Mdomo wangu umepelekea wanawake wa mtaa mzima kunitazama kila muda. Waume zao wamenijengea hofu

Mdomo wangu umepelekea wanawake wa mtaa mzima kunitazama kila muda. Waume zao wamenijengea hofu

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Napitia kipindi kigumu ndugu zanguni katika kipindi hiki kigumu cha wanaume wazee wa vilainishi Daslamu. Mtaani naanza kuishi kwa mashaka sana

Hivi karibuni imeibuka hali ya kuzubaa ambayo inaukumbuka uso wangu. Kuna muda nikitizama kitu najikuta naganda, mwisho wa masaa najisahau kabisa, kuja kuganduka najikuta niko mdomo wazi, kanakwamba nashangaa hicho kitu kwa kukiona cha ajabu sana

Hali hii ilianza kunisikitisha kwa kuwa siku hizi ninapoganda, ile kuganduka najikuta namtizama mwanamke kwa kumtumbulia macho kwa makodo makubwa sana huku mdomo wangu ukiwa wazi, ishara ya kama namshangaa, ama kanivutia, ama kanikosha, ama kanishangaza, baada ya hapo udelele hutoka kwa kiasi fulani na kudumbukia kwa mfuko wa shati kama hiyo siku nitakuwa nimevaa shati langu la chichiemu, kisha maisha yataendelea kama kawaida, siku hadi siku

Kinachonishangaza, kila mwanamke ambaye amekumbwa na hali yangu hii, huishia kunitizama tizama kila muda, wengine huvalia vizuri wanapopita mbele yangu, na wengine hujinyunyizia unyunyu, wengine hufika mbele yangu na kuanza kunishangaa, muda huo wengine wakionesha tabasamu na wengine kuonesha kushangaa

Cha ajabu naskia za chinichini kuwa nina mazoea na baadhi ya wanawake ilihali hata salamu nao sina zaidi ya kuoneshana tabasamu tu, tena ni pale tu ninapoanzwa

Hali hii itakuja kunisababishia madhara makubwa sana. Nifanyeje?
 
Napitia kipindi kigumu ndugu zanguni katika kipindi hiki kigumu cha wanaume wazee wa vilainishi Daslamu. Mtaani naanza kuishi kwa mashaka sana

Hivi karibuni imeibuka hali ya kuzubaa ambayo inaukumbuka uso wangu. Kuna muda nikitizama kitu najikuta naganda, mwisho wa masaa najisahau kabisa, kuja kuganduka najikuta niko mdomo wazi, kanakwamba nashangaa hicho kitu kwa kukiona cha ajabu sana

Hali hii ilianza kunisikitisha kwa kuwa siku hizi ninapoganda, ile kuganduka najikuta namtizama mwanamke kwa kumtumbulia macho kwa makodo makubwa sana huku mdomo wangu ukiwa wazi, ishara ya kama namshangaa, ama kanivutia, ama kanikosha, ama kanishangaza, baada ya hapo udelele hutoka kwa kiasi fulani na kudumbukia kwa mfuko wa shati kama hiyo siku nitakuwa nimevaa shati langu la chichiemu, kisha maisha yataendelea kama kawaida, siku hadi siku

Kinachonishangaza, kila mwanamke ambaye amekumbwa na hali yangu hii, huishia kunitizama tizama kila muda, wengine huvalia vizuri wanapopita mbele yangu, na wengine hujinyunyizia unyunyu, wengine hufika mbele yangu na kuanza kunishangaa, muda huo wengine wakionesha tabasamu na wengine kuonesha kushangaa

Cha ajabu naskia za chinichini kuwa nina mazoea na baadhi ya wanawake ilihali hata salamu nao sina zaidi ya kuoneshana tabasamu tu, tena ni pale tu ninapoanzwa

Hali hii itakuja kunisababishia madhara makubwa sana. Nifanyeje?
Mzee ushazimwa data hapo tayari
 
Unajua mada zingine huwa mnaanzisha kufurahisha watu na kujiona wajaaaaaanja na machai yenu ila amini nakwambia ni ishara za ushoga.

Kama unabisha sawa ila subiri tu
 
1000027044.jpg
 
Unajua mada zingine huwa mnaanzisha kufurahisha watu na kujiona wajaaaaaanja na machai yenu ila amini nakwambia ni ishara za ushoga.

Kama unabisha sawa ila subiri tu
Nifanyeje mkuu ili kujiepusha na hili janga kabla siku hazijakuja?
 
Hiyo ni kifafa mkuu Kuna jamaa alianza hivo hivo alikuwa anajisahau kwenye tv mpka mnazima tv yeye bado anaingalia au kama kutembea yeye anaenda tu mpka ashtuke badae akawa na kifafa
 
Hiyo ni kifafa mkuu Kuna jamaa alianza hivo hivo alikuwa anajisahau kwenye tv mpka mnazima tv yeye bado anaingalia au kama kutembea yeye anaenda tu mpka ashtuke badae akawa na kifafa
Nifanye nini ili kuondokana na hii kadhia?
 
Back
Top Bottom