Mdude: Lissu, Heche, Lema ni wapinzani wa kweli Tanzania. Nilipokuwa Polisi Oysterbay baada ya mateso makali nikasikia mahabusu wanaimba Lissu! Lissu!

Mdude: Lissu, Heche, Lema ni wapinzani wa kweli Tanzania. Nilipokuwa Polisi Oysterbay baada ya mateso makali nikasikia mahabusu wanaimba Lissu! Lissu!

Bezecky

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
494
Reaction score
897
๐“๐ฎ๐ง๐๐ฎ ๐‹๐ข๐ฌ๐ฌ๐ฎ, ๐‰๐จ๐ก๐ง ๐‡๐ž๐œ๐ก๐ž ๐ง๐š ๐‹๐ž๐ฆ๐š ๐ง๐ข ๐ฐ๐š๐ฉ๐ข๐ ๐š๐ง๐ข๐š ๐ก๐š๐ค๐ข ๐ฐ๐š ๐ฎ๐ค๐ฐ๐ž๐ฅ๐ข ๐ญ๐ฎ๐ฐ๐š๐ฎ๐ง๐ ๐ž ๐ฆ๐ค๐จ๐ง๐จ.

Lissu, Heche na Lema hawa ni rafiki na ndugu wa haki. Kujitoa kwao kupigania haki za mtu & watu wowote kwao ni jambo la kawaida. Binafsi kwangu kila mmoja amehusika kunisaidia kupigania haki zangu tangu mwaka 2016.

Heche na Lema walifanya mchakato wa kunitorosha nchini mwaka 2018 wakati wa jaribio la utekaji dhidi yangu katika ziara ya makamu Rais mkoa wa Songwe na Mbeya.

Kwa mujibu wa mmoja wa watekaji aliyeamua kutoa taarifa za kunisaidia alisema watekaji waliokuwa kwenye ziara ya makamu wa Rais walikuwa na kazi mbili, moja ilikuwa ni kunipoteza na kazi ya pili ilikuwa kufanya uchunguzi wa tuhuma za RC wa Songwe wakati huo alikuwa akiitwa Chiku Galawa.

Nilimpigia Simu heche muda huo huo na kumsimulia, akachukua hatua kumpigia simu Haonga aliyekuwa mbunge wa Mbozi kwamba afanye awesavyo anitoroshe Vwawa mkoani Songwe mpaka Mbeya kwa wakili wangu Mwabukusi wakati yeye na Lema wanafanya utaratibu wa kunitafutia sehemu salama.

Ni kweli nilifanikiwa kutolokea Arusha kwa gari ya wakili wangu Mwabukusi kabla ya mimi kughaili mpango wa kukimbilia Kenya ambako Lema na Heche waliandaa mazingira. Nikiwa uhamishoni Arusha baada tu ya ziara ya makamu wa Rais kutamatika, ikulu ilitoa press statement ambayo ndani yake moja ya taarifa zilikuwa ni kutumbuliwa kwa yule RC wa Songwe ambaye watekaji walisema wamekuja kufanya uchunguzi dhidi yake na kunipoteza mimi. Hapo niliamini kweli nilikuwa kwenye target. Wakati wote niko Arusha Lema ananichukua na kunipeleka lunch na dinner wakati wote huku akinitia moyo.

Lissu kaka yangu mpendwa alifika Oysterbay baada ya kutekwa na kuteswa na polisi kisha kusafirishwa mpaka Dar mwaka 2016. Baada ya kufikishwa Dar nilichukuliwa na vikosi vya task force mpaka mikocheni kwenye moja ya nyumba zao za mateso nikaanza kuteswa huku nikiwa nimevuliwa nguo zote. Niliteswa kutwa nzima kabla ya kurudishwa Oysterbay na baadaye kupelekwa hospital ya Mwananyamala kutokana na hali yangu kuwa mbaya.

