Ophonso
Member
- Feb 2, 2021
- 33
- 122
Hakuna kitu kibaya sana kama ulimi. Usipouchunga ulimi wako utakuletea aibu, madhara kwako na kwa wengine.
Hii familia imekuwa inaropoka sana wengine wakipoteza wapendwa wao tena katika mazingira ya kawaida tu ya kifo kama ajali au magonjwa. Utasikia tu eti Wamemtoa Kafara.
Mtu kafa kwa ukimwi eti Wamemtoa kafara. Mtu kapata ajali kwa kuendesha huku kalewa na hovyohovyo eti Wamemtoa kafara. Mna bibi yenu na babu yenu wana miaka zaidi 90 wamekufa kwa kifo cha kawaida tu cha uzee eti wamewatoa kafara.
Sasa nao wamepoteza mpendwa wao kwenye ajali yani watu tumekomalia kila mahali tena tunasambaza huu uzushi kwa jazba Wamemtoa kafara na inawauma sana.
Sisi Waafrika ni watu wa ajabu sana.
Hii familia imekuwa inaropoka sana wengine wakipoteza wapendwa wao tena katika mazingira ya kawaida tu ya kifo kama ajali au magonjwa. Utasikia tu eti Wamemtoa Kafara.
Mtu kafa kwa ukimwi eti Wamemtoa kafara. Mtu kapata ajali kwa kuendesha huku kalewa na hovyohovyo eti Wamemtoa kafara. Mna bibi yenu na babu yenu wana miaka zaidi 90 wamekufa kwa kifo cha kawaida tu cha uzee eti wamewatoa kafara.
Sasa nao wamepoteza mpendwa wao kwenye ajali yani watu tumekomalia kila mahali tena tunasambaza huu uzushi kwa jazba Wamemtoa kafara na inawauma sana.
Sisi Waafrika ni watu wa ajabu sana.