Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.
Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.
Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?
Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.
Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
We boya futa hilo kabila kwenye huo upuuzi wako.Ni Msukuma halafu mfupi Sana, lazima atanasa, nitapoteza mbegu ya ukoo wangu, wife atagundua mapema, saa hizi tu kiburi, umri unamtuma anaweza beba baba yoyote
Ulitekwa wapi wew mremboMemkwa [emoji56]
Mmmh wewWenzio humu wanakula housegirl.
Wewe unatafuta kuheshimiana nae.
Ndugu kula huyo kwanza utulize hasira.
Ushauri huu auzingatie sana,binafsi mi nina dada zangu wengi tu yni mi ndo mkubwa wao, tunaheshimiana tunapendana tunataniana, ila mmoja ndo nimeivana nae sana atanambia wifi huyu mbaya huyu mzuri n.k,Usimfanye chochote mchunie kwenye kila jambo, no zake futa hata ukikutana nae njiani pita kimya.kuna siku atatambua kuwa wewe ni kaka yake aje akuombe msamaha.
Eti sheria inamlinda kama mwanamke, yaani ingekuwa ni mimi akizingua hivyo anachapwa halafu akashitaki popote, yaani ananyooshwa vizuri tu. Unafikiri sheria inahukumu hukumu tu?Ukiona mbwa anakubwekea ujue kuna mtu anamlisha..
Anadate na mtu aliyemuacha miaka 10 na anammudu. Wewe wa miaka 6 unawezea wapi?
Matusi mengine mnayatafutaga wenyewe.
Na hakuna utakachomfanya. Sheria inamlinda kama mwanamke.
Kale shoti kadhaa, utulie.
Satan
Kwa hiyo mtoa post asimkanye mdogo wake kisa nini? Kuna watu mna IQ ndogo mno ku process mambo.Ukiona mbwa anakubwekea ujue kuna mtu anamlisha..
Anadate na mtu aliyemuacha miaka 10 na anammudu. Wewe wa miaka 6 unawezea wapi?
Matusi mengine mnayatafutaga wenyewe.
Na hakuna utakachomfanya. Sheria inamlinda kama mwanamke.
Kale shoti kadhaa, utulie.
Satan
Huu ndio ushauri sasa, mtoa post na wish angeuona huu.Tembeza kipigo cha maana usiue tu wala kumvunja
Kabisaa kabisa 20yrs mkubwa sanaNashangaa na mie hapa 20yrs, akat wengine 15yrs tyuuh tayar kichuma mboga iko on line. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KaliwaHuyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.
Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.
Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?
Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.
Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Sijui amanita wapi kukujibu huo ujinga, huyo dogo itakuwa ni kweli kaanza uhuni na wala hawamsingizi, hapo anamuheshimu huyo boy wake wengine wote anawaona takataka.Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.
Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.
Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?
Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.
Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Yuko sawa. Achana naye. Fuatilia yako ambayo tunaamini yako mengi mno.Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.
Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.
Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?
Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.
Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Bro kwa hayo majibu huyo dogo alikua tayari kwa lolote hata kugombana na katika kugombana Kuna Mambo mengi akikulia tu timing na mtwangio akakushia nao kwenye medula ukakolapsi je utafanya nn ....? Si ndio aibu itakuwa maradufu.Sijui amanita wapi kukujibu huo ujinga, huyo dogo itakuwa ni kweli kaanza uhuni na wala hawamsingizi, hapo anamuheshimu huyo boy wake wengine wote anawaona takataka.
Kwa kweli ingekula ni mdogo wangu mimi ndio kanijibu hivyo angekula viboko vya kutosha na ninahakika angemtaja huyo muhuni wake nisingejali umri wake naamini asingenisahau kwa mboko ambazo angekula. Pole sana mkuu wewe ni mnyonge sana.