Baada ya matibabu nilirudishwa Oysterbay. Lissu alifika na nilisikia mahabusu waliokuwa wakichungulia dirishani wakiimba Lissu ! Lissu! Huku wakisisitiza kwamba Mdude hapa umetoka kuna siku Lissu alikuja hapa usiku wa saa sita na aliwatoa watu. Kwanza nilikuwa nashindwa kusimama kutokana na maumivu ya kipigo ila nilivyosikia Lissu yuko nje anaingia pale kituoni nilisimama kwa furaha na ujasiri.

Kwanza Lissu alipiga mkwala kwa RPC wa Kinondoni kutaka nipelekwe mahakamani au nipewe dhamana. Mimi ndio mtu wa kwanza kumsimulia Lissu uwepo wa nyumba za mateso kwa raia wakiwemo wapinzani wa serikali. Lissu akaniahidi kwamba anaenda kufanya press kwa lugha ya kiswahili na kingereza ili dunia ijue wapinzani wanavyoteswa na serikali.

Lissu huyu hakuishia hapo akaenda bungeni kuzungumza kuhusu mateso yangu na nyumba za mateso kwa ajili ya wakosoaji ya serikali.

Hivi katika mazingira haya ni nani unaweza kuja ukaniambia hawa watu ni vibaraka wa serikali nikakuelewa? Watu wanaojitoa kutetea haki namna hii tangu wakawa vibaraka wa serikali? Kwamba hawa wakaa kimya tukitekwa, tukiumizwa ndio wapinzani wa kweli halafu akina Lissu ndio vibaraka? Labda mgonjwa wa akili ndio ataamini.

Watanzania wenzangu tuwaunge mkono wapigania haki hawa katika nafasi zozote wanazogombea iwe ndani ya chama au serikali.



Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
IMG-20241227-WA0097.jpg
 
Wakati wa Magufuli hakuna aliekua salama hata Mbowe alipitia mengi. NB; Lema ni mwizi wa uchaguzi katika uchaguzi alishinda mtu mwingine lakini yeye akamuweka mtu mwingine matokeo yake yakawa ni kwamba yule ambae hakupaswa kushinda akajiunga na CCM na kuwasaliti wenzake hio yote ni Lema aliesababisha. NOTE; Mpinzan wa kweli ni wewe mwenyew usimuamin mtu hasa hawa wanasiasa utaishia kua disappointed kila sku.
 
๐“๐ฎ๐ง๐๐ฎ ๐‹๐ข๐ฌ๐ฌ๐ฎ, ๐‰๐จ๐ก๐ง ๐‡๐ž๐œ๐ก๐ž ๐ง๐š ๐‹๐ž๐ฆ๐š ๐ง๐ข ๐ฐ๐š๐ฉ๐ข๐ ๐š๐ง๐ข๐š ๐ก๐š๐ค๐ข ๐ฐ๐š ๐ฎ๐ค๐ฐ๐ž๐ฅ๐ข ๐ญ๐ฎ๐ฐ๐š๐ฎ๐ง๐ ๐ž ๐ฆ๐ค๐จ๐ง๐จ.

Lissu, Heche na Lema hawa ni rafiki na ndugu wa haki. Kujitoa kwao kupigania haki za mtu & watu wowote kwao ni jambo la kawaida. Binafsi kwangu kila mmoja amehusika kunisaidia kupigania haki zangu tangu mwaka 2016.

Heche na Lema walifanya mchakato wa kunitorosha nchini mwaka 2018 wakati wa jaribio la utekaji dhidi yangu katika ziara ya makamu Rais mkoa wa Songwe na Mbeya.

Kwa mujibu wa mmoja wa watekaji aliyeamua kutoa taarifa za kunisaidia alisema watekaji waliokuwa kwenye ziara ya makamu wa Rais walikuwa na kazi mbili, moja ilikuwa ni kunipoteza na kazi ya pili ilikuwa kufanya uchunguzi wa tuhuma za RC wa Songwe wakati huo alikuwa akiitwa Chiku Galawa.

Nilimpigia Simu heche muda huo huo na kumsimulia, akachukua hatua kumpigia simu Haonga aliyekuwa mbunge wa Mbozi kwamba afanye awesavyo anitoroshe Vwawa mkoani Songwe mpaka Mbeya kwa wakili wangu Mwabukusi wakati yeye na Lema wanafanya utaratibu wa kunitafutia sehemu salama.

