Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Vijana wa siku hizi ni waoga mno.

Embu fikiria kijana anatukanwa na demu alafu anamuacha kisa anaogopa polisi[emoji3][emoji3]

Wanawake na binadamu Kwa ujumla ukiwaonyeshea mfano Kwa mtu mmoja wengine wote wanakuelewa.

Huyo kamdekeza Dadaake tangu wakiwa wadogo sasa hivi hawezi mwambia kitu.

Ilipaswa afanye tukio ambalo mpaka dada na wadogo zake wajue Kaka yetu mkorofi.

Kaka ukiwa mkorofi ya mbabe hata Kama huna pesa heshima inakuja automatically.

Watakudharua lakini Kwa kujificha Sana bila ya wewe kuwepo

Kwenye maisha huwezi leta Dharau Kwa watu hawa;

1. Mbabe na mkorofi
2. Mwenye pesa na hapa nazungumzia Tajiri.
3. Mchawi mahiri wa level za juu.
4. Mtumishi wa Mungu aliyehai.

Watakudharau Kwa kujificha[emoji3][emoji3]
Daaah! Jamaa kila quote lazima ushushe nondo
 
Nimegundua saabu ya kukutukana tena unastahili matusi!!...nakuhakikishia atakutukana mpaka uliepooo!! km tabia yako iko hivi tu!......na ukizidi atakutafutia wahuni wafanye yao....subiri!
Daaah
 
Kama amevuka 18yrs humuwezi, keshajua kila kitu, niacheni akafundishwe dunia, vidume vinamchanganya, hao wanaomkanya wapo sahihi. Mm Nina beki 3, ana 17 yrs saa hizi ananiaga kaitwa mahali Ila nisimwambie wife km anatoka, Leo Mara ya 3 anaenda pigwa, Sasa ndio nitetemeke?
sasa huyu ni beki 3, embu fikiria mtoto wako wakike ndio inakukuta uko kwenye io situation
 
sasa huyu ni beki 3, embu fikiria mtoto wako wakike ndio inakukuta uko kwenye io situation
Now days vibinti vinaanza mahusiano vikiwa vidogo Sana , mbaya zaidi generation ya kuanzia miaka ya 2000 hapo imekuwa inawahi kuwa na mabadiliko ya kimwili waweza kukutana na Binti mwili wake nimkubwa as if ana miaka 20 kumbe ndio kwanza ana miaka 16 ,,

Niliwahi kuwa ktk mahusiano na Binti wa miaka 15 pasipo Mimi kujua umri wake kutokana na mwili wake kuwa mkubwa bad enough at that Age nilimkuta akiwa Hana Bikira , Imagine
 
Now days vibinti vinaanza mahusiano vikiwa vidogo Sana , mbaya zaidi generation ya kuanzia miaka ya 2000 hapo imekuwa inawahi kuwa na mabadiliko ya kimwili waweza kukutana na Binti mwili wake nimkubwa as if ana miaka 20 kumbe ndio kwanza ana miaka 16 ,,

Niliwahi kuwa ktk mahusiano na Binti wa miaka 15 pasipo Mimi kujua umri wake kutokana na mwili wake kuwa mkubwa bad enough at that Age nilimkuta akiwa Hana Bikira , Imagine
aisee inasikitisha sana, Mungu atufanyie wepesi tu
 
Achana naye, ngoja dunia itamfunza japo maumivu yatarudi kwenye familia.

Hausegeli wako simpo tu tena wengi wanajua maisha, mtupie elfu kumi mwambie tuacheni na huyu hajitambui
 
Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.

Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.

Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?

Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.

Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Mkuu matusi umejitakia huyo ni mtu mzima kabisa anawashwa kabisa.
 
Yaani hata kama ni ndugu zako wa damu??
Ndio maana yake , abaki kuwa ndugu yako shirikiana nae pale kwenye umuhimu wa kufanya hivyo Mtu anaweza akawa ndugu yako lakini asiwe rafiki yako, Haujawahi kusikia ndugu wakitendeana ubaya wao kwa wao ,

Binaadamu hapaswi kujua undani wako kivile kwa sababu huwa Ni chanzo Cha kuvunjiana heshima,

Kwa mfano Rafiki zako /ndugu/ jamaa wanao kuzunguka wanaweza kuwa wana kuheshimu Sana kwa kuwa Wana kuona una financial status kubwa ,, lakini kumbe ndani yake una madeni kibao na sometimes inaweza tokea mchana ukaupitisha bila kula ,, inapo tokea baadhi yao wakaujua undani wako wataanza kukudharau na kukuona kuwa hauna hela matokeo yake ndio hayo siku ikitokea mkigombana ana kutemea shits
 
Usimfanye chochote mchunie kwenye kila jambo, no zake futa hata ukikutana nae njiani pita kimya.kuna siku atatambua kuwa wewe ni kaka yake aje akuombe msamaha.
Sasa akisusa si ndio ata prove kuwa ana tabia za kike?.

Huyu itakuwa alianza kunung'unika huku akimbembeleza mdogo wake asome. Ilitakiwa atoe kauli moja tu ya kimamlaka

"Dogo soma acha use***e" alafu anaendelea na mambo yake asitake maelezo wala utetezi.
 
Back
Top Bottom