LGE2024 Mdude atolewa Songwe na kupelekwa Mbeya kwa mahojiano zaidi

LGE2024 Mdude atolewa Songwe na kupelekwa Mbeya kwa mahojiano zaidi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Angalieni wenyewe namna Polisi wanavyohangaika na mtu ambaye wala hana silaha yoyote


Halafu rudisheni kumbukumbu ya namna walishughulikia ajali ya ghorofa Kariakoo.
---
Wakati Jeshi la Polisi mkoani Songwe likimaliza mahojiano na kada wa Chadema, Mdude Nyagali, mwanaharakati huyo anapelekwa mkoani Mbeya kwa mahojiano mengine na jeshi hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.

Nyagali alikamatwa Novemba 22, 2024 mkoani Songwe akiwa na makada wengine wa Chadema akiwamo Mwenyekiti wake Taifa, Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyansa, Joseph Mbilinyi 'Sugu' kwa madai ya kukiuka taratibu za kampeni.

Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Hata hivyo, makada wengine waliachiwa na Polisi kueleza kuwa inamshikilia Mdude kwa mahojiano zaidi.

Akizungumza na Mwananchi leo Novemba 25, 2024 Kamanda wa Polisi mkoani Songwe, Agustino Senga amesema tayari wamemaliza mahojiano na mwanaharakati huyo, na tayari ameelekea Mbeya kujibu tuhuma nyingine zinazomkabili.
Polisi wengi wsna tatizo la afya ya akili.
 
Angalieni wenyewe namna Polisi wanavyohangaika na mtu ambaye wala hana silaha yoyote


Halafu rudisheni kumbukumbu ya namna walishughulikia ajali ya ghorofa Kariakoo.
---
Wakati Jeshi la Polisi mkoani Songwe likimaliza mahojiano na kada wa Chadema, Mdude Nyagali, mwanaharakati huyo anapelekwa mkoani Mbeya kwa mahojiano mengine na jeshi hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.

Nyagali alikamatwa Novemba 22, 2024 mkoani Songwe akiwa na makada wengine wa Chadema akiwamo Mwenyekiti wake Taifa, Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyansa, Joseph Mbilinyi 'Sugu' kwa madai ya kukiuka taratibu za kampeni.

Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Hata hivyo, makada wengine waliachiwa na Polisi kueleza kuwa inamshikilia Mdude kwa mahojiano zaidi.

Akizungumza na Mwananchi leo Novemba 25, 2024 Kamanda wa Polisi mkoani Songwe, Agustino Senga amesema tayari wamemaliza mahojiano na mwanaharakati huyo, na tayari ameelekea Mbeya kujibu tuhuma nyingine zinazomkabili.
Safi! Mdude anatakiwa kutiwa adabu
 
Angalieni wenyewe namna Polisi wanavyohangaika na mtu ambaye wala hana silaha yoyote


Halafu rudisheni kumbukumbu ya namna walishughulikia ajali ya ghorofa Kariakoo.
---
Wakati Jeshi la Polisi mkoani Songwe likimaliza mahojiano na kada wa Chadema, Mdude Nyagali, mwanaharakati huyo anapelekwa mkoani Mbeya kwa mahojiano mengine na jeshi hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.

Nyagali alikamatwa Novemba 22, 2024 mkoani Songwe akiwa na makada wengine wa Chadema akiwamo Mwenyekiti wake Taifa, Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyansa, Joseph Mbilinyi 'Sugu' kwa madai ya kukiuka taratibu za kampeni.

Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Hata hivyo, makada wengine waliachiwa na Polisi kueleza kuwa inamshikilia Mdude kwa mahojiano zaidi.

Akizungumza na Mwananchi leo Novemba 25, 2024 Kamanda wa Polisi mkoani Songwe, Agustino Senga amesema tayari wamemaliza mahojiano na mwanaharakati huyo, na tayari ameelekea Mbeya kujibu tuhuma nyingine zinazomkabili.
Hapo Ruanda ndiyo kuna basha wake anayemgombea kila siku na mitusi yake kwenye mtandao. Wemempa anachotaka
 
Wanambeya mpo tu ,mnaangalia mwenzenu anateswa na polisi? Kwann msiingilie kati na kuwakata vichwa walau polisi 6??

