No, not at all! siyo kwa kebehi hiyo ya kupoza ubongo! Anahitaji kuwa moderated maana anachukia sana yanayofanywa na watawala. Lakini kwa wafalme wa kiafrika lazima kuchagua uwaambie nini na wakati gani. hayo ya kupoza ubongo ni kejeli!Jamaa akiona halaiki ya watu huwa kichwa kinapata Moto huwa inatakiwa akiwa anaongea awepo mtu atakaekua anammwagia maji kichwani ili kupooza rejeta ya ubongo
wewe unafikiria uchafu! utakuwa wa pwani maana ......Walimbandua?
Hakuna kebehi yule kichwa kinapata moto sana afanyiwe operation ya ubongoNo, not at all! siyo kwa kebehi hiyo ya kupoza ubongo! Anahitaji kuwa moderated maana anachukia sana yanayofanywa na watawala. Lakini kwa wafalme wa kiafrika lazima kuchagua uwaambie nini na wakati gani. hayo ya kupoza ubongo ni kejeli!
Ni kebehi! Je magufuli naye alikuwa anapata kichwa moto?Hakuna kebehi yule kichwa kinapata moto sana afanyiwe operation ya ubongo
kama anachoongea hakivunji sherikani mtu mwache aongee ateme nyongo yake apono moyo wala hakuna haja ya kumoderate anachokwenda kuingea ali muradi havunji sheriajohnthebaptist Nakualika twende kwa Mdude CHADEMA Nyagali kijijini kwake tukasikilize mkutano kijijini kwake.
Angalizo kwa CHADEMA: Jaribu ku moderate aongee nini kwenye kadamnasi, maana ndugu yangu Mdude hachagui aseme nini na wapi! Mwanaharakati mzuri namuunga mkono sana, lakini kwa mazingira yetu let him be moderated so as to maintain a calm environment currently prevailing kwenye mikutano ya hadhara.
Yeye Balbu kichwani ilikua imeunguaNi kebehi! Je magufuli naye alikuwa anapata kichwa moto?
Mwache nae ageuzwe kiwete kama yule mwenzao 🤣🤣🤣johnthebaptist Nakualika twende kwa Mdude CHADEMA Nyagali kijijini kwake tukasikilize mkutano kijijini kwake.
Angalizo kwa CHADEMA: Jaribu ku moderate aongee nini kwenye kadamnasi, maana ndugu yangu Mdude hachagui aseme nini na wapi! Mwanaharakati mzuri namuunga mkono sana, lakini kwa mazingira yetu let him be moderated so as to maintain a calm environment currently prevailing kwenye mikutano ya hadhara.
Wacha System imnyooshe nae. Maana kuna level ya uvumilivu ikifikiwa option inakuwa ni kukunyamazisha kwa lazima.Communication Skill kwa mdude hajui ina maana gani, atapayuka ujinga wake tu kama kawaida
Pamoja sana bwashee!johnthebaptist Nakualika twende kwa Mdude CHADEMA Nyagali kijijini kwake tukasikilize mkutano kijijini kwake.
Angalizo kwa CHADEMA: Jaribu ku moderate aongee nini kwenye kadamnasi, maana ndugu yangu Mdude hachagui aseme nini na wapi! Mwanaharakati mzuri namuunga mkono sana, lakini kwa mazingira yetu let him be moderated so as to maintain a calm environment currently prevailing kwenye mikutano ya hadhara.
Sio swala la kufikiria au kutofikiriwa, inasemekana kikundi cha kuteka teka watu kilikuwa kinawabandua. Tunauliza for confirmation. Ni kama imekugusa hivi, washawahi kukubandua na wewe?wewe unafikiria uchafu! utakuwa wa pwani maana ......
Hapana, sio msema hovyo,Kabisa, mdude ni msema hovyo.
Retired ni mtu na heshima zake upuuzi huo waulize watoto wenzako ..kuwa na nidhamu!Sio swala la kufikiria au kutofikiriwa, inasemekana kikundi cha kuteka teka watu kilikuwa kinawabandua. Tunauliza for confirmation. Ni kama imekugusa hivi, washawahi kukubandua na wewe?
Jaribuni kuulizia ndugu zake wako wapi? Wazazi wake wako wapi na Babu na bibi zake walizikwa wapi? Siyo kwa nia ya kumfukuza nchini Bali kujua ni kwa nini ana behave namna hiyo?Ina maana hajui alitokea wapi?? Bas kwa guts zile naamini sio mTz...watz ni waoga mno!inaumiza
Naunga mkona hojajohnthebaptist Nakualika twende kwa Mdude CHADEMA Nyagali kijijini kwake tukasikilize mkutano kijijini kwake.
Angalizo kwa CHADEMA: Jaribu ku moderate aongee nini kwenye kadamnasi, maana ndugu yangu Mdude hachagui aseme nini na wapi! Mwanaharakati mzuri namuunga mkono sana, lakini kwa mazingira yetu let him be moderated so as to maintain a calm environment currently prevailing kwenye mikutano ya hadhara.
Lissu si anasapoti hiyo michezo?Retired ni mtu na heshima zake upuuzi huo waulize watoto wenzako ..kuwa na nidhamu!
Mfatilie zaidi tweeter utaelewa mkuu...yaani kajitoa mnoo ufahamu