Pre GE2025 Mdude: Mbowe pumzika tunamhitaji Lissu kwa sasa

Pre GE2025 Mdude: Mbowe pumzika tunamhitaji Lissu kwa sasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

"Kwahiyo ukisoma Biblia yote na imeandikwa kabisa, hakuna nabii mkubwa kuliko Mussa lakini Mungu alimpumzisha akampa Joshua akamalizie kazi, kwahiyo hata sasa tunaye Freeman Mbowe amefanya kazi kubwa sana, ni kama Mussa amewatoa wana wa Israel sasa tuko jangwani, tunataka kutoka hapa kwenda nchi ya ahadi ya Kaanani, tunayemhitaji ni Joshua na Joshua ni Tundu Lissu"- Mdude.

Mwanaharakati wa haki za binadamu na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mdude Nyagali akizungumza na wanahabari mkoani Mbeya kuhusu uchaguzi wa ndani wa CHADEMA.

 
Wakuu,

"Kwahiyo ukisoma Biblia yote na imeandikwa kabisa, hakuna nabii mkubwa kuliko Mussa lakini Mungu alimpumzisha akampa Joshua akamalizie kazi, kwahiyo hata sasa tunaye Freeman Mbowe amefanya kazi kubwa sana, ni kama Mussa amewatoa wana wa Israel sasa tuko jangwani, tunataka kutoka hapa kwenda nchi ya ahadi ya Kaanani, tunayemhitaji ni Joshua na Joshua ni Tundu Lissu"- Mdude.

Mwanaharakati wa haki za binadamu na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mdude Nyagali akizungumza na wanahabari mkoani Mbeya kuhusu uchaguzi wa ndani wa CHADEMA.

View attachment 3181597
Ukilijua lengo hasa la kuanzisha kwa vyama vya Upinzani hapa Tz mwaka 1992, utakuwa unajua wazi kabisa kwamba Mbowe hawezi kuacha kugombea Uenyekiti huko Chadema.
Viongozi wengi wa vyama vya upinzani ni Mapandikizi ya Tiss, ukianzia:- Augustine Lyatonga Mrema, Cheyo, Lipumba, Mabere Marando, na hata huyo FAM
 
Ukilijua lengo hasa la kuanzisha kwa vyama vya Upinzani hapa Tz mwaka 1992, utakuwa unajua wazi kabisa kwamba Mbowe hawezi kuacha kugombea Uenyekiti huko Chadema.
Viongozi wengi wa vyama vya upinzani ni Mapandikizi ya Tiss, ukianzia:- Augustine Lyatonga Mrema, Cheyo, Lipumba, Mabere Marando, na hata huyo FAM
Hizi story za vijiweni naona unapaste kila uzi!
 
Ila waandishi wa habari, hivi kweli unamhoji Mdude kweli? Hayuko timamu huyu
 
Screenshot_20241221_125257_The 48 Laws of Power.jpg
 
Wakuu,

"Kwahiyo ukisoma Biblia yote na imeandikwa kabisa, hakuna nabii mkubwa kuliko Mussa lakini Mungu alimpumzisha akampa Joshua akamalizie kazi, kwahiyo hata sasa tunaye Freeman Mbowe amefanya kazi kubwa sana, ni kama Mussa amewatoa wana wa Israel sasa tuko jangwani, tunataka kutoka hapa kwenda nchi ya ahadi ya Kaanani, tunayemhitaji ni Joshua na Joshua ni Tundu Lissu"- Mdude.

Mwanaharakati wa haki za binadamu na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mdude Nyagali akizungumza na wanahabari mkoani Mbeya kuhusu uchaguzi wa ndani wa CHADEMA.

View attachment 3181597
Mdude hana Kona kona RPC Mbeya anajua, Delegate wa Dar Central wanajua
 
Back
Top Bottom