ni single mama ingawa nayo serekali imeruhusu warudishwe shule ila tulia aendele na uhun wake
 
Kiukweli mi mdogo wangu nikimtuma kitu afu akatae kwa kunijibu nyodo, ntampapasa na makofi mixer makwenzi mwenyewe atafurahi, ila nkisikia anafanywa matusi na flani sinaga jeuri hata ya kumuuliza ila huyo fulani ndo atachezea ngwara za kufa mtu ili amuogope mdogo wangu.
Nb. Power of love overcome love of power
 
Kiukweli mi mdogo wangu nikimtuma kitu afu akatae kwa kunijibu nyodo, ntampapasa na makofi mixer makwenzi mwenyewe atafurahi, ila nkisikia anafanywa matusi na flani sinaga jeuri hata ya kumuuliza ila huyo fulani ndo atachezea ngwara za kufa mtu ili amuogope mdogo wangu.
Nb. Power of love overcome love of power
Unamfilimba mdogo wako ndo maana wivu haukuishi
 
Kiukweli mi mdogo wangu nikimtuma kitu afu akatae kwa kunijibu nyodo, ntampapasa na makofi mixer makwenzi mwenyewe atafurahi, ila nkisikia anafanywa matusi na flani sinaga jeuri hata ya kumuuliza ila huyo fulani ndo atachezea ngwara za kufa mtu ili amuogope mdogo wangu.
Nb. Power of love overcome love of power
Itakuja siku utaambiwa "kaka nipe wee kile anachonipa yule unaempigaga ngwara" sijui utasemaje lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Itakuja siku utaambiwa "kaka nipe wee kile anachonipa yule unaempigaga ngwara" sijui utasemaje lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haiwezekani hiyo kwa sababu nishajenga heshima kwa kutomuuliza tuhuma za kikubwa, hivyo hawezi pata ujasiri wa kuniuliza swali la kikubwa namna hiyo
 
Back
Top Bottom