Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni afisa mitama na ngumi za rejareja kwa vijana mdebwedo wa hapo daslam!Ndio nani huyo huko Daslam?
Mkuu umeleta mada kama vile wote tunamfahamu huyo! jazia kidogo Thd yako.
Anaujanja wa kizamani sanaAdamu mibangi..akomeshwe haraka
usikubali wahuni wasiojitambua miaka zaidi ya 17 kazini hana hata gariNilikuwa namkubali sana ila anapoelekea sio
domo bangiHuyu atakua anavuta ma-bange ya hovyo hovyo ya kuokota okota mitaani, mdomo umekua wa hovyo
Umejuaje kama ni DSM?Ndio nani huyo huko Daslam?
Mkuu umeleta mada kama vile wote tunamfahamu huyo! jazia kidogo Thd yako.
Coz kila mtu JF anaishi Dar na ana Gari kali,Umejuaje kama ni DSM?
Wew ni kijana ama mzee?
Unasikiliza mziki gani injili ama wa kidunia?
Usiwe zwazwa kama kila mwana jf anaishi dar mbona wew haupo dar?Coz kila mtu JF anaishi Dar na ana Gari kali,
Mimi kua kijana au mzee itakusaidia nini kwenye maisha yako binafsi?
Kujua nasikiliza mziki gani itakusaidia nini?
Jibu swali nililouliza,kama huna jibu piga kimya acha vimaswali vya darasa la pili unusu.
Wewe Kapuku umejuaje kama sipo Dar? Acha ujinga jibu ulichoulizwa,hua mnakimbilia tu kuanzisha thd kama vile mnalipwa.Usiwe zwazwa kama kila mwana jf anaishi dar mbona wew haupo dar?
Akili na nusu
Ndio nani huyo huko Daslam?
Mkuu umeleta mada kama vile wote tunamfahamu huyo! jazia kidogo Thd yako.
Kahaba wa mitandao unatabu sana unakuwa na uumbwa uumbwaWewe Kapuku umejuaje kama sipo Dar? Acha ujinga jibu ulichoulizwa,hua mnakimbilia tu kuanzisha thd kama vile mnalipwa.
Naona dawa imeanza kukuingia,haya tulia sasa ili umalize dose kabisa.Kahaba wa mitandao unatabu sana unakuwa na uumbwa uumbwa
KaushaNaona dawa imeanza kukuingia,haya tulia sasa ili umalize dose kabisa.