Ni kweli nilifanikiwa kutolokea Arusha kwa gari ya wakili wangu Mwabukusi kabla ya mimi kughaili mpango wa kukimbilia Kenya ambako Lema na Heche waliandaa mazingira. Nikiwa uhamishoni Arusha baada tu ya ziara ya makamu wa Rais kutamatika, ikulu ilitoa press statement ambayo ndani yake moja ya taarifa zilikuwa ni kutumbuliwa kwa yule RC wa Songwe ambaye watekaji walisema wamekuja kufanya uchunguzi dhidi yake na kunipoteza mimi. Hapo niliamini kweli nilikuwa kwenye target. Wakati wote niko Arusha Lema ananichukua na kunipeleka lunch na dinner wakati wote huku akinitia moyo.

Lissu kaka yangu mpendwa alifika Oysterbay baada ya kutekwa na kuteswa na polisi kisha kusafirishwa mpaka Dar mwaka 2016. Baada ya kufikishwa Dar nilichukuliwa na vikosi vya task force mpaka mikocheni kwenye moja ya nyumba zao za mateso nikaanza kuteswa huku nikiwa nimevuliwa nguo zote. Niliteswa kutwa nzima kabla ya kurudishwa Oysterbay na baadaye kupelekwa hospital ya Mwananyamala kutokana na hali yangu kuwa mbaya.

Baada ya matibabu nilirudishwa Oysterbay. Lissu alifika na nilisikia mahabusu waliokuwa wakichungulia dirishani wakiimba Lissu ! Lissu! Huku wakisisitiza kwamba Mdude hapa umetoka kuna siku Lissu alikuja hapa usiku wa saa sita na aliwatoa watu. Kwanza nilikuwa nashindwa kusimama kutokana na maumivu ya kipigo ila nilivyosikia Lissu yuko nje anaingia pale kituoni nilisimama kwa furaha na ujasiri.

Kwanza Lissu alipiga mkwala kwa RPC wa Kinondoni kutaka nipelekwe mahakamani au nipewe dhamana. Mimi ndio mtu wa kwanza kumsimulia Lissu uwepo wa nyumba za mateso kwa raia wakiwemo wapinzani wa serikali. Lissu akaniahidi kwamba anaenda kufanya press kwa lugha ya kiswahili na kingereza ili dunia ijue wapinzani wanavyoteswa na serikali.

Lissu huyu hakuishia hapo akaenda bungeni kuzungumza kuhusu mateso yangu na nyumba za mateso kwa ajili ya wakosoaji ya serikali.

Hivi katika mazingira haya ni nani unaweza kuja ukaniambia hawa watu ni vibaraka wa serikali nikakuelewa? Watu wanaojitoa kutetea haki namna hii tangu wakawa vibaraka wa serikali? Kwamba hawa wakaa kimya tukitekwa, tukiumizwa ndio wapinzani wa kweli halafu akina Lissu ndio vibaraka? Labda mgonjwa wa akili ndio ataamini.

Watanzania wenzangu tuwaunge mkono wapigania haki hawa katika nafasi zozote wanazogombea iwe ndani ya chama au serikali.



Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.View attachment 3186317
Na yote haya walikuwa wakifanya huku wamemficha Mwenyekiti wao?

Amandla...
 
๐“๐ฎ๐ง๐๐ฎ ๐‹๐ข๐ฌ๐ฌ๐ฎ, ๐‰๐จ๐ก๐ง ๐‡๐ž๐œ๐ก๐ž ๐ง๐š ๐‹๐ž๐ฆ๐š ๐ง๐ข ๐ฐ๐š๐ฉ๐ข๐ ๐š๐ง๐ข๐š ๐ก๐š๐ค๐ข ๐ฐ๐š ๐ฎ๐ค๐ฐ๐ž๐ฅ๐ข ๐ญ๐ฎ๐ฐ๐š๐ฎ๐ง๐ ๐ž ๐ฆ๐ค๐จ๐ง๐จ.

