unacheka unamana gani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 472
- 476
- Thread starter
- #61
Sawa, huenda upole wangu kwake umeniponzaKuacha mambo ya kike ni pamoja na kumzabua makofi mawili ya masikio ili akae sawa Mkuu..
Ila kama jibu lake limeishia tu kukunyong'onyeza Basi una mambo ya kike kweli mkuu..
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app