Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Loh! 😢😅Labda alirudia rudia 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Loh! 😢😅Labda alirudia rudia 😂
Fanya kama alivyokushauri, acha kumfatilia kwasababu swali la nini afanye, nini asifanye lipo MIKONONI MWAKE. Hivyo anaona kama unazingua tu.Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.
[emoji3]nilisoma na madada makubwa hayo nyonyo kama limeficha bata kifuani (Nyanzala na Geni)[emoji3][emoji3]Umenikumbusha mbali nimecheka saana
Usimfanye chochote mchunie kwenye kila jambo, no zake futa hata ukikutana nae njiani pita kimya.kuna siku atatambua kuwa wewe ni kaka yake aje akuombe msamaha.
Nipe namba yake mkuu nimkanye ukicheka nae utavuna mabuaHuyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.
Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa
Kama amevuka 18yrs humuwezi, keshajua kila kitu, niacheni akafundishwe dunia, vidume vinamchanganya, hao wanaomkanya wapo sahihi. Mm Nina beki 3, ana 17 yrs saa hizi ananiaga kaitwa mahali Ila nisimwambie wife km anatoka, Leo Mara ya 3 anaenda pigwa, Sasa ndio nitetemeke?
Huyo housegirl ukimuomba hatakataa.km amevuka 18yrs humuwezi, keshajua kila kitu, niacheni akafundishwe dunia, vidume vinamchanganya, hao wanaomkanya wapo sahihi.
Mm Nina beki 3, ana 17 yrs saa hizi ananiaga kaitwa mahali Ila nisimwambie wife km anatoka, Leo Mara ya 3 anaenda pigwa, Sasa ndio nitetemeke?
Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.
Ni Msukuma halafu mfupi Sana, lazima atanasa, nitapoteza mbegu ya ukoo wangu, wife atagundua mapema, saa hizi tu kiburi, umri unamtuma anaweza beba baba yoyoteHuyo housegirl ukimuomba hatakataa.
Much respect bro.Ni Msukuma halafu mfupi Sana, lazima atanasa, nitapoteza mbegu ya ukoo wangu, wife atagundua mapema, saa hizi tu kiburi, umri unamtuma anaweza beba baba yoyote
Kwahiyo unataka tufanyeje?Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.