Lissu, Heche na Lema hawa ni rafiki na ndugu wa haki. Kujitoa kwao kupigania haki za mtu & watu wowote kwao ni jambo la kawaida. Binafsi kwangu kila mmoja amehusika kunisaidia kupigania haki zangu tangu mwaka 2016.

Heche na Lema walifanya mchakato wa kunitorosha nchini mwaka 2018 wakati wa jaribio la utekaji dhidi yangu katika ziara ya makamu Rais mkoa wa Songwe na Mbeya.

Kwa mujibu wa mmoja wa watekaji aliyeamua kutoa taarifa za kunisaidia alisema watekaji waliokuwa kwenye ziara ya makamu wa Rais walikuwa na kazi mbili, moja ilikuwa ni kunipoteza na kazi ya pili ilikuwa kufanya uchunguzi wa tuhuma za RC wa Songwe wakati huo alikuwa akiitwa Chiku Galawa.

Nilimpigia Simu heche muda huo huo na kumsimulia, akachukua hatua kumpigia simu Haonga aliyekuwa mbunge wa Mbozi kwamba afanye awesavyo anitoroshe Vwawa mkoani Songwe mpaka Mbeya kwa wakili wangu Mwabukusi wakati yeye na Lema wanafanya utaratibu wa kunitafutia sehemu salama.

Ni kweli nilifanikiwa kutolokea Arusha kwa gari ya wakili wangu Mwabukusi kabla ya mimi kughaili mpango wa kukimbilia Kenya ambako Lema na Heche waliandaa mazingira. Nikiwa uhamishoni Arusha baada tu ya ziara ya makamu wa Rais kutamatika, ikulu ilitoa press statement ambayo ndani yake moja ya taarifa zilikuwa ni kutumbuliwa kwa yule RC wa Songwe ambaye watekaji walisema wamekuja kufanya uchunguzi dhidi yake na kunipoteza mimi. Hapo niliamini kweli nilikuwa kwenye target. Wakati wote niko Arusha Lema ananichukua na kunipeleka lunch na dinner wakati wote huku akinitia moyo.

Lissu kaka yangu mpendwa alifika Oysterbay baada ya kutekwa na kuteswa na polisi kisha kusafirishwa mpaka Dar mwaka 2016. Baada ya kufikishwa Dar nilichukuliwa na vikosi vya task force mpaka mikocheni kwenye moja ya nyumba zao za mateso nikaanza kuteswa huku nikiwa nimevuliwa nguo zote. Niliteswa kutwa nzima kabla ya kurudishwa Oysterbay na baadaye kupelekwa hospital ya Mwananyamala kutokana na hali yangu kuwa mbaya.

Baada ya matibabu nilirudishwa Oysterbay. Lissu alifika na nilisikia mahabusu waliokuwa wakichungulia dirishani wakiimba Lissu ! Lissu! Huku wakisisitiza kwamba Mdude hapa umetoka kuna siku Lissu alikuja hapa usiku wa saa sita na aliwatoa watu. Kwanza nilikuwa nashindwa kusimama kutokana na maumivu ya kipigo ila nilivyosikia Lissu yuko nje anaingia pale kituoni nilisimama kwa furaha na ujasiri.

Kwanza Lissu alipiga mkwala kwa RPC wa Kinondoni kutaka nipelekwe mahakamani au nipewe dhamana. Mimi ndio mtu wa kwanza kumsimulia Lissu uwepo wa nyumba za mateso kwa raia wakiwemo wapinzani wa serikali. Lissu akaniahidi kwamba anaenda kufanya press kwa lugha ya kiswahili na kingereza ili dunia ijue wapinzani wanavyoteswa na serikali.

Lissu huyu hakuishia hapo akaenda bungeni kuzungumza kuhusu mateso yangu na nyumba za mateso kwa ajili ya wakosoaji ya serikali.

Hivi katika mazingira haya ni nani unaweza kuja ukaniambia hawa watu ni vibaraka wa serikali nikakuelewa? Watu wanaojitoa kutetea haki namna hii tangu wakawa vibaraka wa serikali? Kwamba hawa wakaa kimya tukitekwa, tukiumizwa ndio wapinzani wa kweli halafu akina Lissu ndio vibaraka? Labda mgonjwa wa akili ndio ataamini.

