Ujue mangi Selasini ndio aliongoza mapinduzi yaliyofeli.kumng'oa mangi MbatiaKivipi? Mbona walikuwa wanashangilia apinduliwe?
Anamaanisha kwamba Mbatia ni mliberali, humu JF watu wazima huwa wanasema Sana hivo
Vinauziwa humu JF?!..Nahitaji nakala ya kitabu alichoandika Mdude Nyagali.
Umefuatilia umepata Hadi picha? Sio kwa mahaba haya aiseeeeHuyu Mdude yupo kiharakati kila mara. Mbatia nae anasema Aluta continua. Hapa ni harakati tupuView attachment 2234797
kanena kikwaoNdio nini?