raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Ana 20 yuko 4m4 na anamfundisha namna ya kuepuka vishawishi vya wanaume ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana 20 yuko 4m4 na anamfundisha namna ya kuepuka vishawishi vya wanaume ππππ
Mimi nakaa kwangu, yeye anakaa kwa washua.!Dogo mkazie huyo kama anakaa kwako! Kama wote mpo kwa washua kweli fata mambo yako!
SawaHata kama ametumia mbinu isiyosahihi, ila nadhani kuna jambo inabidi ulitafakari.
Jukumu la kaka mwenye miaka 26 kwa dada mwenye miaka 20 sio kumwambia nini cha kufanya, ni kumshauri kisha maamuzi anafanya mwenyewe.
Mdogo wako wa kike ana mengi ya kushauriwa, ila mengine mengi anayajua kwa umri huo.
Basi Kama Hela Unayo ya kukutosha wewe katafute hela atakuheshimu...Na Mtu mwenye hela hashindi nyumbani bila utaratibu...Hela ninayo, ya kunitosha mimi na ndugu zangu, ila si tajiri.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
SawaMimi nilidhani ni mwehu Kumbe anazo akili timamu!!, basi wewe ndiye utakuwa na matataizo na kakupa haki yako.[emoji1787]
OkAna 20 yuko 4m4 na anamfundisha namna ya kuepuka vishawishi vya wanaume [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Soma uzi tena. Mimi nina kwangu ila mdogo wangu anaishi kwa wazazi.Basi Kama Hela Unayo ya kukutosha wewe katafute hela atakuheshimu...Na Mtu mwenye hela hashindi nyumbani bila utaratibu...
Dogo huyo kashakuwa achana nae apelekewe moto ndio umri wake
Kiongozi tulia tu mkazanie kwenye elimu mambo mengine yatajiset yenyewe tu
Hapana, nimetembelea kwa washua leo nikakuta anasemwa.Amekuja kwako? Ndio kakujibu huo utumbo
Huu upheller sasaDogo huyo kashakuwa achana nae apelekewe moto ndio umri wake
Makubwa kama yapi? Kumshauri au? Kumuambia ajitahidi kusoma ni kosa?Kiongozi tulia tu mkazanie kwenye elimu mambo mengine yatajiset yenyewe tu
Ila ukitaka utawale mpaka hisia zake utapata makubwa zaidi ya hilo
Sio chai tafadhaliSijui tunywe au ndo tusubir vitafunwa [emoji28][emoji28]
Utapewa matusi ya nguoni mpaka ushangaeMakubwa kama yapi? Kumshauri au? Kumuambia ajitahidi kusoma ni kosa?
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Hapo alighafilika tu basi kama ulimkuta anasemwa ina maana hakuwa katika mood nzuri wala usimuhukumu.Hapana, nimetembelea kwa washua leo nikakuta anasemwa.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app