Mdude CHADEMA: Tunaiandikia FIFA barua ili Simba ifungiwe kwa kujihusisha na siasa

Mdude CHADEMA: Tunaiandikia FIFA barua ili Simba ifungiwe kwa kujihusisha na siasa

Mnauliza afungiwe ahmed au simba
Kwani Ahmed ni msemaji wa nini
Akisema anawakilisha kitu gani

Wanaopaswa kumfungia Ahmed ni Simba
Ila Fifa ni kuifungia Simba yote tu
 
Tumesema sana humu kuhusu mpira Tz. Wanatumia mpira kuwachota akili mzidi kuwa fukara na kutokujitambua kutetea maslahi yenu..
Washika mpini wanajua kucheza na akili za Wananchi wa nchi ya kusadikika

1. Mpira sijui match
2. Mikutano na makongamo ya dini (Wakristu)
3. Bongo movie & flava
4. Maandamano na mikutano ya kubatiza jina ‘ya Amani’
5. Umbea Udaku (social media)
6. Kubet
Leo mnahimizwa kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura swala la Katiba Mpya limezikwa. Watu watambue wanasiasa wanawaza kuwa wabunge mawaziri wakurugenzi sio maslahi ya Wananchi na nchi.
 
Nawazq kijinga kwamfano kweli FIFA wakasikiliza utopolo huo wakaifungia Simba huyu jamaa atapata haha gani sasa.?
Tatizo hakuna nembo yoyote anayoionesha kwamba anaiwakilisha Simba hivyo kama msemaji wa club pia anayo haki ya kupenda chama chochote.
Huyu zoba anataka kugeuza Siasa kama ni uadui ni vile tu hana madhara yoyote vinginevyo ilitakiwa awahishwe kwenye Mahakama ya Mbinguni.
 
Tumesema sana humu kuhusu mpira Tz. Wanatumia mpira kuwachota akili mzidi kuwa fukara na kutokujitambua kutetea maslahi yenu..
Washika mpini wanajua kucheza na akili za Wananchi wa nchi ya kusadikika

1. Mpira sijui match
2. Mikutano na makongamo ya dini (Wakristu)
3. Bongo movie & flava
4. Maandamano na mikutano ya kubatiza jina ‘ya Amani’
5. Umbea Udaku (social media)
6. Kubet
Leo mnahimizwa kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura swala la Katiba Mpya limezikwa. Watu watambue wanasiasa wanawaza kuwa wabunge mawaziri wakurugenzi sio maslahi ya Wananchi na nchi.
Kwahiyo wakristo tusihubiri kwa sababu ya katiba? We jamaa wewe. Katiba tumekuachia wewe na mdude mpiganie, sisi tunahubiri habari njema iletayo wokovu kwa kila mtu ukiwemo wewe.
 
Hapo namuunga mkono mdude , na kuanzia Leo sitaishabikia Simba tena na kufuatilia mpira wa bongo naacha , Wala sitasoma habari ya mpira yeyote inayohusu timu za bongo.

Nina miaka zaid ya tisa Sasa sijasikiliza redio na kufuatilia clouds sababu ya kuwa biased kisiasa,

Wazee tumuumge mkono mdude katika Ili jambo.
 
Msemaji mkuu wa Simba mh Ahmed Ally amewataka Vijana wote nchini kujiunga UVCCM

Ahmed Ally amesema Vijana waliojiunga UVCCM watembee Vifua mbele kwa kufanya Maamuzi sahihi kabisa Kwenye maisha yao

Source: Wasafi media
 
Msemaji mkuu wa Simba mh Ahmed Ally amewataka Vijana wote nchini kujiunga UVCCM

Ahmed Ally amesema Vijana waliojiunga UVCCM watembee Vifua mbele kwa kufanya Maamuzi sahihi kabisa Kwenye maisha yao

Source: Wasafi media
Ccm ya Samia imechana mikeka ya Wapinzani
 
Msemaji mkuu wa Simba mh Ahmed Ally amewataka Vijana wote nchini kujiunga UVCCM

Ahmed Ally amesema Vijana waliojiunga UVCCM watembee Vifua mbele kwa kufanya Maamuzi sahihi kabisa Kwenye maisha yao

Source: Wasafi media
ajiangalie, asijekutumia muda wake wote alioishi katika dunia yeye ni mpira mara siasa huku vijana wengi wa kiislam hata kuswali hawaswali lakini kwake hilo anaona sio jukumu lake kuwaambia waingie msikitini
 
ajiangalie, asijekutumia muda wake wote alioishi katika dunia yeye ni mpira mara siasa huku vijana wengi wa kiislam hata kuswali hawaswali lakini kwake hilo anaona sio jukumu lake kuwaambia waingie msikitini
Kwani yeye ni Muislamu?
 
Back
Top Bottom