Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Hata kama ametumia mbinu isiyosahihi, ila nadhani kuna jambo inabidi ulitafakari.
Jukumu la kaka mwenye miaka 26 kwa dada mwenye miaka 20 sio kumwambia nini cha kufanya, ni kumshauri kisha maamuzi anafanya mwenyewe.

Mdogo wako wa kike ana mengi ya kushauriwa, ila mengine mengi anayajua kwa umri huo.
 
Anza na beki tatu kwanza upunguze hasira

Halafu masuala ya wasichana waachieni dada zao kama hakuna yupo mama au shangazi wewe hangaika na kumsaidia financially ili wasitusumbue huku mitaani kwa kuombaomba tuhela twa chips [emoji489] na vocha

Beba ushauri huu au acha is up to you man
Ahsante sana

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Shida ni palenunapojaribu kutatua mambo kwa style ya kizungu huku MTU amezungukwa na jamii ya kiafrika,mie mdogo wangu wa like alileta hizo pigo nilimwambia aondoke kwangu afanue mambo yake siku hizi amekuwa mdogo kama pilton.
Ahsante, ila huyu wangu haishi nyumbani kwangu, anaishi kwa wazazi bado!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Usikute mleta mada ameshatomber sana dada za watu, inapokuja zamu yake kulipa deni anajifanya ana uchungu sana na dadake.
Acha wahuni wamtembezee ukuni vizuri, hapo kikubwa kuomba tu wahuni wasije kumpandisha daladala za Buza wakampeleka kwa Mpalange.
Hapana, naheshimu mno wanawake

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom