Mdude Chadema amtembelea Mbatia. Ampatia kitabu chake Miaka mitano ya mateso katika harakati. Ampomgeza kupangua mapinduzi

Mdude kula ki masihara kulisababisha aende jela kiurahisi,lile demu sijui liko wapi sahivi
 
Wakishindwa kukubalika kwa Hoja wataanza kutumia ukabila au udini .hao watu hawatufai.by mwalimu
 
Ndio watu mnataka watuongoze hawa,
Mwenyekiti anakula hivyo vichwa viwili kwa wakati.
Halafu upinzani mnatafuta mchawi nani
 
Kama mapinduzi yameshindwa ni sawa na kusema system imeshindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…