Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.

Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.

Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?

Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.

Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.

Chapa kelbu aangukie kando
Pumbavu huyo unampa usia kirafiki anataka alete kujua! Kua friendly kwake haimaanishi akukosee adabu please while uko friendly ila maintain authority!
 
Ni Msukuma halafu mfupi Sana, lazima atanasa, nitapoteza mbegu ya ukoo wangu, wife atagundua mapema, saa hizi tu kiburi, umri unamtuma anaweza beba baba yoyote
We boya futa hilo kabila kwenye huo upuuzi wako.
 
Usimfanye chochote mchunie kwenye kila jambo, no zake futa hata ukikutana nae njiani pita kimya.kuna siku atatambua kuwa wewe ni kaka yake aje akuombe msamaha.
Ushauri huu auzingatie sana,binafsi mi nina dada zangu wengi tu yni mi ndo mkubwa wao, tunaheshimiana tunapendana tunataniana, ila mmoja ndo nimeivana nae sana atanambia wifi huyu mbaya huyu mzuri n.k,

Ila mi sijawah comment kuhusu mambo yake japo nayajua mpaka anajua kama najua,hivi naanzaje kuongea na dada angu kuhusu mambo ya ndani,

Mdogo wangu wa kiume ndo nazungumza nae kuhusu mambo ya afya na wanawake,na maisha,

Ye jamaa alitakiwa amcontrol dada ake kuhusu muda wa kurudi home,ufaulu kudrop,dharau, basi yni apo anamlamba fimbo heshima inarudi
 
Ukiona mbwa anakubwekea ujue kuna mtu anamlisha..

Anadate na mtu aliyemuacha miaka 10 na anammudu. Wewe wa miaka 6 unawezea wapi?

Matusi mengine mnayatafutaga wenyewe.

Na hakuna utakachomfanya. Sheria inamlinda kama mwanamke.

Kale shoti kadhaa, utulie.

Satan
 
Ukiona mbwa anakubwekea ujue kuna mtu anamlisha..

Anadate na mtu aliyemuacha miaka 10 na anammudu. Wewe wa miaka 6 unawezea wapi?

Matusi mengine mnayatafutaga wenyewe.

Na hakuna utakachomfanya. Sheria inamlinda kama mwanamke.

Kale shoti kadhaa, utulie.

Satan
Eti sheria inamlinda kama mwanamke, yaani ingekuwa ni mimi akizingua hivyo anachapwa halafu akashitaki popote, yaani ananyooshwa vizuri tu. Unafikiri sheria inahukumu hukumu tu?
 
Ukiona mbwa anakubwekea ujue kuna mtu anamlisha..

Anadate na mtu aliyemuacha miaka 10 na anammudu. Wewe wa miaka 6 unawezea wapi?

Matusi mengine mnayatafutaga wenyewe.

Na hakuna utakachomfanya. Sheria inamlinda kama mwanamke.

Kale shoti kadhaa, utulie.

Satan
Kwa hiyo mtoa post asimkanye mdogo wake kisa nini? Kuna watu mna IQ ndogo mno ku process mambo.
 
Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.

Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.

Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?

Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.

Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Kaliwa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.

Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.

Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?

Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.

Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Sijui amanita wapi kukujibu huo ujinga, huyo dogo itakuwa ni kweli kaanza uhuni na wala hawamsingizi, hapo anamuheshimu huyo boy wake wengine wote anawaona takataka.

Kwa kweli ingekula ni mdogo wangu mimi ndio kanijibu hivyo angekula viboko vya kutosha na ninahakika angemtaja huyo muhuni wake nisingejali umri wake naamini asingenisahau kwa mboko ambazo angekula. Pole sana mkuu wewe ni mnyonge sana.
 
Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.

Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.

Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?

Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.

Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Yuko sawa. Achana naye. Fuatilia yako ambayo tunaamini yako mengi mno.
Acha mambo ya kike. Uwe mwanaume boss.
 
Sijui amanita wapi kukujibu huo ujinga, huyo dogo itakuwa ni kweli kaanza uhuni na wala hawamsingizi, hapo anamuheshimu huyo boy wake wengine wote anawaona takataka.

Kwa kweli ingekula ni mdogo wangu mimi ndio kanijibu hivyo angekula viboko vya kutosha na ninahakika angemtaja huyo muhuni wake nisingejali umri wake naamini asingenisahau kwa mboko ambazo angekula. Pole sana mkuu wewe ni mnyonge sana.
Bro kwa hayo majibu huyo dogo alikua tayari kwa lolote hata kugombana na katika kugombana Kuna Mambo mengi akikulia tu timing na mtwangio akakushia nao kwenye medula ukakolapsi je utafanya nn ....? Si ndio aibu itakuwa maradufu.


Hapo dawa ni kumfungia tinted tu, unakata kamba nyanja zote block kila mahali , huduma zote ambazo ulitakiwa kumpa yeye kwa jeuri unaelekeza mashambulizi kwa beki tatu , yaani unamfanya beki tatu ndio Dada yako sasa ....kwa kufanya hivyo najua ataanza kumletea wivu beki tatu lakini wewe hakikisha unakua upande wa beki tatu maana ndio Dada yako kwa Sasa na kwakua anatumika huko nje na hawana malengo nae akisha pigwa pumbu tu na wahuni wakakimbia hapa akili itaanza kumkaa sawa lazima atajileta kwako na kukuomba msamaha na wewe hakikisha amekuomba msamaha si chini ya Mara tatu mazingira tofauti hapo ndio umsamehe na kwa conditions zako ...hapo utamnyoosha na atakuheshimu kweli na kukuogopa Sana ila akijileta tu na kimsamaha Cha kwanza tu ukaanza kuchekacheka hapa imekula kwako hayo mambo lazima yajirudie in advance mode [emoji38][emoji38][emoji38] utakuja kuleta uzi Tena humu wenye kichwa kinacho sema mdogo wangu amenitukana Tena amesema Mimi ni shoga
 
Back
Top Bottom