Anza kuoga maji ya mwamposa na mafuta kila asbh akuna atakaemwonaMaisha ya chuo yana vurugu nyingi sana za kingono. Hosteli watu wanapigana "exile" kila siku. Waliopanga mitaani wanapika na kupakua pamoja kana kwamba wameoana. Wadada wengine wanapigwa "mtungo" na vijana 4 kwa siku.
Sasa itakuwaje kwa mdogo wangu huyu asiyejua chochote ktk umri wake huu mdogo wa miaka 18 tu?
Wakware wasije wakapita naye mapema na kumharibia future.
Aah! Kwa maisha niliyoyashuhudia chuo, mwili unasisimka ninapoona mdogo wangu wa kike anaelekea huko.
Daah!Nampa semester moja tu🤣
Imani yako kwa mwamposa nadhani ni kubwa kuliko punje ya haradaliAnza kuoga maji ya mwamposa na mafuta kila asbh akuna atakaemwona
Semester moja chuoni is equivalent na Miaka yake yote since childhoodNampa semester moja tu🤣
🤣🤣🤣. 600k imebanwa kwenye sidiria sio mchezo.Semester moja chuoni is equivalent na Miaka yake yote since childhood
Poor Brain anasemaga chura Ni mali ya umaaKama ana
Chura ndo balaa
Hajasoma saint kayumba. Geti kali home na shuleni kuonana ni visting day tu.Ataburuzwa huyo na hautajua amini kama ambavyo anaburuzwa saiz na hujui