Watanzania wenzangu tuwaunge mkono wapigania haki hawa katika nafasi zozote wanazogombea iwe ndani ya chama au serikali.



Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.View attachment 3186317
GENGE LA WAHUNI KAMA ALIVYO MDUDE NYUGULI
 
Lissu, Heche na Lema hawa ni rafiki na ndugu wa haki. Kujitoa kwao kupigania haki za mtu & watu wowote kwao ni jambo la kawaida
Mwenyezi Mungu hujisazia watu wake, wenye kuonesha Mkono wake hata kama ulimwengu mzima umekengeuka
 
Wanaombeza Lissu huwa nawasomaaa...nabaki tu nikitikisa kichwa. Lakini Mungu mkubwa...baada ya kumiminiwa risasi ambazo zingeweza kumuangusha tembo bado yupo...kwa kweli Lissu ni binadamu na nusu.

Unawakuta watu wana miili laini kama mwali, hawana hata alama ya kovu mwilini lakini shuhudia yanayowatoka mdomoni wakitukana na kuwabeza watu kama Lissu na Mdude! Laana iwashukie popote walipo.

Kama katika Watanzania zaidi ya milioni sitini wako wenye ujasiri wa kumtazama shetani usoni na bila kupesa macho kumkemea na kumtaka aende zake, Mh. Tundu Antiphas Lissu ni moja wao.
 
Wanaombeza Lissu huwa nawasomaaa...nabaki tu nikitikisa kichwa. Lakini Mungu mkubwa...baada ya kumiminiwa risasi ambazo zingeweza kumuangusha tembo bado yupo...kwa kweli Lissu ni binadamu na nusu.

Unawakuta watu wana miili laini kama mwali, hawana hata alama ya kovu mwilini lakini shuhudia yanayowatoka mdomoni akitukana na kuwabeza watu kama Lissu na Mdude! Laana iwashukie popote walipo.

Kama katika Watanzania zaidi ya milioni sitini wako wenye ujasiri wa kumtazama shetani usoni na bila kupesa macho kumkemea na kumtaka aende zake, Mh. Tundu Antiphas Lissu ni moja wao.
Mkuu kila aliyemdhihaki Lissu alishuka aidha kuzimu au mamlaka.

Mifano;
Ndugai
Makonda
Sabaya
Kabudi
Bashiru
Musiba
Na wengine majina yao sitayataja hapa.
 
Mengi yapi? Hiyo ya kuharibiwa mashamba yake ya maua na kubomolewa Bilicanas halafu kumbe analipwa mabilioni kwa mlango wa uwani??

Mbowe ni mhujumu mkuu wa juhudi A upinzani. Anasabanisha watoto wa watu wanatekwa na kuuawa, kumbe yeye anafanya maigizo kwa lengo la kupata pesa.
Kwaio Magufuli alimlipa Mbowe mabilioni?
 
Kwaio Magufuli alimlipa Mbowe mabilioni?
Alipigwa mabilioni mengi tu. Na alipokubali kuwaingiza akina Mdee bungeni alipigwa bilioni 15. Halafu akawa anazingua kama hajui kitu.

Mzee Mbowe ni mjasiriaSiasa.
 
Mengi yapi? Hiyo ya kuharibiwa mashamba yake ya maua na kubomolewa Bilicanas halafu kumbe analipwa mabilioni kwa mlango wa uwani??

Mbowe ni mhujumu mkuu wa juhudi A upinzani. Anasabanisha watoto wa watu wanatekwa na kuuawa, kumbe yeye anafanya maigizo kwa lengo la kupata pesa.
Jamaa alikuwa anaturubuni.....mashamba wanachomwa ili kulaghai watu kwamba yanayochomwa ni ya mpinzani wa kweli. Kumbe sio
 
Alipigwa mabilioni mengi tu. Na alipokubali kuwaingiza akina Mdee bungeni alipigwa bilioni 15. Halafu akawa anazingua kama hajui kitu.

Mzee Mbowe ni mjasiriaSiasa.
Naomba ushahidi wa hayo ulioandika
 
Back
Top Bottom