Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Angalieni wenyewe namna Polisi wanavyohangaika na mtu ambaye wala hana silaha yoyote
Halafu rudisheni kumbukumbu ya namna walishughulikia ajali ya ghorofa Kariakoo.
---
Wakati Jeshi la Polisi mkoani Songwe likimaliza mahojiano na kada wa Chadema, Mdude Nyagali, mwanaharakati huyo anapelekwa mkoani Mbeya kwa mahojiano mengine na jeshi hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Nyagali alikamatwa Novemba 22, 2024 mkoani Songwe akiwa na makada wengine wa Chadema akiwamo Mwenyekiti wake Taifa, Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyansa, Joseph Mbilinyi 'Sugu' kwa madai ya kukiuka taratibu za kampeni.
Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hata hivyo, makada wengine waliachiwa na Polisi kueleza kuwa inamshikilia Mdude kwa mahojiano zaidi.
Akizungumza na Mwananchi leo Novemba 25, 2024 Kamanda wa Polisi mkoani Songwe, Agustino Senga amesema tayari wamemaliza mahojiano na mwanaharakati huyo, na tayari ameelekea Mbeya kujibu tuhuma nyingine zinazomkabili.
Halafu rudisheni kumbukumbu ya namna walishughulikia ajali ya ghorofa Kariakoo.
---
Wakati Jeshi la Polisi mkoani Songwe likimaliza mahojiano na kada wa Chadema, Mdude Nyagali, mwanaharakati huyo anapelekwa mkoani Mbeya kwa mahojiano mengine na jeshi hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Nyagali alikamatwa Novemba 22, 2024 mkoani Songwe akiwa na makada wengine wa Chadema akiwamo Mwenyekiti wake Taifa, Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyansa, Joseph Mbilinyi 'Sugu' kwa madai ya kukiuka taratibu za kampeni.
Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hata hivyo, makada wengine waliachiwa na Polisi kueleza kuwa inamshikilia Mdude kwa mahojiano zaidi.
Akizungumza na Mwananchi leo Novemba 25, 2024 Kamanda wa Polisi mkoani Songwe, Agustino Senga amesema tayari wamemaliza mahojiano na mwanaharakati huyo, na tayari ameelekea Mbeya kujibu tuhuma nyingine zinazomkabili.