Siku moja wajaribu kumkamata G4N ndiyo watajuta hawajui.
Upoteze muda wa kwenda kumtetea HAYAWANI anayeporomosha matusi mtandaoni??
 
Upoteze muda wa kwenda kumtetea HAYAWANI anayeporomosha matusi mtandaoni??
Ni mtetezi wa wanyonge huyu. Ni vile tu kuwa wewe na wengine hamjitambui ndiyo maana hamuelewi umuhimu wa huyu mwamba Mdude.
 
Wanambeya mpo tu ,mnaangalia mwenzenu anateswa na polisi? Kwann msiingilie kati na kuwakata vichwa walau polisi 6??

Siku moja wajaribu kumkamata G4N ndiyo watajuta hawajui.
Sahihi tunahitaji polisi walau 200 wakatwe vichwa ilituheshimiane
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Mbeya watamwachia soon. Labda RPC alazimishwe mengine. Hata Mdude keshawahi msifia yule mlokole kwa kuntendea haki na hata kumtetea.
 
Ni mtetezi wa wanyonge huyu. Ni vile tu kuwa wewe na wengine hamjitambui ndiyo maana hamuelewi umuhimu wa huyu mwamba Mdude.
Wanyonge ndiyo nani? Ukikubali kuitwa mnyonge dunia hii ambayo Mungu amekuumba na kukupa akili basi wewe sawa na msukule tu
 
Wanyonge ndiyo nani? Ukikubali kuitwa mnyonge dunia hii ambayo Mungu amekuumba na kukupa akili basi wewe sawa na msukule tu
Wewe ni mnyonge, ndiyo maana hata jina lako tu kulitumia humu unaogopa. Imetumia fake ID. Wewe ni mnyonge pro max.
 
Wewe ni mnyonge, ndiyo maana hata jina lako tu kulitumia humu unaogopa. Imetumia fake ID. Wewe ni mnyonge pro max.
Siwezi kuwa mnyonge mimi. Natumia anonymous ID kwa ajili ya uhuru wa maoni. Acha ubwege G4N
 
Siwezi kuwa mnyonge mimi. Natumia anonymous ID kwa ajili ya uhuru wa maoni. Acha ubwege G4N
Wewe hauko huru. Aliye huru kutoa mawazo yake bila kuficha jina lake. Kuficha jina lako maana yake una hofu kwamba maoni yako yakipokelewa visivyo na wenye nguvu itakula kwako. Wewe ni mnyonge pro max.
 
Angalieni wenyewe namna Polisi wanavyohangaika na mtu ambaye wala hana silaha yoyote


Halafu rudisheni kumbukumbu ya namna walishughulikia ajali ya ghorofa Kariakoo.
---
Wakati Jeshi la Polisi mkoani Songwe likimaliza mahojiano na kada wa Chadema, Mdude Nyagali, mwanaharakati huyo anapelekwa mkoani Mbeya kwa mahojiano mengine na jeshi hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.

Nyagali alikamatwa Novemba 22, 2024 mkoani Songwe akiwa na makada wengine wa Chadema akiwamo Mwenyekiti wake Taifa, Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyansa, Joseph Mbilinyi 'Sugu' kwa madai ya kukiuka taratibu za kampeni.

Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Hata hivyo, makada wengine waliachiwa na Polisi kueleza kuwa inamshikilia Mdude kwa mahojiano zaidi.

Akizungumza na Mwananchi leo Novemba 25, 2024 Kamanda wa Polisi mkoani Songwe, Agustino Senga amesema tayari wamemaliza mahojiano na mwanaharakati huyo, na tayari ameelekea Mbeya kujibu tuhuma nyingine zinazomkabili.
Polisi wanafanya kampeni kiaina.
 
Back
Top Bottom