Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Na ww utakua kwa manyapara unapigania uhuru wako 🤣Pole sana mkuu, ingekuwa mdogo wangu saivi angekuwa amelazwa hospital akipigania uhai wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ww utakua kwa manyapara unapigania uhuru wako 🤣Pole sana mkuu, ingekuwa mdogo wangu saivi angekuwa amelazwa hospital akipigania uhai wake
Kwanza amekustahi sana, angekua mwingine angesema kama inakuuma akuvulie mwenyewe umsaidie.Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.
Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.
Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?
Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.
Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Kwanza hyo simu kapewa na Nani famili yao ndio ilidekezaUsimfanye chochote mchunie kwenye kila jambo, no zake futa hata ukikutana nae njiani pita kimya.kuna siku atatambua kuwa wewe ni kaka yake aje akuombe msamaha.
mkuu omba tuu maji unywe upooze rohoBado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au.
Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki,
Inaonekana mnatoka ukoo wa matusi. Wewe mtu yuko JF, hamfahamiani, unamtukana. Ukitukanwa na mtu mnayefahamiana kiundani unashangaa.Halafu kuna majitu mnashauri u qummer, heshima ifuate mkondo, kuleta ushauri si tiketi ya kushauri us4ng3 us3ng e hapa. Tuheshimiane tafadhali.!
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Unamfilimba mdogo wako ndo maana wivu haukuishiKiukweli mi mdogo wangu nikimtuma kitu afu akatae kwa kunijibu nyodo, ntampapasa na makofi mixer makwenzi mwenyewe atafurahi, ila nkisikia anafanywa matusi na flani sinaga jeuri hata ya kumuuliza ila huyo fulani ndo atachezea ngwara za kufa mtu ili amuogope mdogo wangu.
Nb. Power of love overcome love of power
Kuna lugha na namna ya kuongea na mkubwa mwenzio.Kwa hiyo mtoa post asimkanye mdogo wake kisa nini? Kuna watu mna IQ ndogo mno ku process mambo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana mkuu, ingekuwa mdogo wangu saivi angekuwa amelazwa hospital akipigania uhai wake
Au angemuambia akampe yeye yule jamaa anaemsuguaga dada ake,Kwanza amekustahi sana, angekua mwingine angesema kama inakuuma akuvulie mwenyewe umsaidie.
Itakuja siku utaambiwa "kaka nipe wee kile anachonipa yule unaempigaga ngwara" sijui utasemaje lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kiukweli mi mdogo wangu nikimtuma kitu afu akatae kwa kunijibu nyodo, ntampapasa na makofi mixer makwenzi mwenyewe atafurahi, ila nkisikia anafanywa matusi na flani sinaga jeuri hata ya kumuuliza ila huyo fulani ndo atachezea ngwara za kufa mtu ili amuogope mdogo wangu.
Nb. Power of love overcome love of power
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unamfilimba mdogo wako ndo maana wivu haukuishi
Kwahyo ulitaka awe wapi?
Haiwezekani hiyo kwa sababu nishajenga heshima kwa kutomuuliza tuhuma za kikubwa, hivyo hawezi pata ujasiri wa kuniuliza swali la kikubwa namna hiyoItakuja siku utaambiwa "kaka nipe wee kile anachonipa yule unaempigaga ngwara" sijui utasemaje lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh Mungu akusamehe, hata kama jf ni sehemu huru ya kueleza hisia zako hicho ulichokieleza it really coming from your experience omba sala ya toba kiongoziUnamfilimba mdogo wako ndo maana wivu haukuishi